sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Changanya na za kwako... Hapo nshakusamehe...SL siri yangu
Ujumbe nilioupata unaweza ukawa sawa na mada hapo juu au ukawa kinyume chake
ndo maana wanasema akili za kuambiwa
Changanya na za kwako... Hapo nshakusamehe...SL siri yangu
Ujumbe nilioupata unaweza ukawa sawa na mada hapo juu au ukawa kinyume chake
ndo maana wanasema akili za kuambiwa
Babu,
Namba tatu
labda wa zamani, siku hizi
ni wachache wanaowajibika ipasavyo
zawadi gani ya kupangiwa? Mwnye kutoa zawadi ndo anapanga atoe nini, hayo ni mauziano kma mauziano mengne
na ndo maana tunaomba kupnguziwa bei.
Sio kuthaminishwa huyo mwanamme, ni kujithaminisha wewe muolewaji.
Vitu vingi vinazingatiwa.....ukoo (jina), elimu, kipato, muonekano, n.k :]
Kama mimi mwalimu wa chekechea, inakuwa milioni kumi kwa sababu nna ujuzi wa ziada nitaoutumia nyumbani
Hakyanani Gee.....lolzMahari si bei ya ununuzi, mahari ni zawadi. Hatutaki wanaume wabaghili. Kama huna milioni kumi ya zawadi kwa mwanamke atakaekuwa nawe maisha yako yote chapa lapa...............lolz
Uliambiwa ukitoa hiyo hela ndio umeuziwa?..lolNdo maana wanawadunda wanawake!Unatoa mil 10,halafu gem unapewa kama mgawo wa umeme!!Hapo lazima meno ya varandani yawe halali yangu!!
Hakyanani Gee.....lolz
Uliambiwa ukitoa hiyo hela ndio umeuziwa?..lol
Uliambiwa ukitoa hiyo hela ndio umeuziwa?..lol
hahahaha ngoja nikadai risiti, lolKama ulikuwa hujawahi kuisikia zawadi ya kupangiwa ndo isikie sasa.
Utauziwa kitu bila risiti! Unanchekesha!
Taratibu mkuu, huko sasa umefika mbali, Id hapa inahusika vipi?..afu mume wangu ni memba humu, ukiambiwa ufafanue huyo jamaa wa Ngaramtoni ni nani utajibu nini? Tusivunjiane ndoa tafadhali, mume wangu anawahi kurudi nyumbani na hajashindwa kulipa school fees.Sweetlady,kwanza unabisha nini kuwa hatukati kiu yenu wakati hiyo ID yako yenyewe umeiweka kwasababu yule jamaa wa ngaramtoni anavyokata kiu yako!
Ndo maana wanawadunda wanawake!Unatoa mil 10,halafu gem unapewa kama mgawo wa umeme!!Hapo lazima meno ya varandani yawe halali yangu!!
Wasio wajibika wapo upande wa Bishanga kule
hahahaha ngoja nikadai risiti, lol
Gaijin usinifanyie hivyo bwana....lolz...mdogo mdogoHivi ujue mnanishangaza. Kama vile hiyo falsafa ya mahari kwa watoto wa mujini mlikuwa hamuijui!