Sitagombea tena, hili Bunge langu la mwisho - Sitta

Sokomoko

JF-Expert Member
Mar 29, 2008
1,915
127
Spika wa Tatu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel John Tegeza Sitta amesema kuwa utumishi wake bungeni umetosha, hivyo ni wakati wake kustaafu. Amesema anastaafu bunge lakini siyo siasa, hivyo bunge la sasa atalitumia kunoa uwezo wa vijana kabla ya kuachana na siasa za bunge 2015.

Akizungumza bungeni Jumatano iliyopita, kabla ya Kamati Kuu ya CCM (CC) kuengua jina lake katika mbio za kuwania Uspika, Sitta alisema kuwa hatarajii kustaafu kwa sababu anaweza kuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu kwenye chama chake.

Awali, siku hiyo Sitta alimpongeza Mbunge wa Viti Maalum CCM (Vyama vya Wafanyakazi), Zainab Kawawa kwa ushindi aliopata na kumuahidi kumjenga kiuwezo kabla ya kuachia bunge mwaka 2015.

“Hongera sana, umerudi tuwajenge ili mwaka 2015 tutakapowaacha, muwe tayari na uzoefu,” alisema Sitta akizungumza na Zainab.

Baada ya kunasa kauli hiyo, mwandishi wetu alimuuliza Mbunge huyo wa Urambo Mashariki kama hilo ni tamko rasmi au limetoka tu bila kudhamiria ambapo alijibu: “Ni tamko rasmi, sitagombea tena na hili ni bunge langu la mwisho

Sitta alisema kuwa anafikiri kuwa utumishi wake ndani ya bunge umetosha, kwahiyo anataka kukuza vijana.

Wakati akizungumza hayo Jumatano asubuhi kwenye viunga wa bunge, jioni ya siku hiyo, CC ilitangaza kumuengua Sitta katika mbio za kuwania uspika na kubakiza majina ya wanawake watatu ambapo mwisho Anna Makinda alishinda.


http://www.wavuti.com/habari.html#ixzz15QQPqptc

 
Anastaafi Bunge siyo SIASA, meaning URAIS bado anautaka; pengine kauli kama hizi zitakuwa zimewatisha wenziwe ndio maana wakamweka pembeni kuwania USPIKA
 
Spika wa Tatu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel John Tegeza Sitta amesema kuwa utumishi wake bungeni umetosha, hivyo ni wakati wake kustaafu. Amesema anastaafu bunge lakini siyo siasa, hivyo bunge la sasa atalitumia kunoa uwezo wa vijana kabla ya kuachana na siasa za bunge 2015.



Akizungumza bungeni Jumatano iliyopita, kabla ya Kamati Kuu ya CCM (CC) kuengua jina lake katika mbio za kuwania Uspika, Sitta alisema kuwa hatarajii kustaafu kwa sababu anaweza kuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu kwenye chama chake.

Awali, siku hiyo Sitta alimpongeza Mbunge wa Viti Maalum CCM (Vyama vya Wafanyakazi), Zainab Kawawa kwa ushindi aliopata na kumuahidi kumjenga kiuwezo kabla ya kuachia bunge mwaka 2015.

“Hongera sana, umerudi tuwajenge ili mwaka 2015 tutakapowaacha, muwe tayari na uzoefu,” alisema Sitta akizungumza na Zainab.

Baada ya kunasa kauli hiyo, mwandishi wetu alimuuliza Mbunge huyo wa Urambo Mashariki kama hilo ni tamko rasmi au limetoka tu bila kudhamiria ambapo alijibu: “Ni tamko rasmi, sitagombea tena na hili ni bunge langu la mwisho

Sitta alisema kuwa anafikiri kuwa utumishi wake ndani ya bunge umetosha, kwahiyo anataka kukuza vijana.

Wakati akizungumza hayo Jumatano asubuhi kwenye viunga wa bunge, jioni ya siku hiyo, CC ilitangaza kumuengua Sitta katika mbio za kuwania uspika na kubakiza majina ya wanawake watatu ambapo mwisho Anna Makinda alishinda.







Wait 2015, atakuja na ule msemo "Wameniomba hivyo nimekubali"
 
Ahamie CHADEMA 2015, na uspika ataukwaa, hakuna mizengwe, hakuna akina Lowassa ndani ya CHADEMA.
 
Ni wazo lenye busara kama atautekeleza, kwani kusubiri kung`atuliwa kuna punguza heshima kwa hawa wazee.
Big up sita, washauri na wazee wenzako waweze kukubali kuachia nafasi kwa vijana. Nchi hii sasa hivi inahitaji vijana wenye mawazo ya kileo yaliyo jaa uwazi na mtazamo wa kimaendeleo zaidi .
 
Ahamie CHADEMA 2015, na uspika ataukwaa, hakuna mizengwe, hakuna akina Lowassa ndani ya CHADEMA.

Kwani Chadema ndio chama pekee? Kama mimi ni Sitta na imenibidi kuhama CCM nitahamia NCCR au chama kisichokuwa na umaarufu.... Sote tunajua matatizo ya vyama vikubwa vya upinzani.
 
Sitta kama anataka urais aondoke CCM tofauti na hilo ampigie kampeni mtu mwingine na kufuatilia nyendo zote za mafisadi.
 
Kwani Chadema ndio chama pekee? Kama mimi ni Sitta na imenibidi kuhama CCM nitahamia NCCR au chama kisichokuwa na umaarufu.... Sote tunajua matatizo ya vyama vikubwa vya upinzani.
Haha hulali hupati usingizi sababu ya CHADEMA..Maneno yako hapo juu ushahidi tosha...


PEOPLE'S.......................................P....................WAAAAAAAA
 
Wajanja watatoa matamko haraka maana wanaona upepo unakokwenda mambo si mazuri kwa CCM. Wamesoma alama za nyakati na wanajua wamechokwa na wananchi.

Amefanya la maana sana, ameona ni afadhali ajitoe mwenyewe kuliko kuja kuumbuloiwa na wananchi katika sanduku la Kura kama kina Mramba na Chenge n.k.

Tunasubiri na wengine wajitoe...
 
Ahamie CHADEMA 2015, na uspika ataukwaa, hakuna mizengwe, hakuna akina Lowassa ndani ya CHADEMA.
ccm hawawezi kumpa nafasi amekikosti chama hicho, hivyo tunamkaribisha chadema, huku hatuna vinyongo, visasi, majungu, umafia na mengineyo ya gizani. huku tunaangalia uzalendo, uadilifu, uwajibikaji, uwazi na ujasiri, mengine ongezeeni wakuu:israel:
 
Spika wa Tatu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel John Tegeza Sitta amesema kuwa utumishi wake bungeni umetosha, hivyo ni wakati wake kustaafu. Amesema anastaafu bunge lakini siyo siasa, hivyo bunge la sasa atalitumia kunoa uwezo wa vijana kabla ya kuachana na siasa za bunge 2015.

Akizungumza bungeni Jumatano iliyopita, kabla ya Kamati Kuu ya CCM (CC) kuengua jina lake katika mbio za kuwania Uspika, Sitta alisema kuwa hatarajii kustaafu kwa sababu anaweza kuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu kwenye chama chake.

Awali, siku hiyo Sitta alimpongeza Mbunge wa Viti Maalum CCM (Vyama vya Wafanyakazi), Zainab Kawawa kwa ushindi aliopata na kumuahidi kumjenga kiuwezo kabla ya kuachia bunge mwaka 2015.

"Hongera sana, umerudi tuwajenge ili mwaka 2015 tutakapowaacha, muwe tayari na uzoefu," alisema Sitta akizungumza na Zainab.

Baada ya kunasa kauli hiyo, mwandishi wetu alimuuliza Mbunge huyo wa Urambo Mashariki kama hilo ni tamko rasmi au limetoka tu bila kudhamiria ambapo alijibu: "Ni tamko rasmi, sitagombea tena na hili ni bunge langu la mwisho."

Sitta alisema kuwa anafikiri kuwa utumishi wake ndani ya bunge umetosha, kwahiyo anataka kukuza vijana.

Wakati akizungumza hayo Jumatano asubuhi kwenye viunga wa bunge, jioni ya siku hiyo, CC ilitangaza kumuengua Sitta katika mbio za kuwania uspika na kubakiza majina ya wanawake watatu ambapo mwisho Anna Makinda alishinda.


http://www.wavuti.com/habari.html#ixzz15QQPqptc

Alama za nyakati hizo. Anajua hawezi kupambana na pipozi pawa tena. Ni muongo tu. Aliwadanganya wananchi wake kuwa elimu ya bure haiwezekani wakati binafsi anatoa elimu ya bure kwa watoto 200!!!??&%#@$% Sasa anajua ataulizwa mengi anajiwahi tu kuwaachia Chadema jimbo. Hahahahahahaha
 
Kwani Chadema ndio chama pekee? Kama mimi ni Sitta na imenibidi kuhama CCM nitahamia NCCR au chama kisichokuwa na umaarufu.... Sote tunajua matatizo ya vyama vikubwa vya upinzani.
This (in red) is nice......what an admission from someone draped in yellow and green!!
 
sitta kama Ben Nyitanyau au Rais Puttin maana anaachana na kile anaanzisha kipya sasa anamaanisha anautaka Urais, lakini kaisha poteza maana angewawai kabla zengwe hili lisingempata.
 
hapa hakuna haja ya kumpongeza ,jamani huyu jamaa amekuwa kiongozi tangu Nyerere,Mwisnyi,Mkapa,Kikwete..hawachoki?miaka mitano tena bado kweli atakuwa na nguvu za kuongoza? aende akapumzike bwana...
Ni wazo lenye busara kama atautekeleza, kwani kusubiri kung`atuliwa kuna punguza heshima kwa hawa wazee.
Big up sita, washauri na wazee wenzako waweze kukubali kuachia nafasi kwa vijana. Nchi hii sasa hivi inahitaji vijana wenye mawazo ya kileo yaliyo jaa uwazi na mtazamo wa kimaendeleo zaidi .
 
Haha hulali hupati usingizi sababu ya CHADEMA..Maneno yako hapo juu ushahidi tosha...


PEOPLE'S.......................................P....................WAAAAAAAA

Kwangu mimi chama hakina nafasi naangalia mtu maana hata kura yangu sijapikia chama kimoja!
 
Back
Top Bottom