Sitaki kazi - Nikki wa Pili

Yawezekana aliimba kuhusu hali yake au kufikisha ujumbe kwa kile anachokiona katika jamii...!!

Achape kazi , tuchape kazi , kila mtu atafanikiwa tukiondoa roho za wivu, chuki na umasikini....


"Form six , degree ahdi masters... sitaki kazi...!
Wana vyeti mtaani vijana ..., hawana kazi...!"
 
Kwa alivyoimba sitaki kazi hakumaanisha hataki uteuzi ..Kuna tofauti kati ya kutaka au kutafuta kazi na kuteuliwa kufanya kazi. Yeye Nikk hajaitaka hiyo kazi ya "Ukuu wa Wilaya" yeye kateuliwa na mkuu wa nchi kuifanya. Angeitaka hapo ndo tungemjaji na nyimbo Ile. Hata hivyo hakuwahi kuajiriwa Hadi alivyopata hii teuzi. Hivyo Nikk Yuko sawa
Point tupu.
 
Kaz ya msanii sio kujzungumzia maisha yake personal unaweza kuta ujumbe kafksha yeye ila kawakilsha vjana kbao wapga mishe zao uko nje ya ajira ambao awaamn katika kuajiriwa
 
Wee unachekesha saan, huna ulijualo huko temeke mashoga ndo wamejaa kibao.
Nmeish kote huko na Bado NPO kino na Temeke kwa navyojua mm kino mashoga wamezid Sinza kuna Mahal walipangiwa kabisa na kigogo m1 hv......
Temeke wap mashoga wapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom