Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,389
Hapa nipo na marofa wenzangu tumeshashiba ugali wa mama ntilie, ghafla stori za corona zikaanza na ubishani mkubwa ukatokea,
Hivi serikali kwa nini isitangaze uvaaji wa barakoa kila mtu pindi anapotoka nyumbani kwake hasa katika haya majiji yaliyoathirika zaidi, mmoja kati ya marofa akasema "haiwezekani" kwani dunia nzima inalalamika kutotosheleza kwa hizo barakoa, mwingine akasema"inawezekana"
Tukamuuliza "inawezekana vipi"
Akaanza kueleza
Serikali ifadhili vile viwanda vinavyozalisha hii mifuko tunayotumia kununulia bidhaa sokoni badala yake izalishe barakoa kwa wingi sana usiku na mchana...hahaaaa aaah ha marofa tukacheka sana, pia akaongeza
Au kama hiyo ni ngumu, basi serikali itumie kiwango fulani cha fedha itangaze tenda kwa mafundi vyerehani zaidi ya 1000 Dar es Salaam nzima, kisha iwatafutie uwanja mkuuuubwa sana kama ule wa taifa, iwaweke hao mafundi vyerehani washone hizo barakoa kwa wingi wastani wa barakoa 200 kwa kila fundi usiku na mchana, kisha serikali iwauzie wananchi kwa gharama nafuu kabisa za ki-uwananchi ili kila mmoja wetu avae barakoa kila anapotoka nje ya hausi yake.. ..
Eti nyie wadau mnaonaje haya mawazo ya marofa hawa, eti inawezekana au haiwezekani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Hivi serikali kwa nini isitangaze uvaaji wa barakoa kila mtu pindi anapotoka nyumbani kwake hasa katika haya majiji yaliyoathirika zaidi, mmoja kati ya marofa akasema "haiwezekani" kwani dunia nzima inalalamika kutotosheleza kwa hizo barakoa, mwingine akasema"inawezekana"
Tukamuuliza "inawezekana vipi"
Akaanza kueleza
Serikali ifadhili vile viwanda vinavyozalisha hii mifuko tunayotumia kununulia bidhaa sokoni badala yake izalishe barakoa kwa wingi sana usiku na mchana...hahaaaa aaah ha marofa tukacheka sana, pia akaongeza
Au kama hiyo ni ngumu, basi serikali itumie kiwango fulani cha fedha itangaze tenda kwa mafundi vyerehani zaidi ya 1000 Dar es Salaam nzima, kisha iwatafutie uwanja mkuuuubwa sana kama ule wa taifa, iwaweke hao mafundi vyerehani washone hizo barakoa kwa wingi wastani wa barakoa 200 kwa kila fundi usiku na mchana, kisha serikali iwauzie wananchi kwa gharama nafuu kabisa za ki-uwananchi ili kila mmoja wetu avae barakoa kila anapotoka nje ya hausi yake.. ..
Eti nyie wadau mnaonaje haya mawazo ya marofa hawa, eti inawezekana au haiwezekani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂