Sisi Waafrica hatupo serious kabisa, yaani hadi leo Robert Mugabe hajazikwa!!!

Hivi baba yake na Rais wa DRC ameshazikwa ?
Nakumbuka hayati Koffi Annan alikaa almost miezi miwili ndio akapumzishwa.
Huu ujinga nadhani upo Africa tu hapo kuna wajanja wanakula % zao kutoka kwenye kodi ya wavuja jasho....

Tshisekedi maiti yake ilizuiliwa na aliyekuwa rais wa Congo Joseph Kabila na serikali ndiyo ikaja kugharamikia gharama zote....
 
Mbona kawaida yenu kukaa na maiti masiku kadhaa mpaka muamue
Iwe maskini au tajiri Mbona kawaida kwa baadhi ila sio waafrika wote
 
Huu ujinga nadhani upo Africa tu hapo kuna wajanja wanakula % zao kutoka kwenye kodi ya wavuja jasho....

Tshisekedi maiti yake ilizuiliwa na aliyekuwa rais wa Congo Joseph Kabila na serikali ndiyo ikaja kugharamikia gharama zote....
Waafrika sio binadamu kamili
 
Yaani nimejaribu kutafari nimebaki na mshangao mkubwa sana....

Ukijaribu kufikiria namna ambavyo Nchi ya Zimbabwe ilivyo maskini kuanzia raia hadi nchi wote kiujumla ni maskini, lakini najiuliza nani anaegharamikia kuuzungusha mwili wa Marehemu Mugabe kwenye msafara wa magari ya serikali yasiyo pungua 20 na ndege kwenda kijijini kwao na kurudi mjini na kuzunguka nao baadhi ya maeneo ya Zimbabwe na gharama za kuuhifadhi Hospitalini, hizi gharama zinalipwa na nani?

Piga hesabu atazikwa baada ya mwezi mmoja, ni hela kiasi gani zimesha tumika na zinaendelea kutumika, usishangae hizi gharama zikalipwa na raia fukara wa Zimbambwe,

Hivi sisi Waafrica tunakwama wapi? Kwanni matatizo yetu tuwabebeshe wazungu?
kiwani kwetu mwenge huuoni ila mwili wa mugabe,bora mwili wa mugabe utagharamiwa kwa mwezi mmoja kuliko nmwenge unaogharamiwa milele
 
Yaani nimejaribu kutafari nimebaki na mshangao mkubwa sana....

Ukijaribu kufikiria namna ambavyo Nchi ya Zimbabwe ilivyo maskini kuanzia raia hadi nchi wote kiujumla ni maskini, lakini najiuliza nani anaegharamikia kuuzungusha mwili wa Marehemu Mugabe kwenye msafara wa magari ya serikali yasiyo pungua 20 na ndege kwenda kijijini kwao na kurudi mjini na kuzunguka nao baadhi ya maeneo ya Zimbabwe na gharama za kuuhifadhi Hospitalini, hizi gharama zinalipwa na nani?

Piga hesabu atazikwa baada ya mwezi mmoja, ni hela kiasi gani zimesha tumika na zinaendelea kutumika, usishangae hizi gharama zikalipwa na raia fukara wa Zimbambwe,

Hivi sisi Waafrica tunakwama wapi? Kwanni matatizo yetu tuwabebeshe wazungu?
Nchi za Afrika, haijalishi ni masikini kiasi gani, wanasiasa ndio wenye pesa, na huzitumia wanavyotaka wao. Walala hoi wanakamuliwa kodi, wanasiasa wanafanya kufuru ya matumizi.
 
Yaani nimejaribu kutafari nimebaki na mshangao mkubwa sana....

Ukijaribu kufikiria namna ambavyo Nchi ya Zimbabwe ilivyo maskini kuanzia raia hadi nchi wote kiujumla ni maskini, lakini najiuliza nani anaegharamikia kuuzungusha mwili wa Marehemu Mugabe kwenye msafara wa magari ya serikali yasiyo pungua 20 na ndege kwenda kijijini kwao na kurudi mjini na kuzunguka nao baadhi ya maeneo ya Zimbabwe na gharama za kuuhifadhi Hospitalini, hizi gharama zinalipwa na nani?

Piga hesabu atazikwa baada ya mwezi mmoja, ni hela kiasi gani zimesha tumika na zinaendelea kutumika, usishangae hizi gharama zikalipwa na raia fukara wa Zimbambwe,

Hivi sisi Waafrica tunakwama wapi? Kwanni matatizo yetu tuwabebeshe wazungu?
Uislam umeepukana na ujinga wa namna hii
 
Asiyezikwa ni mugabe tu duniani unatukana waafrika kunguru ww nenda korea kaskazini ujue nani hajazikwa mpaka leo
 
Waanakua hawaamini kama mtu kafa kweli hadi mwezi na zaidi ndiyo wanaanza kuamini kumbe kweli kafa ndiyo wanazika ,lakini huo ni ujinga wa mtu Mweusi kuamini sana kwenye miujiza!!!
Huo ni mtazamo wako. Kuna wa Ghana ninawafahamu na walipatwa na msiba wakanieleza sababu yao kuchelewa kuzika ni, wao wanasherehekea maisha ya marehemu aliyoishi duniani, kwa hivyo ikitokea mtu kafariki, wanaanza maandalizi kama sisi tunavyofanya maandalizi ya sherehe za harusi. Michango ipo, lazima kuje ngoma za asili n.k. Hayo mambo yanahitaji muda na pesa. Na kadiri marehemu anavyokuwa maarufu, na sherehe inaongezeka ukubwa, vilevile kuna uwezekano kuchelewa zaidi.
 
Back
Top Bottom