Sisi CCM ndo wenye Serikali, kama imekuuma jinyonge kwa udenda, Magari yetu na Wanachama ni wetu

pantheraleo

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
691
878
Salaam,

Nashangaa watu wanalalamika eti CCM inabeba watu kwenye Malori. Kwahiyo mtu kumsaidia kufika sehemu husika tatizo liko wapi?

Sisi tunajali wanachama wetu na hatutaki wapate tabu. Hivyo tutawabeba kwa kila aina ya usafiri tuitakayo. Iwe lori, Guta, Basi au Baskeli muhimu wafike eneo la tukio. Hata nyie bebeni wenu.

Tusipangiane wala tusifokeane. Uchaguzi ndo huu, na sisi ndo sisi waasisi. Kisa Uchaguzi eti tuwaache wanachama wetu wahangaike, haiwezekani. Magufuli hoyeee?? Mitano tena by power by force.

Kuna mtu mwenye swali? Karibu niwajibu. Kama nma hela na nyie Kodini Magari tuine kama mnaweza.. Imekula kwenu Mazee

1600409140281.png
1600409154987.png
1600409337422.png
1600409347192.png
 
Salaam,

Nashangaa watu wanalalamika eti CCM inabeba watu kwenye Malori. Kwahiyo mtu kumsaidia kufika sehemu husika tatizo liko wapi?

Sisi tunajali wanachama wetu na hatutaki wapate tabu. Hivyo tutawabeba kwa kila aina ya usafiri tuitakayo. Iwe lori, Guta, Basi au Baskeli muhimu wafike eneo la tukio. Hata nyie bebeni wenu.

Tusipangiane wala tusifokeane. Uchaguzi ndo huu, na sisi ndo sisi waasisi. Kisa Uchaguzi eti tuwaache wanachama wetu wahangaike, haiwezekani. Magufuli hoyeee?? Mitano tena by power by force.

Kuna mtu mwenye swali? Karibu niwajibu. Kama nma hela na nyie Kodini Magari tuine kama mnaweza.. Imekula kwenu Mazee

View attachment 1573090View attachment 1573091View attachment 1573092View attachment 1573094
Chama cha midwebwedo.
 
Back
Top Bottom