6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,483
- 2,829
Yawezekana aliimba kuhusu hali yake au kufikisha ujumbe kwa kile anachokiona katika jamii...!!
Achape kazi , tuchape kazi , kila mtu atafanikiwa tukiondoa roho za wivu, chuki na umasikini....
"Form six , degree ahdi masters... sitaki kazi...!
Wana vyeti mtaani vijana ..., hawana kazi...!"
Achape kazi , tuchape kazi , kila mtu atafanikiwa tukiondoa roho za wivu, chuki na umasikini....
"Form six , degree ahdi masters... sitaki kazi...!
Wana vyeti mtaani vijana ..., hawana kazi...!"