Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
hehehehe haya bana, unatolewa M 10 akirudi usiku usiulize alikua wapi? lol, maana kakunua wewe! Gari haligomi kwa dereva.lol
Mahari si bei ya ununuzi, mahari ni zawadi. Hatutaki wanaume wabaghili. Kama huna milioni kumi ya zawadi kwa mwanamke atakaekuwa nawe maisha yako yote chapa lapa...............lolz