Uchaguzi 2020 Sitaki kuwa mnafiki. WanaCCM awamu hii tunaburuzwa na Mwenyekiti

Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Bavicha at work
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Umesahau ni hii, au ndio unadamka kutoka usingizini?
IMG-20200710-WA0001.jpg
 
It's true

Hata Nyerere enzi zake wakati wa mfumo wa chama kimoja, alikuwa akipata kura zinazo-range kwenye asilimia 92-96

Haikuwahi tokea Nyerere akapata asilimia 100
Pigeni kelele zot
It's true

Hata Nyerere enzi zake wakati wa mfumo wa chama kimoja, alikuwa akipata kura zinazo-range kwenye asilimia 92-96

Haikuwahi tokea Nyerere akapata asilimia 100
Pigeni kelele zote za kipuuzi na uongo usio na mbele wala nyuma. Octoba inafika mnapigwa mbele na nyuma.
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Kama unaona unapelekwa pelekwa mkuu ungejiondoa tu kwenye hicho chama
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Mambo mengine hubaki kuwa siri mpaka miaka ipite ila kukutoa tongotongo ccm ni mfano wa mume alie kasimisha madaraka yote kwa mke ila maelekezo yanatoka kwa mume. Teguwa uteguliwe
 
Mambo mengine hubaki kuwa siri mpaka miaka ipite ila kukutoa tongotongo ccm ni mfano wa mume alie kasimisha madaraka yote kwa mke ila maelekezo yanatoka kwa mume. Teguwa uteguliwe
Duuh! Hakika wanaccm tumepatwa. Nimekerwa Sana na mfumo wa kukatazwa kugombea kwenye majimbo ya wapinzani waliorejea ccm. Na kuletewa wagombea ktk baadhi ya majimbo
 
NDIO, ni kweli.

Ukiweka kura ya HAPANA kwenye sanduku la CCM MOROGORO watapeleka fomu ile kwa RPC wa Morogoro au RSO wa Morogoro kufanyiwa dusting for fingerprints, halafu anapewa kachero aliyeko NIDA au TCRA au Tume ya Uchaguzi au VODACOM anaambiwa pitia fingerprints zote za wana CCM wa MOROGORO uimachi na hii fingerprint au palm prints.

Kumbuka taasisi zote hizo zinazo fingerprints zetu, na kote humo Usalama wapo kisheria, na mashine za ku match fingerprints wanazo!

Very very very simple to figure you out!
Aiseee!
 
Siku alipo punguza wajumbe ndio mwanzo wa huu udikteta..
Magu kawatangulia kawafunga magoli kwenye mchezo CCM inaoujua .Nilimsikia Raisi wa Zanzibar hotuba yake kabla ya NEC kupiga kura.
Hotuba yake ni kinyume cha Magufuli kabisa.
 
Na ile kauli yake ya kuwaambia Wapinzani hawatashinda uchaguzi wa mwaka huu nayo ina ukakasi na inatukatisha tamaa wapenda mabadiliko.

Mzee huwa anaongea tu kila kinachomjia mdomoni mwake. Hana utaratibu wa kuchuja kwanza ili kuondoa mkanganyiko usio na tija.
Tuwe wakweli jaman 2020 upinzani ni nani wa kupambana na Magufuli?kwa mikakati ipi na kwa sera zipi muhimu wapinzani wajikite kwenye ubunge na udiwani tu
 
Chama kinajinasibu kuwa na Demokrasia kubwa Sana katika uteuzi na uendeshaji wa chama. Iweje Tena malalamiko hayo kwa Sasa, wakati mgombea wenu ameshinda kwa Asilimia 100??
 
Na ile kauli yake ya kuwaambia Wapinzani hawatashinda uchaguzi wa mwaka huu nayo ina ukakasi na inatukatisha tamaa wapenda mabadiliko.

Mzee huwa anaongea tu kila kinachomjia mdomoni mwake. Hana utaratibu wa kuchuja kwanza ili kuondoa mkanganyiko usio na tija.
Kwani mtashinda? Hata ukiuliza mtoto mdogo atasema mtashindwa, kama unabisha - muulize mwanao!
 
119 Reactions
Reply
Back
Top Bottom