rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 13,167
- 16,423
Wa kwako kama atafuata mwili wa baba yake basi atakuwa na kipaji kama GIGY
Sawa Mungu
Wa kwako kama atafuata mwili wa baba yake basi atakuwa na kipaji kama GIGY
sasa huko ndo kuna michezo michafu sana ya ngono nimepata story nyingi sana za wadada wanaoshiriki umiss wanafanywa na waandaaji ili wapewe ushindi lakini wap na hawa patiMmmmh! mie kijacho wangu nataka siku moja asimame jukwaa la miss Tanzania Labda tu afuate limwili la baba yake
sio lazima awe miss atakua hata video queen kama giggi money na masogangeWa kwako kama atafuata mwili wa baba yake basi atakuwa na kipaji kama GIGY
sasa huko ndo kuna michezo michafu sana ya ngono nimepata story nyingi sana za wadada wanaoshiriki umiss wanafanywa na waandaaji ili wapewe ushindi lakini wap na hawa pati
sikatai usumbufun unakua mdogo.unajua ukiwa star ni kama umejiweka public na nchi yetu ni kubwa ujue sasa jiulize wangapi wapenda malaya watakufata? atleast ukiwa local soko na audience inakua ndogo sio sawa na kujibandika mbele ya watanzaniaHuo ni ushamba wako tu mbona hatawasioshiriki wako mtaani na wanafanywa tu kila kukicha
sikatai usumbufun unakua mdogo.unajua ukiwa star ni kama umejiweka public na nchi yetu ni kubwa ujue sasa jiulize wangapi wapenda malaya watakufata? atleast ukiwa local soko na audience inakua ndogo sio sawa na kujibandika mbele ya watanzania
najua ni kwenye tasnia huko naogopa zaidi kwa sababu wakishajua wewe ni fulani watakutafuta tuu. pia malaya wanapatikana bar ila kujianika mtandaoni i hatar zaidKumbe hata huelewi soko kubwa la malaya linapopatikana
waangalie mashangazi sana sana........kama wana miili mibaya kazi anayo.Mmmmh! mie kijacho wangu nataka siku moja asimame jukwaa la miss Tanzania Labda tu afuate limwili la baba yake
kama kuna ukweli hapawaangalie mashangazi sana sana........kama wana miili mibaya kazi anayo.
chunguza zaidi....kama kuna ukweli hapa
ntalifayia utafiti kwa kina kwa familia nyingichunguza zaidi....
najua ni kwenye tasnia huko naogopa zaidi kwa sababu wakishajua wewe ni fulani watakutafuta tuu. pia malaya wanapatikana bar ila kujianika mtandaoni i hatar zaid
sawa.........ntalifayia utafiti kwa kina kwa familia nyingi
kwenye wengi lazima ulegee tuu hata kama wewe ni mgumu vipitunatofautiana mimi siamini hivyo
lengo langu ni kumweka mbali na mazingira hatari pia nimfunde namna ya kujikinga a maradhishida hapa ni nini.
kupata mimba/maambukizi? kama ndivyo basi Thats your failure as a parent. kwanini hukumfundisha kujikinga?
au shida ni rushwa ya ngono? hiyo pia inaweza kuwa kosa lako. hujampa mtoto confidence ya kujithamini na kufanya maamuzi.
au humsupport na anachotamani kufanya basi anaamua vyovyote iwavyo.
au shida ni ngono!!! kwani akienda kusomea udaktari ndo ataolewa bikra!! vitu vingine ni maamuzi ya mtu. wewe unaona kosa mwenzako anakuona wa kale.. theres little u can do about it. labda umfunge camera.
kwenye wengi lazima ulegee tuu hata kama wewe ni mgumu vipi
mawazo yanguKwenu ndio mko hivyo kumbe
sasa kwani huko kwingine hamna wanaume. inabidi usimpeleke chuo asije akadanganyika na malecturer.lengo langu ni kumweka mbali na mazingira hatari pia nimfunde namna ya kujikinga a maradhi
sasa kwani huko kwingine hamna wanaume. inabidi usimpeleke chuo asije akadanganyika na malecturer.
. bora ufocus kwenye kumjenga msichana wako kuliko kufocus kumjengea mazingira.
watoto wanakuwa molested ma mapriest!! the people You Trust the most can be the devils themselves