Sitaki viporo.

DEVINE

JF-Expert Member
Mar 11, 2011
536
86
jamaa mmja alkwa ametoka morogoro kijijin alpofka dar aliingia kwenye bar moja na kuagzia soda mhudum akamletea soda ya bardi alpomuuliza mhudum mbna soda ya bard akaambiwa ilikuwa kweny frij tang jana yle jamaa akang'aka "haiwezkanmnipe kiporo yan mmenpa soda ya jana mnataka nivimbiwe? Hapa ndipo unapata picha kuna sehemu TZ bado hawalijui JOKOFU,iv sababu ni nini?
 
Alikuwa mgeni wa mambo ya Jokofu, wahenga walisema 'Kuku mgeni hakosi kamba mguuni'.
 
Back
Top Bottom