Nalisema hili isitokee kama wale wanaoshtukizwa na teuzi,tumesikia wakipashana kuwa wale wanaojipanga kwa nafasi ya Uraisi hapo 2025 wasahau !!!
Hili la wanaojipanga kugombea 2025 waache tabia hio mara moja ,sijui mlilisikia na kulichukulia poa ila hilo ni lao ,huku upinzani ni lazima juhudi za makusudi zichukuliwe ili kuanza kudai tume huru au iliyo huru kuhusiana na mambo ya uchaguzi tusisubiri kesho uchaguzi, ndio inakuwa kama tunaotoka kwenye usingizi mzito na kuweweseka kuwa tume sio huru.
Hii tume iliyopo ivunjwe na iundwe tume itakayopewa dhamana ya uchaguzi wa Nchi hii anaeshinda awe ameshinda kwa haki kabisa kama akivurunda au kuvuruga hilo itakuwa hakuna wa kulaumiwa, na wananchi watabeba mzigo wao wenyewe . leo tunaona kila kitu viongozi wanabebeba lawama kuwa hawakuchaguliwa na wananchi ndio maana wanafanya wanavyotaka na hakuna wa kuwalaumu.
Tume huru ndio muamuzi wa maisha ya watanzania na sio genge la wachache ndaniya CCM lilioiteka nchi hii.
Wakuu wa vyama vya upinzani sasa kazi kwenu kuanzisha sekeseke la kudai tume huru ya UCHAGUZI ,serikali ya CCM isipewe muda wa kurilex na kujifaragua ni lazima iendeshwe puta na mchaka mchaka ndivyo upinzani ulivyo,tumechoka na vitendo vyenu vya kuita vyombo vya habari. Imekuwa sasa ndio itikadi yenu.
Hili la wanaojipanga kugombea 2025 waache tabia hio mara moja ,sijui mlilisikia na kulichukulia poa ila hilo ni lao ,huku upinzani ni lazima juhudi za makusudi zichukuliwe ili kuanza kudai tume huru au iliyo huru kuhusiana na mambo ya uchaguzi tusisubiri kesho uchaguzi, ndio inakuwa kama tunaotoka kwenye usingizi mzito na kuweweseka kuwa tume sio huru.
Hii tume iliyopo ivunjwe na iundwe tume itakayopewa dhamana ya uchaguzi wa Nchi hii anaeshinda awe ameshinda kwa haki kabisa kama akivurunda au kuvuruga hilo itakuwa hakuna wa kulaumiwa, na wananchi watabeba mzigo wao wenyewe . leo tunaona kila kitu viongozi wanabebeba lawama kuwa hawakuchaguliwa na wananchi ndio maana wanafanya wanavyotaka na hakuna wa kuwalaumu.
Tume huru ndio muamuzi wa maisha ya watanzania na sio genge la wachache ndaniya CCM lilioiteka nchi hii.
Wakuu wa vyama vya upinzani sasa kazi kwenu kuanzisha sekeseke la kudai tume huru ya UCHAGUZI ,serikali ya CCM isipewe muda wa kurilex na kujifaragua ni lazima iendeshwe puta na mchaka mchaka ndivyo upinzani ulivyo,tumechoka na vitendo vyenu vya kuita vyombo vya habari. Imekuwa sasa ndio itikadi yenu.