kiLimIlire
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 311
- 639
I lik'em big mommas... Hasa utulivu wa kimawazo, hawanaga tafrani za kujimwambafai.
Mkuu umehamia kwa tukunyemazNapenda vibonge
Kinachowaharibu ni vitambi,wakiweza kuzuia vitambi ni wazuri sana kwa matumizi.
Ni kweli..Wanakuaga na baby face... Hata roho zao siyo mbaya...
Inshort wanapendeza... though kila mtu na mtazamo wake...
Cc: mahondaw
Kinachowaharibu ni vitambi,wakiweza kuzuia vitambi ni wazuri sana kwa matumizi.
Napenda kuwaangalia wakitetema.... Hebu tuwekee na ka video wakiwa wanatetema... Chi chi chi chibongeeee..... Wanatingisha minyama tuu....
Kama hawaa...??
Ila wanaume mna uthubutu aiseeh aahahahahaaa jamaa hadi mikono inauma ila kwakuwa manyama malaini aahh anavumilia. Halafu inakuwaga wanaume wanaopenda heavy duty ni wembamba.
Nmekupa likeNapenda kuwaangalia wakitetema.... Hebu tuwekee na ka video wakiwa wanatetema... Chi chi chi chibongeeee..... Wanatingisha minyama tuu....
Kama hawaa...??
Ila wanaume mna uthubutu aiseeh aahahahahaaa jamaa hadi mikono inauma ila kwakuwa manyama malaini aahh anavumilia. Halafu inakuwaga wanaume wanaopenda heavy duty ni wembamba.
Uzi huu.... Mambi chibonge
Mkuu vipi,kitambi chako kimepungua
Nmekupa like
Usipoyapenda yahivi, unakoswa uhondo .Unapenda mambo haya..!!??