Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,352
- 11,475
Na bado. Sisi CCM hatuna shida haya ya mafuta kupanda hayatuumizi. Unayajua ma VIEITIII? Unayajua? Au unayasikua tu? Ndo tunayoyatumia. Hata hayali kabisa mafuta. Yanatumia upepo tu. So mafuta kupanda bei haituhusu.
Sijuu bidhaa zimepanda bei, sijui maisha yamekuwa magumu. Tozo n.k hayo hayatuhusu sisi wana CCM kindaki ndaki. Ninyi wapinzani mtaisoma namba. Tena mtaisomea hata Ubavuni ikiwa mbele na nyuma hamwoni.
Mnapoambiwa ichagueni CCM ili ishindwe kwa kishindo mnachagua wapinzani. Wanawachelewesha na watawaumiza sana kwa kusababisha bei za vitu zipande.
Sijuu bidhaa zimepanda bei, sijui maisha yamekuwa magumu. Tozo n.k hayo hayatuhusu sisi wana CCM kindaki ndaki. Ninyi wapinzani mtaisoma namba. Tena mtaisomea hata Ubavuni ikiwa mbele na nyuma hamwoni.
Mnapoambiwa ichagueni CCM ili ishindwe kwa kishindo mnachagua wapinzani. Wanawachelewesha na watawaumiza sana kwa kusababisha bei za vitu zipande.