- Thread starter
- #21
Thank you braza from another mother!! Haijalishi kwamba nimechelewa kuziona wishes zako!Thank you so much. I wish you the same.
Thank you braza from another mother!! Haijalishi kwamba nimechelewa kuziona wishes zako!Thank you so much. I wish you the same.
Tatizo lako wewe ni MVIVU wa kusoma, matokeo yake hata unapoelezwa jambo unashindwa kuelewa kwa sababu HUSOMI!Hata kama ukame upo, lakini sio kuruhusu miradi mikubwa ya gharama kubwa kama LNG ya $ 30bil. ianze, kama ikianza muhimu mkataba uwekwe wazi ijulikane hizo pesa zitatoka wapi, zitalipwaje kwa muundo upi, na kwa muda gani.
Tusilishane maneno mengi huku tukikwepa vitu vya msingi na kuzuiana kuhoji kwa sababu za kitoto, kupiga kelele kila siku kuna ukame.. kuna ukame.. hakutoshi, mipango iliyopo iwekwe mezani tuulizane maswali yajibiwe vizuri ndio mambo mengine yaendelee, tumeshapigwa sana.
Kwani na wewe niliku-tag hadi ujiingize kwenye kundi la "sisi"?Kwanza Sema 'Wewe' Sio Sisi.
#common sense is never common.
Hivi hujiulizi ni kwanini niliandika "Sisi Wazalendo" na sio "Sisi Wazalendo"?Uzalendo gani unazungumza kama sio Utopia, ukweli huu mchungu magufuri hakuacha legacy yoyote ila alijitahidi kuonesha tu uthubutu kwenye baadhi ya mambo. Ujenzi wa miondombinu sio legacies hizo coz hata watangulizi wake walisimamia ujenzi wa miondombinu nyingi Sana. Legacies mara nyingi huwa ni misingi ambayo uhai wa taifa unasimamia, kwa mfano baadhi ya misingi ya azimio la Arusha kama Umoja wa kitaifa mpaka leo imekuwa ndio tunu yetu ya Taifa. Ulinzi wa rasilimali za Taifa ni jukumu la kila mtu ambae ana mapenzi mema na taifa lake.
Nchi yetu inakabiliwa na ukame maeneo mengi tuombe mwenyezi Mungu aliongoze kwenye mapito haya. JPM was an individual hakuwa Tanzania hayupo sasa nchi yetu lazima iende bila kufanya uchonganishi wala shutuma za kudhania. Tofautisha chuki ya mtu na chuki ya nchi ni vitu viwili tofauti. Jenga taifa lako kwa mtizamo chanya, timiza wajibu wako wakiraia Tanzania inaitaji mchango wako wa mawazo mazuri sio majungu na fitina
Kama unawashwa na unatafuta mabasha, umepotea njia kwa sababu mimi sio mzibua mitaro , kenge wewe!!Tutaomba mtoto mmoja wa Magufuli akuoe utulie, maana sio kwa obsession hiyo.
Kama unawashwa na unatafuta mabasha, umepotea njia kwa sababu mimi sio mzibua mitaro , kenge wewe!Wewe mpaka upigwe mti na yule bonge mtoto wa Magufuli ndio utatuliza mshindo wa kumuota ota. Ngoja tukuconnect nae.
Sahihi Mkuu. Apinge kwa hoja. Sababu hakuna mtanzania utamwambia hatukabiliwi na ukame wakati karibu nchi nzima jua linawaka kila sehemu.Mkuu Chige , hoja hupingwa kwa hoja na sio kwa viroja!.
Gazeti limeripoti, hapa umetuletea heading tuu and not contents, kisha unasema kilichoripotiwa ni uongo.
Unapokanusha kuwa kitu fulani ni uongo, kwanza bring the contents tuone hilo gazeti limeripoti nini, kisha upangue uongo wao kwa kuweka ukweli wako.
Huu mtindo wa kusema negatives kwa blanket statements, nimetoka kuusema juzi humu,
ukituhumu , weka na facts na sio kwa blanket statements.Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho
Wanabodi, Nimekutana na bandiko hili lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu.. Dotto Biteko unajua utaondoka Wizara ya Madini, ndo uibe kiasi hicho? Hizo pesa utakufa utaziacha. Madini ya Tanzanite yanasafisishwa kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara na polisi katika mipaka...www.jamiiforums.com
P
Siwezi kuwa mfuasi wa shetaniUngekuwa Mfuasi wa JPM ningekuelewa sana lakini kwavile najua sio Mfuasi wa JPM basi sina shaka tatizo lako ni kutoelewa what's sarcasm!