prospa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 554
- 156
Jamaaa kaopoa bone la Duu , kila baada ya sentensi mbili kiingeleza yaan yuo know you know nyingi tuu,
jamaa akaone huyu demu wa viwango vya kwa Obama , akaamua kumpeleka hoteli nyota tano wapate lunch then wafanye yao.
Muudumu: karibuni wapendanao naomba niwahudumie.
Mkaka: nipe menu kwanza.
Muudumu : na wewe mrembo nikupe nini?
Mdada : Na mi nipe hiyohiyo menu ila usiweke pilipili kabisa , tomato weka kwa mbali na mayonaiza kidogo tu si unajua nakeep figure.
mie nilikuwa meza ya pili nusura nizimie kwa kicheko......................
jamaa akaone huyu demu wa viwango vya kwa Obama , akaamua kumpeleka hoteli nyota tano wapate lunch then wafanye yao.
Muudumu: karibuni wapendanao naomba niwahudumie.
Mkaka: nipe menu kwanza.
Muudumu : na wewe mrembo nikupe nini?
Mdada : Na mi nipe hiyohiyo menu ila usiweke pilipili kabisa , tomato weka kwa mbali na mayonaiza kidogo tu si unajua nakeep figure.
mie nilikuwa meza ya pili nusura nizimie kwa kicheko......................