Sitaki na sitakaa niamini Claudio Bravo na kipa bora kuliko Joe Hart..

Hata mm naamin hivo

Hart kumfunga ni ngumu , ila bravo ni pazia

Binafs huwa hart akiwa golin nuamin, kwa bravo hata timu za chin zinamtungua muda wowote


Pale barca alifichwa na uwezo wa kikosi
Point...Barca Viungo walimlinda sana Hart ni kipa anayeweza kuokoa michomo ya hatari ya kila aina hata akibaki na forward
 
aseee Joe Hart alikua anajitahid sana alikua hawez fungwa magoli ya kizembe km Bravo japo nae pia alikua na mapungufu yake lkn yalikua yanavumilika
 
Baada ya Pep Guardiola kuja Mancity alimsajili aliyekua kipa wa Barcelona Claudio Bravo na kumtoa kwa mkopo kipa aliyekua chaguo la kwanza na Kipenzi cha Waingereza Joe hart kwenda Torino ya Italy.
Kigezo cha pep Guardiola ni kwamba kipa ni mchezaji wa 11 uwanjani hivyo ni lazima kipa Ajue kutoa pasi kwa wachezaji wake na aliona Bravo ndo anaweza Falsafa zake.
Ila ligi ikiwa katikati tiyari bravo keshafungwa goli nyingi na kuna tetesi Joe hart kurud January pale Etihad.

Hart alikua na Mapungufu yake ya kurekebishika na Pia Bravo naye anamapungufu yake ila kwangu Hart ni Bora zaidi kuliko Bravo.

Maoni yanakaribishwa...
 
Baada ya Pep Guardiola kuja Mancity alimsajili aliyekua kipa wa Barcelona Claudio Bravo na kumtoa kwa mkopo kipa aliyekua chaguo la kwanza na Kipenzi cha Waingereza Joe hart kwenda Torino ya Italy.
Kigezo cha pep Guardiola ni kwamba kipa ni mchezaji wa 11 uwanjani hivyo ni lazima kipa Ajue kutoa pasi kwa wachezaji wake na aliona Bravo ndo anaweza Falsafa zake.
Ila ligi ikiwa katikati tiyari bravo keshafungwa goli nyingi na kuna tetesi Joe hart kurud January pale Etihad.

Hart alikua na Mapungufu yake ya kurekebishika na Pia Bravo naye anamapungufu yake ila kwangu Hart ni Bora zaidi kuliko Bravo.

Maoni yanakaribishwa...
1481455532176.png
 
Pep alifanya maamuzi ya kumleta Bravo kwa vigezo vyake alivyojiwekea hata hivyo alikurupuka sana kumtoa kwa mkopo Joe Hart, angekaa nao wote wawili mpaka Bravo azoe EPL.
Kwa jinsi hali ilivyo sitashangaa kusikia Hart karudi January.
 
JOE hart ataendelea kuwa bora sanaa Goli la pili la Totenham Joe Hart angeokoaa...
 
Bravo pazia

Washamtungua huko

Huyu jamaa anawakosesha city chance ya kufight pale juu. Sijui lini Pep atashallow pride yake na akubali kufanya changes. Ujuaji utawacost hata top 4 wasipojiangalia mapema.
 
Mahaba ya Pep na upendeleo wa wazi ambao waspain wengi wanapenda kufanya ndo ulimtoa Hart .Malipo hapa hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom