Sisi wanaume wa shoka hizi ndo zetu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,274
23,050
Kiukweli mimi na msichana kiportable ni mbalimbali. I dont feel them. Naona hawana joto la kutosha. Kama umezoea kuendesha zile Trailers au Semi Trailers unapokuja kuendesha IST,VITZ au Passo hujisikii fresh.

Wanaume Rijali, Wa shoka tuna Pump Big Mammas. Machines zao zinakuwa za moto sana. Maana zimejificha flani hivi na kuundiwa joto kali sana. Unapiga hii kitu mpaka yenyewe inasema 'babe tupumzike kidogo"

Halafu ndo maumbo yetu sisi wabantu...kabla wazungu kwa sababu ya uvivu wao wa kushindwa endesha mashine zenye Turbo wakaleta habari zao za Vi portable.

Hii mizigo ni Misafi, Mitamu, Haina ulalamishi, Inajiamini, Inajua kudeka, Inajua Mapenzi.

"Leteni kwangu ninyi nyote mnaolemewa na mizigo. Nami nitawabebea"

Screenshot_20191012-054216~3.png
Screenshot_20191012-054950~2.png
Screenshot_20191012-054937~2.png
Screenshot_20191012-055005~2.png
Screenshot_20191012-055010~2.png
 
Napenda kuwaangalia wakitetema.... Hebu tuwekee na ka video wakiwa wanatetema... Chi chi chi chibongeeee..... Wanatingisha minyama tuu....


Kama hawaa...??


Ila wanaume mna uthubutu aiseeh aahahahahaaa jamaa hadi mikono inauma ila kwakuwa manyama malaini aahh anavumilia. Halafu inakuwaga wanaume wanaopenda heavy duty ni wembamba.
 
Niko hapa kusoma comments za wanaume membamba sana kupitiliza,nyie ndo wapenda tipwatipwa😂😂😂😂
 
Mwanamke mwenye nyama nyama ana raha yake.
Ukimlalia unaweza ukatamani umlalie hata siku nzima.usimwachie.
Acha Kabisa.
 
Kiukweli mimi na msichana kiportable ni mbalimbali. I dont feel them. Naona hawana joto la kutosha. Kama umezoea kuendesha zile Trailers au Semi Trailers unapokuja kuendesha IST,VITZ au Passo hujisikii fresh.

Wanaume Rijali, Wa shoka tuna Pump Big Mammas. Machines zao zinakuwa za moto sana. Maana zimejificha flani hivi na kuundiwa joto kali sana. Unapiga hii kitu mpaka yenyewe inasema 'babe tupumzike kidogo"

Halafu ndo maumbo yetu sisi wabantu...kabla wazungu kwa sababu ya uvivu wao wa kushindwa endesha mashine zenye Turbo wakaleta habari zao za Vi portable.

Hii mizigo ni Misafi, Mitamu, Haina ulalamishi, Inajiamini, Inajua kudeka, Inajua Mapenzi.

"Leteni kwangu ninyi nyote mnaolemewa na mizigo. Nami nitawabebea"

View attachment 1230257View attachment 1230259View attachment 1230261View attachment 1230262View attachment 1230264View attachment 1230266View attachment 1230268View attachment 1230270View attachment 1230272View attachment 1230273
Hapa si ntatolewa kwa nokauti kabisa?
 
Wembamba wa vyuma vya reli.....
Napenda kuwaangalia wakitetema.... Hebu tuwekee na ka video wakiwa wanatetema... Chi chi chi chibongeeee..... Wanatingisha minyama tuu....


Kama hawaa...??


Ila wanaume mna uthubutu aiseeh aahahahahaaa jamaa hadi mikono inauma ila kwakuwa manyama malaini aahh anavumilia. Halafu inakuwaga wanaume wanaopenda heavy duty ni wembamba.
 
Hizi truck mkuu zinaitaji dereva awe kimbaombao na awe ana gia kubwa ili aweze kuifikisha gari sehemu inayostahili
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom