ILLICH
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 237
- 180
Makonda hata angeachwa akue,hana uwezo wa kuongoza hata nyumba kumiHii ilikuwa hoja yangu kwa muda mrefu; hata mtu kama Makonda.. madaraka ya kuongoza Jiji kubwa la Dar ni madaraka makubwa mno...
Makonda hata angeachwa akue,hana uwezo wa kuongoza hata nyumba kumiHii ilikuwa hoja yangu kwa muda mrefu; hata mtu kama Makonda.. madaraka ya kuongoza Jiji kubwa la Dar ni madaraka makubwa mno...
Mnachotwa akili kama maboya. Sio hawa waliosimamia uporaji wa haki za wagombea wenu (Slaa 2010 na Lowassa 2015) kuingia Ikulu? Mnakuwa kama watoto ambao wakipewa pipi au kuimbiwa wimbo mtamu mnaamini lolote lile. Nape na January bado ni CCM. Na CCM wote ni wale wale.Nape na January Makamba wameamua kumkiri Mungu wao , wasibughuziwe , wewe endelea na unayoyaamini lakini ni wazi kwamba hautafika kwenye ngazi walizofika huko ccm hata iweje
Sitakutukana ndugu Chahali , JF haijaruhusu matusi , na nadhani hukunielewa , mimi si mjinga wa kuwaamini Nape na January , nafahamu kila njama waliyoshiriki , bali andiko langu lililenga kumtahadharisha tu mwanachama mpya wa ccm ndugu Mwanakijiji kwamba wengine wanapopandisha maruhani na kuanza kuropoka uchawi walioubeba kwa niaba ya waliowatuma hana haja ya kuumia , kumbuka kwamba andiko la Mzee Mwanakijiji limelenga kuwashutumu vijana wanaoropoka yale waliyoyatenda gizani huko nyuma .Mnachotwa akili kama maboya. Sio hawa waliosimamia uporaji wa haki za wagombea wenu (Slaa 2010 na Lowassa 2015) kuingia Ikulu? Mnakuwa kama watoto ambao wakipewa pipi au kuimbiwa wimbo mtamu mnaamini lolote lile. Nape na January bado ni CCM. Na CCM wote ni wale wale.
Jiskie huru kutukana
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1026826
Wazo Maridadi: Viongozi ni lazima muwe na misimamo. Misimamo thabiti inaonekana unapokuwa na madaraka. Kwamba madaraka hayakufanyi uje na misimamo ambayo usingekuwa nayo kama usingepata madaraka. Viongozi 'vijana' wanapoonekana wanachukua misimamo kwa ajili ya maslahi ya kisiasa (political expediencies) manake ni kuwa ni rahisi sana kubadilika badilika. Kama ulijikuta unalazimika kuchukua msimamo ambao dhamira yako inapingana nao ulikuwa na wajibu wa kujiuzulu wakati ule ule! Viongozi bila misimamo ni majanga!
Hapa nimewasema viongozi vijana lakini nawalenga viongozi wote ambao wakiwa na madaraka wanaonekana kuwa na misimamo ambayo inakinzana na dhamira zao. Wakikosa madaraka makubwa wanaanza kupata akili kuwa sasa 'wameokoka" na wanaweza kuona vizuri na wanazungumza kana kwamba wana "hekima". Fikiria baadaye Lugola aje na kusema "niliyosema kuhusu CCTV haikuwa msimamo wangu!"
Mojawapo ya vitu ambavyo havina ubishi ni kuwa misimamo ya JPM haijabadilika; hata kabla ya kuwa Rais misimamo yake kuhusu utendaji, viongozi na mambo mengine mengi ilikuwa inajulikana. Na inawezekana wengi walimchagua au kumuunga mkono kwa sababu hiyo na inawezakana akashinda kwa kishindo kikubwa zaidi mwakani kwa sababu hizo hizo. Tatizo ni viongozi ambao wana misimamo kwa kuweka kidole hewani, kukitemea mate, halafu kukiinua hewani kuangalia upepo wa kisiasa unaenda wapi!
Unaweza kuninukuu!
Kama ulijikuta unalazimika kuchukua msimamo ambao dhamira yako inapingana nao ulikuwa na wajibu wa kujiuzulu wakati ule ule! Viongozi bila misimamo ni majanga!
Mbona leo umekuwa hivi, au sijakuelewa vizuri?Kuna ka ukweli hapo. Na hapa hatuzungumzii vitu ambavyo mtu anaweza kubadilisha mawazo kwa sababu ana taarifa bora zaidi kuliko alizokuwa nazo.. kubadili mawazo kunaruhusiwa na hata misimamo ipo inayobadilika. Kubwa ni kuwa misimamo inayoongozwa na kanuni fulani za msingi haipaswi kubadilishwa kirahisi rahisi. Chukulia kwa mfano, Nape angekuwa bado Waziri wa Habari na Michezo angekuwa amebadilisha msimamo wake sasa hivi?
Kunradhi kwa kukufuatilia, lakini hii nimechelewa kuiona.Unaweza kuninukuu!
Toa mfano tuujadili..ila kumbuka sijashika nafasi yoyote ya uongozi wa ummaMkuu MM .... mbona hata wewe haujawahi kuwa na misimamo .... toa Kwanza boriti kwenye jicho lako kabla ya kutoa kwenye jicho la mwenzako
WAMEANZA KUFANYA TIMING KUNA WALIO NYUMA YAO UMAARUFU WALIOUPATA AWAMU ILIYOPITA ULIKUWA UJANZA NA DEAL TUNinao waona mimi wa kwanza ni mzee wa kutapatapa Nape Nauye na waziri anayesemekana hajalizika na wizara aliyopewa bwana January Makamba
Huyo njaa imehamia kichwani kila siku anaharisha manenoKuna ka ukweli hapo. Na hapa hatuzungumzii vitu ambavyo mtu anaweza kubadilisha mawazo kwa sababu ana taarifa bora zaidi kuliko alizokuwa nazo.. kubadili mawazo kunaruhusiwa na hata misimamo ipo inayobadilika. Kubwa ni kuwa misimamo inayoongozwa na kanuni fulani za msingi haipaswi kubadilishwa kirahisi rahisi. Chukulia kwa mfano, Nape angekuwa bado Waziri wa Habari na Michezo angekuwa amebadilisha msimamo wake sasa hivi?
Ni lazima tuwatoe kwenye gumzo lenu la Tundu Lissu..tunaelekea kufunga kitabu cha Tundu Lissu tukimuacha na magongo yake..hivi leo anaingia oparesheni nyingine au nimekosea?Mnachotwa akili kama maboya. Sio hawa waliosimamia uporaji wa haki za wagombea wenu (Slaa 2010 na Lowassa 2015) kuingia Ikulu? Mnakuwa kama watoto ambao wakipewa pipi au kuimbiwa wimbo mtamu mnaamini lolote lile. Nape na January bado ni CCM. Na CCM wote ni wale wale.
Jiskie huru kutukana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta kauli zake wakati wa kampeni na leo! Aliyoyaasema na kuahidi wakati wa kampeni ni tofauti kabisa. M/Kijiji Huwezi kufanya reasoned analysis kwa vile u-home boy unakufunika usoni usione.Mojawapo ya vitu ambavyo havina ubishi ni kuwa misimamo ya JPM haijabadilika; hata kabla ya kuwa Rais misimamo yake kuhusu utendaji, viongozi na mambo mengine mengi ilikuwa inajulikana
Nimebadilika nini?Tafuta kauli zake wakati wa kampeni na leo! Aliyoyaasema na kuahidi wakati wa kampeni ni tofauti kabisa. M/Kijiji Huwezi kufanya reasoned analysis kwa vile u-home boy unakufunika usoni usione.
Vipengele vingine katika andiko lako nakuunga mkono... watu wanafanya vitu tofauti na dhamira zao kwa ajili ya njaa za matumbo yao. Wanaangalia Boss wao aliyewateua anasema nini! Hata wewe akitoka jiwe madarakani, utabadilika kama ulivyobadilika misimamo yako alipoingia Jiwe. Hukuwa hivi kutetea mauaji ezi za Kikwete, NAWE UMEBADILIKA
Wapi nimepotoka?Mzee mwanakijiji umepotoka
Huyo njaa imehamia kichwani kila siku anaharisha maneno
Awamu hii ngoja Watanzania halisi wajulikane
Malkia wa Tembo hatimae kalazwa na uniform