nygax
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,370
- 865
Unzinzi hutokea pale ambapo mmoja au wote mnashindwa kuwa waaminifu ktk uhusiano wenu.
Kama yeye yuko peke yake kwako na wewe uko peke yako kwake then uhusiano wenu unabaraka tele sana, huko kuanguka kiroho kunatoka wapi? Kufanya mapenzi na mchumba wako kunakufanya unaanguka kiroho?
Uzi wako unaonesha mmoja kati yenu si mwaminifu na dhana ya uzinzi inaanzia hapo.
Ushauri wangu ni kwamba shughulikieni suala la uaminifu kwanza ktk uhusiano wenu.
Kama yeye yuko peke yake kwako na wewe uko peke yako kwake then uhusiano wenu unabaraka tele sana, huko kuanguka kiroho kunatoka wapi? Kufanya mapenzi na mchumba wako kunakufanya unaanguka kiroho?
Uzi wako unaonesha mmoja kati yenu si mwaminifu na dhana ya uzinzi inaanzia hapo.
Ushauri wangu ni kwamba shughulikieni suala la uaminifu kwanza ktk uhusiano wenu.