Nicholas J Clinton
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 877
- 486
HABARI AFRIKA;
Kuna taarifa kwa jukwaa hili za muda mrefu kuwa mimi napanga kuhamia chama kichovu cha ACT WAZALENDO kutoka chama changu cha Mageuzi na Ujenzi wa Taifa NCCR - Mageuzi.
Niseme wazi kuwa siwezi kuhamia kwa chama hicho na wala sikipendi kutoka moyoni waliyoenda sawa mimi nitakitumikia NCCR - Mageuzi kwa moyo wangu wote na juhudi zote.
Nimeshiba Misingi ya chama, Itikadi ya UTU, Falsafa ya Democrasia na Maendeleo na Malengo yake. Tuwe tuna uliza kabla ya uzushi wa kutunga nawapenda watu weusi daima nitawatumikia.
NCCR - MAGEUZI PAMOJA TUTASHINDA.
Kuna taarifa kwa jukwaa hili za muda mrefu kuwa mimi napanga kuhamia chama kichovu cha ACT WAZALENDO kutoka chama changu cha Mageuzi na Ujenzi wa Taifa NCCR - Mageuzi.
Niseme wazi kuwa siwezi kuhamia kwa chama hicho na wala sikipendi kutoka moyoni waliyoenda sawa mimi nitakitumikia NCCR - Mageuzi kwa moyo wangu wote na juhudi zote.
Nimeshiba Misingi ya chama, Itikadi ya UTU, Falsafa ya Democrasia na Maendeleo na Malengo yake. Tuwe tuna uliza kabla ya uzushi wa kutunga nawapenda watu weusi daima nitawatumikia.
NCCR - MAGEUZI PAMOJA TUTASHINDA.