Salehe Ndanda
Member
- Jun 15, 2009
- 41
- 3
Wanajf ongozeni nchi tungeanzia wapi? Kama tungekuwa viongozi wa Tanzania.
- Kubadili katiba ya nchi?
- Kuwakamata Mafisadi wote?
- Kurudisha nyumba za serikali?
- Kufukuza wawekezaji wa Madini wote?
- Kurudisha vipanya vyote katikati ya jiji?
- Kurudisha nyumba zilizobomolewa ktk ifadhi ya bala bala?
- Kufuta vyama vya upidhani vyote?
- Kuvunja muungano?
- Kurudisha form six kupitia jkt?
- Kufuta sheria ya kuua?
- KUTENGENEZA UMEME WA NUCLEAR KAMA KOREA YA KASKAZINI?
- Kurudisha mabasi ya karusi kama enzi ya mwl, j.k. Nyerere?
- Kuwakamata maraisi waliyopita wote na viongozi wake?
- Kuwarudisha waisraeli na kuwafukuza wachina na warusi?
- Kuiteka Rwanda na BURUNDI kuwachini ya Tanzania au Tanganyika?
- Kuwafukuza wahindi wote?
- Kupiga marufuku wanaovaa VIMINI?
- Kurudisha bendi za zamani zote ikiwemo TANKATI ALMASI BAND?
- Kupiga marufu bendi za sasa kuiga nyimbo za zamani?
- Kufufua kiwanda cha kutengeneza magari aina ya NYUMBU' Kibaha PWANI? AU Kupiga marufuku wanaokunywa wakati wa kazi?
- Kurudisha siku ya jumamosi kuwa siku ya kazi ?
- Kuwafukuza wakimbizi wote na kufunga mipaka yetu yote?
- Kupiga marufuku kula nyama poli yoyote akiwemo PANYA?
- KUPAMBANA NA KENYA KUACHA KUTANGAZA MLIMA KILIMANJARO KWAMBA UPO KENYA NA KUJIZOLEA WATALII WENGI KUPITIA KENYA KUJA MLIMA KILIMANJARO HATA KWA VITA?
- Kupiga lisasi wote wanaopatikana na hatia ya KUUA,KULARUSHWA,KUBAKA WATOTO,UFISADI, KUKUTWA NA VIUNGO VYA BINADAMU,KUUJUMU UCHUMI NA UKIKUTWA NA SIRAHA KINYUME NA SHERIA? RISASI HADHARANI JAGWANI.
- TUNGEFANYAJE KUONGOZA INCHI SIO LELEMAMA, SIO WATU WANAONGEA TUUU TUTAWEZA JF?
- Serikali yetu ingehamia Dodoma kwenye mji Mkuu?
- Tungejilimbikizia pesa uswiswi?
- Tungejinunulia magari ya kifahari na kujijengea majumba ya kifahari?
Last edited: