Sisi wa Miaka ya 90s na muziki wetu wa Kongo Mnawakumbuka hawa Rappers ?Huyu alikuwa Mkali.

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,321
11,410
Miaka hiyo muziki ambao ulikuwa ukitamba sana bongo ulikuwa ni lingala. enzi za akina kanda bongo man, bozi boziana, diblo dibala, lokassa ya mbongo,akina yondo sister, gatho,madilu system, defao, koffi olomide, aurlus mabele na kundi la loketo, soukos stars, soukos vibration, wenge musica,bcbg, zaita musika, pepe kalle etc

Je mnawakumbuka rappers mbalimbali waliokuwa na wanamuziki au makundi mbalimbali yakiwemo yaliyotajwa hapo juu?

Unaikumbuka album ya Koffi Olomide LOI? Yule jamaa aliye rap kwenye ile album yu wapi na ungemfananisha vipi na Rapper wa Pepe Kalle papy tex ? Akiwa na akina dilu dilumona, au unawezaje kumfananisha na aliyekuwa rapper wa General Defao katika album zake za Famile Kikuta na Sala noki?

Au umewahi sikiliza rapper wa wenge musica kala yi boeing? au pentagone? unawakumbuka wale rappers . Je unawakumbuka watu kama mimi kazidona? djuna mumbafu wa pepe kale akilicharaza guiter huku papy tex akighani na sauti yake nyororo? kule unamkuta mzee mzima koffi olomide akimwachia bwana mdogo arap huku yeye anachombeza kwa saut nzito... kama hataki hivi anaongea ongea maneno ambayo sisi hatuyfaham.... ila bwana mdogo flani yeye ana rap ana ghani akilalamika na kutupeleka mchaka mchaka? nani anawakumbuka hawa? Nani anaweza sema flani alikuwa mkali kuliko flani?

Huu mtindo wa kuwa na mtu wa kughani inasemekana aliuanzisha jitu la miaka minne pepe kalle na wengine wakaoana ni jambo zuri wakaliiga, ndo mwanzo wa kuwa na rapper. Mtu mzima anaimba halafu anakuja kumwachia rapper alete vionjo mbalimbali. Mpaka leo tutasema nani ni mkali ?

Mtindo huu wa kuwa na rappers unaendelea mpaka leo tunawaona hata akina fally ipupa na wengineo wanakuwa na rappers kwa ajili ya kuchombeza likianza kupigwa sebene....

Swali nani alikuwa au nani ni mkali wa rappers wote ambao umewahi wasikia? tuwaweke hapa na vibao vyao unavyokumbuka. Mimi ntakupa kibao cha pepe kalle rhumba rhumba, ntakupa kibao cha koffi olomide- loi au endrada. Kama hujanielewa kasikilize kibao cha famille kikuta cha general defao. Au nenda kawasikilize wenge musica na pentagone yao. au wenge bcbg titanic.
 
Hao atalaku wa koffi nawapenda sana hasa aliyerap kwenye album ya magie na nyinginezo, Ila KILA MBONGO wa extra musica namkubali sana.
 
Namuelewa zaidi Werrason (jina lake kamili silijui).... Leo ntakuwepo kwenye show yake pale Escape 1

Huyu jamaa ni hatari sana. Hapa 'Kalayi boinge',...... hapa 'Sololabien'.... Hatari sanaaaaaaa!
 
miaka hiyo muziki ambao ulikuwa ukitamba sana bongo ulikuwa ni lingala. enzi za akina kanda bongo man,bozi boziana,diblo dibala, lokassa ya mbongo,akina yondo sister,gatho,madilu system,defao,koffi olomide,aurlus mabele na kundi la loketo, soukos stars,soukos vibration, wenge musica,bcbg, zaita musika,pepe kalle, etc

je mnawakumbuka rappers mbalimbali waliokuwa na wanamuziki au makundi mbalimbali yakiwemo yaliyotajwa hapo juu?

unaikumbuka album ya Koffi Olomide LOI? yule jamaa aliye rap kwenye ile album yu wapi na ungemfananisha vipi na Rapper wa Pepe Kalle papy tex ? akiwa na akina dilu dilumona, au unawezaje kumfananisha na aliyekuwa rapper wa General Defao katika album zake za Famile Kikuta na Sala noki?

au umewahi sikiliza rapper wa wenge musica kala yi boeing? au pentagone? unawakumbuka wale rappers . je unawakumbuka watu kama mimi kazidona? djuna mumbafu wa pepe kale akilicharaza guiter huku papy tex akighani na sauti yake nyororo? kule unamkuta mzee mzima koffi olomide akimwachia bwana mdogo arap huku yeye anachombeza kwa saut nzito... kama hataki hivi anaongea ongea maneno ambayo sisi hatuyfaham.... ila bwana mdogo flani yeye ana rap ana ghani akilalamika na kutupeleka mchaka mchaka? nani anawakumbuka hawa? nani anaweza sema flani alikuwa mkali kuliko flani?

huu mtindo wa kuwa na mtu wa kughani inasemekana aliuanzisha jitu la miaka minne pepe kalle na wengine wakaoana ni jambo zuri wakaliiga. ndo mwanzo wa kuwa na rapper.. mtu mzima anaimba halafu anakuja kumwachia rapper alete vionjo mbalimbali. mpaka leo tutasema nani ni mkali ?

mtindo huu wa kuwa na rappers unaendelea mpaka leo tunawaona hata akina fally ipupa na wengineo wanakuwa na rappers kwa ajili ya kuchombeza likianza kupigwa sebene....

swali nani alikuwa au nani ni mkali wa rappers wote ambao umewahi wasikia? tuwaweke hapa na vibao vyao unavyokumbuka. mimi ntakupa kibao cha pepe kalle rhumba rhumba, ntakupa kibao cha koffi olomide- loi au endrada . kama hujanielewa kasikilize kibao cha famille kikuta cha general defao. au nenda kawasikilize wenge musica na pentagone yao. au wenge bcbg titanic.
 
mkuu unaujua mziki wa congo wa miaka hiyo, ila muziki huu wa congo ni miongoni mwa miziki inayoishi, pale KIN ( Kinshasa) mpaka leo watu wanaimba hizo ulbum na za nyuma ya hapo hasa la Zaiko langalanga, za akina Nyokalongo, na Djuna Djanana... Redi Amis na wengineo, le miziki ya ba congo , ni mutuka munene ukange njela
 
Hahahahaaaa......enzi hizo mzikiwa Kongo ukiwa mziki kweli.Atalaku(Repa) wa Koffi kwenye kwenye album ya Loi(Sheria) walikua wawili....Mboshi Lipasa na Paraboulique Somono.Najua wewe utakua unamsema Somono maana ndiye aliyekua anaonekana sana kwenye video nyingi za Koffi.

Atalaku wengine(Rappers) ninaowakumbuka ni kama wafuatao.
1.Roberto Wunda Ekokota&Tutu Kaluji(Wenge Musica BCBG kabla haijajitenga.
2.Theo Mbala&Yapekose(General Defao&Big Star)
3.Bileku Mpasi Djuna Mumbafu(Pepe Kalle)
4.Kila Mbongo&Arafat(Extra Musica)
5.Code Niawu.Huyu aliimba bendi mbalimbali za Kongo na hasa za miondoko ya Soukous kama Yondo Sisters,Kanda Bongo Man(Wimbo wa Bili),

Kuhusu nani nani alikua mkali ni ngumu sana kwa upande wangu sijajua hadi leo maana jamaa walikua hatari sana.
 
umenikumbusha BilekuMpasi nlimsahau hyu jamaa.. kiukweli alikuwa mzuri sana kwenye ku rap
Hahahahaaaa......enzi hizo mzikiwa Kongo ukiwa mziki kweli.Atalaku(Repa) wa Koffi kwenye kwenye album ya Loi(Sheria) walikua wawili....Mboshi Lipasa na Paraboulique Somono.Najua wewe utakua unamsema Somono maana ndiye aliyekua anaonekana sana kwenye video nyingi za Koffi.

Atalaku wengine(Rappers) ninaowakumbuka ni kama wafuatao.
1.Roberto Wunda Ekokota&Tutu Kaluji(Wenge Musica BCBG kabla haijajitenga.
2.Theo Mbala&Yapekose(General Defao&Big Star)
3.Bileku Mpasi Djuna Mumbafu(Pepe Kalle)
4.Kila Mbongo&Arafat(Extra Musica)
5.Code Niawu.Huyu aliimba bendi mbalimbali za Kongo na hasa za miondoko ya Soukous kama Yondo Sisters,Kanda Bongo Man(Wimbo wa Bili),

Kuhusu nani nani alikua mkali ni ngumu sana kwa upande wangu sijajua hadi leo maana jamaa walikua hatari sana.
 
B
Namuelewa zaidi Werrason (jina lake kamili silijui).... Leo ntakuwepo kwenye show yake pale Escape 1

Huyu jamaa ni hatari sana. Hapa 'Kalayi boinge',...... hapa 'Sololabien'.... Hatari sanaaaaaaa!
Anaitwa Noel Ngiama kama sikosei
 
B
Namuelewa zaidi Werrason (jina lake kamili silijui).... Leo ntakuwepo kwenye show yake pale Escape 1

Huyu jamaa ni hatari sana. Hapa 'Kalayi boinge',...... hapa 'Sololabien'.... Hatari sanaaaaaaa!
Anaitwa Noel Ngiama kama sikosei
 
Hahahahaaaa......enzi hizo mzikiwa Kongo ukiwa mziki kweli.Atalaku(Repa) wa Koffi kwenye kwenye album ya Loi(Sheria) walikua wawili....Mboshi Lipasa na Paraboulique Somono.Najua wewe utakua unamsema Somono maana ndiye aliyekua anaonekana sana kwenye video nyingi za Koffi.

Atalaku wengine(Rappers) ninaowakumbuka ni kama wafuatao.
1.Roberto Wunda Ekokota&Tutu Kaluji(Wenge Musica BCBG kabla haijajitenga.
2.Theo Mbala&Yapekose(General Defao&Big Star)
3.Bileku Mpasi Djuna Mumbafu(Pepe Kalle)
4.Kila Mbongo&Arafat(Extra Musica)
5.Code Niawu.Huyu aliimba bendi mbalimbali za Kongo na hasa za miondoko ya Soukous kama Yondo Sisters,Kanda Bongo Man(Wimbo wa Bili),

Kuhusu nani nani alikua mkali ni ngumu sana kwa upande wangu sijajua hadi leo maana jamaa walikua hatari sana.

Code Niawu ama 3615 Code Niawu ndio atalaku bora zaidi, ndiye aliyeshirikishwa kwenye project za wanamuziki wengi ndani na nje ya Congo. Alifanya tu enjoy dances za Kanda Bongo Man na Alain Kounkou, pia mashairi yake mengi alianzisha mwenyewe sio kama rappers wengine. Alipotea kwenye ramani pale bendi nyingi zilipoanza kutumia atalaku wa band zao.
Code Niawu, Djuna Mumbafu, Nono Monzuluku, Doudou Adoula, Roberto Ekokota, Lapino, Kila Mbongo, Shimita
 
Code Niawu ama 3615 Code Niawu ndio atalaku bora zaidi, ndiye aliyeshirikishwa kwenye project za wanamuziki wengi ndani na nje ya Congo. Alifanya tu enjoy dances za Kanda Bongo Man na Alain Kounkou, pia mashairi yake mengi alianzisha mwenyewe sio kama rappers wengine. Alipotea kwenye ramani pale bendi nyingi zilipoanza kutumia atalaku wa band zao.
Code Niawu, Djuna Mumbafu, Nono Monzuluku, Doudou Adoula, Roberto Ekokota, Lapino, Kila Mbongo, Shimita
Hahaaaa!Kweli unawajua Atalaku wa enzi hizo vizuri sana.
 
Hahaaaa!Kweli unawajua Atalaku wa enzi hizo vizuri sana.

Kuna Combination 2 Hatari kwenye sebene. 1. Nene Tchakou + Code Niawu + Kanda Bongo Man 2. Nene Tchakou + Code Niawu + Alain Kounkou.
1990’s wanamuziki wengi walimuhitaji Code Niawu hata nje ya mipaka ya Congo, Ivory Coast Togo etc
 
Back
Top Bottom