Sister duuuuuuuuuuuuuuuu

prospa

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
554
156
Jamaaa kaopoa bone la Duu , kila baada ya sentensi mbili kiingeleza yaan yuo know you know nyingi tuu,

jamaa akaone huyu demu wa viwango vya kwa Obama , akaamua kumpeleka hoteli nyota tano wapate lunch then wafanye yao.

Muudumu: karibuni wapendanao naomba niwahudumie.

Mkaka: nipe menu kwanza.

Muudumu : na wewe mrembo nikupe nini?

Mdada : Na mi nipe hiyohiyo menu ila usiweke pilipili kabisa , tomato weka kwa mbali na mayonaiza kidogo tu si unajua nakeep figure.

mie nilikuwa meza ya pili nusura nizimie kwa kicheko......................
 
Jamaaa kaopoa bone la Duu , kila baada ya sentensi mbili kiingeleza yaan yuo know you know nyingi tuu,

jamaa akaone huyu demu wa viwango vya kwa Obama , akaamua kumpeleka hoteli nyota tano wapate lunch then wafanye yao.

Muudumu: karibuni wapendanao naomba niwahudumie.

Mkaka: nipe menu kwanza.

Muudumu : na wewe mrembo nikupe nini?

Mdada : Na mi nipe hiyohiyo menu ila usiweke pilipili kabisa , tomato weka kwa mbali na mayonaiza kidogo tu si unajua nakeep figure.

mie nilikuwa meza ya pili nusura nizimie kwa kicheko......................
LOL, hiyo kali.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom