Sishauri Forker 50 na Forker 28 ziwe 'Branded' kama Ndege za Kibiashara za ATCL

Wewe na wenzio, mlioumia na system ya uongozi wa JPM, tunajua mko wengi sana,na kwa ujumla mmebanwa na kushikwa pabaya sana.
Ingawa unaongea kwa kuzidi kujaa sumu, mimi nitaendelea kukueleza ukweli.

Kwanza kauli zako ni ushahidi wazi tukuelewe, ya kwamba wewe unaweza kabisa kuwa wale wafanya matukio, halafu yakatupiwa lawama upande usiohusika.

Lakini pia usijipe" brand" kwamba wewe humu ni think tank.nasema wazi kila member humu ana haki sawa na mwingine yeyote ambaye amekidhi vigezo vya kumridhisha moderator kumuachia kuchangia bila kuvunja masharti na vigezo vya JF. (Ingawa siku zinavyosonga, kejeli na matusi yanazidi kuongezeka kwa baadhi ya wachangiaji).

Nashangaa unajiita mahiri, lakini unalipuka kwa vipande vidogo tu vya ukweli.
Je ungefanikiwa kuukwaa ukubwa wewe na unayemkosoa mna tofauti gani???.

Ungekuwa msomi lazima ungekuwa mstaarabu pia, na usingetoa vitisho vya maisha humu JF.hili ni jukwaa huru

na hupaswi kuligeuza kama jamvi la watu wa mlengo fulani na kujigeuza VIP wa JF ambaye ni untouchable.
Lakini pia ungekuwa smart usingetiririka humu hadi kufikia kutishia member maisha. Hii inaweza kuja kutumika kama• water tight evidence •

Jaribu kuacha mihemuko isiyo ya lazima na ukubali kuambiwa ukweli. Hata kama huupendi.

Nchi hii kabla ya JPM kushika madaraka ya urais, tayari tulikuwa tunaelekea kwenye mgawanyiko mkubwa kitabaka. Na enzi hizo kauli na vitisho kama hivi ulivyovitoa leo humu ndiyo ilikuwa lugha ya mtaani.

Kila aliyewahi kubahatika kuwa aidha na rafiki au ndugu mwenye madaraka,

itokeapo aidha katika hali ya kawaida iwe bar,kijiweni au hata mmepata ajali ya magari yenu kukwaruzana kidogo na hata bila kujali nani mkosefu.
Ilikuwa anapiga simu na dakika mbili kufumba na kufumbua zitatokea zitakako tokea iwe defender au whatever ,na kukusomba bila kutaka kujua nani mkosefu.

Na utasindikizwa na kauli kali kama NITAKUPOTEZA MIMI au NITAKUFICHA! nk.

Sasa hayo matabaka niliyoyatolea mfano hayapo tena. .

Acha JPM atujengee nchi na acha hizi zipakwe rangi. VIVA MAGUFULI.

.
Kwani Siasa ni nini Kwanza? Labda tuanzie hapo ili nithibitishe rasmi ' Upumbavu ' wako. Kuhusu Mimi kuwepo hapa wala hujakosea na huwa nipo hapa kwa Masaa Saba ( 7 ) ndani ya Masaa yote 24 ya Siku ambapo Saa 1 Kamili hadi Saa 2 Kamili asubuhi huwa nakuwepo. Kisha Saa 4 Kamili asubuhi hadi Saa 6 Kamili mchana huwa nakuwepo. Halafu tena Saa 1 Kamili usiku hadi Saa 3 Kamili usiku huwa nakuwepo na Saa 4 Kamili usiku hadi Saa 6 Kamili usiku huwa nakuwepo nimejaa tele hapa JamiiForums.

Kuhusu Laptop yangu ukisema nimepewa kwa Mgongo wa Kijobi Simba utakuwa unakosea ila ukweli ni kwamba hii Laptop niliiokota tena ni ya Mtumba kabisa halafu ni Mbovu kiasi kwamba kila Siku huwa inanisumbua hivyo kama labda utakuwa na nyingine unaweza ukaniazima ili niwe natiririka na kuserereka nayo hapa Jamvini.

Kuhusu sijui Kujificha na hii ' ID ' yangu huku ukionyesha dhahiri kuwa unanitishia labda nijue Wewe ni Mtu wa ' System ' nadhani Vitisho vyako hivi vielekeze kwa mwingine kwani Kwangu Mimi unaweza ukayapata yale ambayo hukuyatarajia kabisa na ukashangaa kuwa pamoja na kwenda Kwako Kote Kozi lakini nimekuweza na nimekumaliza vile vile. Wengine ' Umafia ' hatujaunza leo hivyo usitafute makubwa kisha ukawapa bure ' Majonzi ' ya Milele wana Familia wako na hasa hasa Mkeo na ukajuta na wakajuta pia.

Unposema kuwa kuna Watu wapo ' Smart ' na wanafanya Maisha yao unataka kumaanisha nini? Nani aliyekuambia kuwa kuwepo hapa Jamvini kunamzuia Mtu kufanya Mambo yake ya Kimaendeleo? Aliyekuambia ukiwa huonekani hapa JF ndiyo Mfanyakazi bora ni nani? Hivi ni lazima kila Mtu afanye Kazi unayoifanya ' Fungulu Ngenge ' Wewe uliyetukuka? Halafu ulivyo ' CERTIFIED FOOL ' hujui pia kuwa Mtandao huu huu wa JamiiForums kwa wengine kutokana na ' nature ' za Fani zao tayari ni sehemu ya Ajira tosha Kwao? Halafu nikiwa ' nawadharau ' kuwa hamna ' Akili ' huwa mnanilaumu na kukasirika wakati kumbe huwa nipo sahihi kwa 100%.

Mwisho kabisa sikusoma ili nije nitafute ' short cut ' maishani bali nimesoma ili Elimu yangu iweze kunisaidia Kupambanua Changamoto za Kijamii, niwasaidie ambao hawakupata fursa hii ya Elimiu ili kwa pamoja tuweze kufikia Kilele cha Maendeleo kama siyo Mafanikio. Sina haja ya Kutambia Elimu yangu au Vyeti vyangu bali ninachojua tu ni kwamba hata hii Mimi kuwepio hapa mara kwa mara pia ni sehemu ya Kuchangia na Kuigawa Elimu yangu kwa wengine na ndiyo maana unaona GENTAMYCINE ni ' brand ID ' na ' talk of the forum / platform ' hapa tena pengine hata kuliko Wewe.

Halafu unanipangia Mimi kuwepo hapa Wewe kama nani labda? Umeshanichangia hata Siku moja Hela ya ' Bando ' langu? Je nimeshawahi kuja na Kukupigia hodi kukuomba Hela ya ' Bando ' hapa? Kama unajua humpendi au unachukizwa na Mimi GENTAMYCINE hivi ninapoanzisha ' threads ' mbalimbali hapa Jamvini huwa nakuita au nawaiteni? Ni Nyege Nyege zenu na Kuwashwawashwa Kwenu nami huku Mioyoni mwenu mkiwa mnanikubali kabisa ndiyo huwa vinawafanya mnifuatilie. Mnafiki mkubwa Wewe.

Nimemaliza na usisahau ' Kuwafowadia ' ujumbe na wale ' Mafulu Ngenge ' wenzio tafadhali.

This is GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.
View attachment 992205
tapatalk_1547239041066.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba usubili hizi zipakwe rangi
 
1 .kuchoka (kumbuka ile ya JK ununuzi wake ulikua expensive mno mpaka wabunge wakalalamika)

2.hatari kwa rais atakayekuja kama mfumo utabaki huo

3.maintanance. hizo bombadia tu zinategemewa kughalimu more than 5 billion kwenda marekani kwa service mwaka huu. Je hizo za rais

Sent using Jamii Forums mobile app

point no.2 umeamua kujazilizia tu
 
Kwani Siasa ni nini Kwanza? Labda tuanzie hapo ili nithibitishe rasmi ' Upumbavu ' wako. Kuhusu Mimi kuwepo hapa wala hujakosea na huwa nipo hapa kwa Masaa Saba ( 7 ) ndani ya Masaa yote 24 ya Siku ambapo Saa 1 Kamili hadi Saa 2 Kamili asubuhi huwa nakuwepo. Kisha Saa 4 Kamili asubuhi hadi Saa 6 Kamili mchana huwa nakuwepo. Halafu tena Saa 1 Kamili usiku hadi Saa 3 Kamili usiku huwa nakuwepo na Saa 4 Kamili usiku hadi Saa 6 Kamili usiku huwa nakuwepo nimejaa tele hapa JamiiForums.

Kuhusu Laptop yangu ukisema nimepewa kwa Mgongo wa Kijobi Simba utakuwa unakosea ila ukweli ni kwamba hii Laptop niliiokota tena ni ya Mtumba kabisa halafu ni Mbovu kiasi kwamba kila Siku huwa inanisumbua hivyo kama labda utakuwa na nyingine unaweza ukaniazima ili niwe natiririka na kuserereka nayo hapa Jamvini.

Kuhusu sijui Kujificha na hii ' ID ' yangu huku ukionyesha dhahiri kuwa unanitishia labda nijue Wewe ni Mtu wa ' System ' nadhani Vitisho vyako hivi vielekeze kwa mwingine kwani Kwangu Mimi unaweza ukayapata yale ambayo hukuyatarajia kabisa na ukashangaa kuwa pamoja na kwenda Kwako Kote Kozi lakini nimekuweza na nimekumaliza vile vile. Wengine ' Umafia ' hatujauanza leo hivyo usitafute makubwa kisha ukawapa bure ' Majonzi ' ya Milele wana Familia wako na hasa hasa Mkeo na ukajuta na wakajuta pia.

Unposema kuwa kuna Watu wapo ' Smart ' na wanafanya Maisha yao unataka kumaanisha nini? Nani aliyekuambia kuwa kuwepo hapa Jamvini kunamzuia Mtu kufanya Mambo yake ya Kimaendeleo? Aliyekuambia ukiwa huonekani hapa JF ndiyo Mfanyakazi bora ni nani? Hivi ni lazima kila Mtu afanye Kazi unayoifanya ' Fungulu Ngenge ' Wewe uliyetukuka? Halafu ulivyo ' CERTIFIED FOOL ' hujui pia kuwa Mtandao huu huu wa JamiiForums kwa wengine kutokana na ' nature ' za Fani zao tayari ni sehemu ya Ajira tosha Kwao? Halafu nikiwa ' nawadharau ' kuwa hamna ' Akili ' huwa mnanilaumu na kukasirika wakati kumbe huwa nipo sahihi kwa 100%.

Mwisho kabisa sikusoma ili nije nitafute ' short cut ' maishani bali nimesoma ili Elimu yangu iweze kunisaidia Kupambanua Changamoto za Kijamii, niwasaidie ambao hawakupata fursa hii ya Elimiu ili kwa pamoja tuweze kufikia Kilele cha Maendeleo kama siyo Mafanikio. Sina haja ya Kutambia Elimu yangu au Vyeti vyangu bali ninachojua tu ni kwamba hata hii Mimi kuwepio hapa mara kwa mara pia ni sehemu ya Kuchangia na Kuigawa Elimu yangu kwa wengine na ndiyo maana unaona GENTAMYCINE ni ' brand ID ' na ' talk of the forum / platform ' hapa tena pengine hata kuliko Wewe.

Halafu unanipangia Mimi kuwepo hapa Wewe kama nani labda? Umeshanichangia hata Siku moja Hela ya ' Bando ' langu? Je nimeshawahi kuja na Kukupigia hodi kukuomba Hela ya ' Bando ' hapa? Kama unajua humpendi au unachukizwa na Mimi GENTAMYCINE hivi ninapoanzisha ' threads ' mbalimbali hapa Jamvini huwa nakuita au nawaiteni? Ni Nyege Nyege zenu na Kuwashwawashwa Kwenu nami huku Mioyoni mwenu mkiwa mnanikubali kabisa ndiyo huwa vinawafanya mnifuatilie. Mnafiki mkubwa Wewe.

Nimemaliza na usisahau ' Kuwafowadia ' ujumbe na wale ' Mafulu Ngenge ' wenzio tafadhali.

This is GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.
Yaani ni hivii hizi zipakwe rangi tu, katavi, mpanda, Shinyanga, Mara, Tabora, kigoma nk pia wapande ndege...hata huko kuna wabunge na wasomi,wafanyabiashara na madaktari,lakini pia hata wagonjwa wenye umuhimu na kuwahishwa kupata matibabu bila kupata adha ya kuwa kwenye magari na kuwaongezea maumivu na hata kusababishia vifo.
tapatalk_1547239041066.jpeg
tapatalk_1547239015576.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Siasa ni nini Kwanza? Labda tuanzie hapo ili nithibitishe rasmi ' Upumbavu ' wako. Kuhusu Mimi kuwepo hapa wala hujakosea na huwa nipo hapa kwa Masaa Saba ( 7 ) ndani ya Masaa yote 24 ya Siku ambapo Saa 1 Kamili hadi Saa 2 Kamili asubuhi huwa nakuwepo. Kisha Saa 4 Kamili asubuhi hadi Saa 6 Kamili mchana huwa nakuwepo. Halafu tena Saa 1 Kamili usiku hadi Saa 3 Kamili usiku huwa nakuwepo na Saa 4 Kamili usiku hadi Saa 6 Kamili usiku huwa nakuwepo nimejaa tele hapa JamiiForums.

Kuhusu Laptop yangu ukisema nimepewa kwa Mgongo wa Kijobi Simba utakuwa unakosea ila ukweli ni kwamba hii Laptop niliiokota tena ni ya Mtumba kabisa halafu ni Mbovu kiasi kwamba kila Siku huwa inanisumbua hivyo kama labda utakuwa na nyingine unaweza ukaniazima ili niwe natiririka na kuserereka nayo hapa Jamvini.

Kuhusu sijui Kujificha na hii ' ID ' yangu huku ukionyesha dhahiri kuwa unanitishia labda nijue Wewe ni Mtu wa ' System ' nadhani Vitisho vyako hivi vielekeze kwa mwingine kwani Kwangu Mimi unaweza ukayapata yale ambayo hukuyatarajia kabisa na ukashangaa kuwa pamoja na kwenda Kwako Kote Kozi lakini nimekuweza na nimekumaliza vile vile. Wengine ' Umafia ' hatujauanza leo hivyo usitafute makubwa kisha ukawapa bure ' Majonzi ' ya Milele wana Familia wako na hasa hasa Mkeo na ukajuta na wakajuta pia.

Unposema kuwa kuna Watu wapo ' Smart ' na wanafanya Maisha yao unataka kumaanisha nini? Nani aliyekuambia kuwa kuwepo hapa Jamvini kunamzuia Mtu kufanya Mambo yake ya Kimaendeleo? Aliyekuambia ukiwa huonekani hapa JF ndiyo Mfanyakazi bora ni nani? Hivi ni lazima kila Mtu afanye Kazi unayoifanya ' Fungulu Ngenge ' Wewe uliyetukuka? Halafu ulivyo ' CERTIFIED FOOL ' hujui pia kuwa Mtandao huu huu wa JamiiForums kwa wengine kutokana na ' nature ' za Fani zao tayari ni sehemu ya Ajira tosha Kwao? Halafu nikiwa ' nawadharau ' kuwa hamna ' Akili ' huwa mnanilaumu na kukasirika wakati kumbe huwa nipo sahihi kwa 100%.

Mwisho kabisa sikusoma ili nije nitafute ' short cut ' maishani bali nimesoma ili Elimu yangu iweze kunisaidia Kupambanua Changamoto za Kijamii, niwasaidie ambao hawakupata fursa hii ya Elimiu ili kwa pamoja tuweze kufikia Kilele cha Maendeleo kama siyo Mafanikio. Sina haja ya Kutambia Elimu yangu au Vyeti vyangu bali ninachojua tu ni kwamba hata hii Mimi kuwepio hapa mara kwa mara pia ni sehemu ya Kuchangia na Kuigawa Elimu yangu kwa wengine na ndiyo maana unaona GENTAMYCINE ni ' brand ID ' na ' talk of the forum / platform ' hapa tena pengine hata kuliko Wewe.

Halafu unanipangia Mimi kuwepo hapa Wewe kama nani labda? Umeshanichangia hata Siku moja Hela ya ' Bando ' langu? Je nimeshawahi kuja na Kukupigia hodi kukuomba Hela ya ' Bando ' hapa? Kama unajua humpendi au unachukizwa na Mimi GENTAMYCINE hivi ninapoanzisha ' threads ' mbalimbali hapa Jamvini huwa nakuita au nawaiteni? Ni Nyege Nyege zenu na Kuwashwawashwa Kwenu nami huku Mioyoni mwenu mkiwa mnanikubali kabisa ndiyo huwa vinawafanya mnifuatilie. Mnafiki mkubwa Wewe.

Nimemaliza na usisahau ' Kuwafowadia ' ujumbe na wale ' Mafulu Ngenge ' wenzio tafadhali.

This is GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.

brand ID umeweka kichekesho leo
 
Kwa hiyo unashauri zipaki tu

Hapana ushauri wa kiuchumi nikuwa kwa vile tuna ndege za kutosha sasa kwa safari za ndani na pia kwenda nchi za jirani na pia kwavile hizo ndege mbili za serikali hazina matumizi ni bora hizo ndege mbili zikauzwa na pesa itakayopatikana itumike kwenye maendeleo ya nchi! It will be a rational decision.
 
Hapana ushauri wa kiuchumi nikuwa kwa vile tuna ndege za kutosha sasa kwa safari za ndani na pia kwenda nchi za jirani na pia kwavile hizo ndege mbili za serikali hazina matumizi ni bora hizo ndege mbili zikauzwa na pesa itakayopatikana itumike kwenye maendeleo ya nchi! It will be a rational decision.
Una uhakika gani kwamba hizo ndege zilizonunuliwa zinatosha wakati bado routes za nje hazijaanza!

Una uhakika gani na bei zitayouzwa kama itatosheleza hayo unayoyapendekeza.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe hana mshauri. MaCCM wenzake wote wanamgwaya

It is a pity that a political party that had men who could stand up against their chairman when he made stupid decisions is the same party that does not have members with the courage to stand up against the stupid decisions that are now made by a novice CHAIRMAN!!

Huko nyuma hiki chama tawala kilikuwa na WANAUME kwenye halmashauri kuu na kamati kuu ambao walikuwa hawana woga wa kumwambia mwalimu kuwa alikuwa amekosea. Marehemu Rajab Diwani, Masudi Mtandika, Mwangoka, Budodi, Kaaya, Dossa Aziz etc. hawa walikuwa wanaume waliodiriki hata kumwambia mwalimu kuwa kama alikuwa amechoka kazi basi angerudisha funguo za ofisi na wao wangemkabidhi mtu mwingine!! Bahati mbaya siku hizi hakuna tena wanaume kwenye halmashsuri na kamati kuu ya chama tawala, wamejaa wachumia matumbu tu; JIWE anajifanyia mambo anayotaka hata kuwapa vyeo watoto wa dada zake na hakuna hata mtu anayethubutu kuhoji uhalali wa teuzi kama hizo!! Ina huzunisha sana.
 
Huyo kichaa anaweza kabisa kuifanya hoteli. Janga kubwa la Taifa huyo.

Inasikitisha sana...

Vitu vya serikali na viheshimiwe jamani... hizo ndege zilikuwepo kwa ajili ya waliyopita na zinatakiwa ziendelee kuwepo kwa ajili ya atakayokuja...

Tusipoangalia tutaanza kupangisha mpaka jumba jeupe...


Cc: mahondaw
 
Una uhakika gani kwamba hizo ndege zilizonunuliwa zinatosha wakati bado routes za nje hazijaanza!

Una uhakika gani na bei zitayouzwa kama itatosheleza hayo unayoyapendekeza.



Sio lazima uanze routes ndio ujue kama ndege ulizonazo zitatumika to full capacity; kuna wataalam wanafanya kazi yao na kujua demand ya seats za kila route. Mpaka sasa hizo safari na routes unazosema compétition ni very fierce mpaka hiyo DREAMLINER imeishia kubeba MBUZI kwenda Dubai. Hizo safari za India na China mpaka leo ni ndoto; kwani hata wakienda wana uhakika gani kuwa watakuwa na passengers na cargo ya kutosha wakati wa return leg!

Kuhusu kuziuza hizo ndege you will be better off kuziuza pale unapopata bei nzuri kuliko kuzifuga bila matumizi!! Locally mpaka sasa zile Bombardier na Airbus zinatosha kabisa na hata kuwa na excess capacity so the only rational decision ni kuuza hizo ndege za serikali kwa mbei nzuri.
 
Sio lazima uanze routes ndio ujue kama ndege ulizonazo zitatumika to full capacity; kuna wataalam wanafanya kazi yao na kujua demand ya seats za kila route. Mpaka sasa hizo safari na routes unazosema compétition ni very fierce mpaka hiyo DREAMLINER imeishia kubeba MBUZI kwenda Dubai. Hizo safari za India na China mpaka leo ni ndoto; kwani hata wakienda wana uhakika gani kuwa watakuwa na passengers na cargo ya kutosha wakati wa return leg!

Kuhusu kuziuza hizo ndege you will be better off kuziuza pale unapopata bei nzuri kuliko kuzifuga bila matumizi!! Locally mpaka sasa zile Bombardier na Airbus zinatosha kabisa na hata kuwa na excess capacity so the only rational decision ni kuuza hizo ndege za serikali kwa mbei nzuri.
Maneno meengi point ni ileile.
Hebu tuambieni nini matunda ya mlipowahi toa ushauri kabla ya kuja kubwabwaja short cuts humu.
Hizo nchi mnazosifia kimaendeleo unadhani walifika huko bila kujaribu wao binafsi.
Leo mnang'anga'nia keyboards humu JT.
Wenzenu wanachangamkia fursa za ajira na kuyarusha hayo madege kuja tizoo!

Ndege ni biashara inayofanyika kwa vigezo vya kimataifa. Sio kama daladala au bajaj unanunua leo kesho peleka route ya magomeni no...no.

Lazima ziandaliwe hususan upande wa sales agencies internationally, ndio maana inachukua muda kuanza pamoja na flying routes certificates etc.
Mbona hiyo ya shirima wenu hamkumpa ushirikiano na consultations hadi la fail kwa fast mwewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni ' dharau ' kubwa kwa Marais waliopita kuanzia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete kwa Mtu mmoja leo kuamua kwa ' Kukurupuka ' tu kuwa Ndege za Rais Forker 50 na Forker 28 ziwe ' Branded ' kama ' Commercial Planes ' za ATCL.

Hili halipo na halijawahi kutokea nchi yoyote ile duniani na naamini hata tungekuwa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu hata Yeye pia asingefanya hiki ' Kituko ' ambacho GENTAMYCINE nakiita ni cha Kufungulia mwaka huu ambao bado ni mbichi kabisa wa 2019.

Hoja kwamba zipakwe rangi kisha zichuke Abiria kwakuwa huwa zinakuwa ' grounded ' tu na kwamba hata mwenye Kuhusika nazo huwa hazitumii kwakuwa hasafiri mara kwa mara kutolewa na ' PhD Holder ' kidogo ni kutaka Kuwadhalilisha ' Intellectuals ' wote nchini Tanzania.

Wasaidizi wa Rais hebu fanyeni Kazi zenu vyema Kwake kwa Kumshauri mnaogopa nini? Hivi Sekta ya Anga ya leo au ATCL ya leo inahitaji kweli hadi hata Ndege za Marais nazo ziwe ' branded ' na zijumuishwe kama Ndege za Biashara na Kubeba Abiria? Je kuna hilo hitaji kweli?

Ningeambiwa au ningesikia Hoja kwamba labda Ndege hizo ziuzwe na ibaki moja kisha hizo Hela zitumike Kuimarisha Sekta ya Kilimo ambayo inahitaji msaada na ungalizi mkubwa ningemwelewa Mheshimiwa Rais na ningekubaliana nae kwa 100% ila kwa hii Hoja yake ya leo nampinga na naona ni kama vile ' Tusi ' kwa Watangulizi wake.

Wengine tumeumbwa kuwa wakweli na wawazi hivi hivyo mtusamehe tu na tuvumiliane. Tuache Kukurupuka na kuwa na ' Mihemko ' isiyo na Tija wala Mantiki. Halafu akina Donald Trump ' wakitutukana ' Waafrika huwa tunalalamika na kuona labda anatuonea wakati kumbe huwa yuko sahihi tena kwa 100% zote kutokana na ' Madhaifu ' yetu ya asili.

Nimesikitika!

Nawasilisha.
Sasa kuuzwa na kugeuzwa kwa matumizi ya biashara lipi ni jambo jema? Mwacheni Rais atimize ndoto zake Jamani msitafute credit za Bure bure tiu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni ' dharau ' kubwa kwa Marais waliopita kuanzia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete kwa Mtu mmoja leo kuamua kwa ' Kukurupuka ' tu kuwa Ndege za Rais Forker 50 na Forker 28 ziwe ' Branded ' kama ' Commercial Planes ' za ATCL.

Hili halipo na halijawahi kutokea nchi yoyote ile duniani na naamini hata tungekuwa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu hata Yeye pia asingefanya hiki ' Kituko ' ambacho GENTAMYCINE nakiita ni cha Kufungulia mwaka huu ambao bado ni mbichi kabisa wa 2019.

Hoja kwamba zipakwe rangi kisha zichuke Abiria kwakuwa huwa zinakuwa ' grounded ' tu na kwamba hata mwenye Kuhusika nazo huwa hazitumii kwakuwa hasafiri mara kwa mara kutolewa na ' PhD Holder ' kidogo ni kutaka Kuwadhalilisha ' Intellectuals ' wote nchini Tanzania.

Wasaidizi wa Rais hebu fanyeni Kazi zenu vyema Kwake kwa Kumshauri mnaogopa nini? Hivi Sekta ya Anga ya leo au ATCL ya leo inahitaji kweli hadi hata Ndege za Marais nazo ziwe ' branded ' na zijumuishwe kama Ndege za Biashara na Kubeba Abiria? Je kuna hilo hitaji kweli?

Ningeambiwa au ningesikia Hoja kwamba labda Ndege hizo ziuzwe na ibaki moja kisha hizo Hela zitumike Kuimarisha Sekta ya Kilimo ambayo inahitaji msaada na ungalizi mkubwa ningemwelewa Mheshimiwa Rais na ningekubaliana nae kwa 100% ila kwa hii Hoja yake ya leo nampinga na naona ni kama vile ' Tusi ' kwa Watangulizi wake.

Wengine tumeumbwa kuwa wakweli na wawazi hivi hivyo mtusamehe tu na tuvumiliane. Tuache Kukurupuka na kuwa na ' Mihemko ' isiyo na Tija wala Mantiki. Halafu akina Donald Trump ' wakitutukana ' Waafrika huwa tunalalamika na kuona labda anatuonea wakati kumbe huwa yuko sahihi tena kwa 100% zote kutokana na ' Madhaifu ' yetu ya asili.

Nimesikitika!

Nawasilisha.
Ati points kubwa
1. Maraisi wengine wamedharauliwa.. How??
2. Haijawahi kutokea duniani.."muzungu hajawahi kufanya hivyo??" So what? Katiba hairuhusu?
3. Wasaidizi wa raisi wamshauri .... nini sasa.. point iko wapi wamshauri??
4. Ningeambiwa.... ??
 
Ni assets ambazo zina depreciate with time, atayekuja anaweza akaikuta juu ya mawe. Pia kuna uzi humu jf watu waliuliza ile ndege iko wapi na inafanya nini maana haitumiki, sasa imepewa matumizi wale wale wanakuja bwabwaja kwa nini inatumiwa.
Asante sana kwa kuongelea depreciation of asset. Yaani zile ndege zikae tu, halafu hatujaongelea gharama za kutunza kitu ambacho kimekaa tu.
 
Ati points kubwa
1. Maraisi wengine wamedharauliwa.. How??
2. Haijawahi kutokea duniani.."muzungu hajawahi kufanya hivyo??" So what? Katiba hairuhusu?
3. Wasaidizi wa raisi wamshauri .... nini sasa.. point iko wapi wamshauri??
4. Ningeambiwa.... ??
Yaani ndege ziendelee tu kukaa bure, marais wawe wanakuja na kuondoka lakini ndege ziwe zinakarabatiwa na kutunzwa halafu hazitumiki.

JPM ni mchumi japo hajasomea uchumi. Wabongo tunamezwa na ufahari usio na tija.
 
Hii ni ' dharau ' kubwa kwa Marais waliopita kuanzia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete kwa Mtu mmoja leo kuamua kwa ' Kukurupuka ' tu kuwa Ndege za Rais Forker 50 na Forker 28 ziwe ' Branded ' kama ' Commercial Planes ' za ATCL.

Hili halipo na halijawahi kutokea nchi yoyote ile duniani na naamini hata tungekuwa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu hata Yeye pia asingefanya hiki ' Kituko ' ambacho GENTAMYCINE nakiita ni cha Kufungulia mwaka huu ambao bado ni mbichi kabisa wa 2019.

Hoja kwamba zipakwe rangi kisha zichuke Abiria kwakuwa huwa zinakuwa ' grounded ' tu na kwamba hata mwenye Kuhusika nazo huwa hazitumii kwakuwa hasafiri mara kwa mara kutolewa na ' PhD Holder ' kidogo ni kutaka Kuwadhalilisha ' Intellectuals ' wote nchini Tanzania.

Wasaidizi wa Rais hebu fanyeni Kazi zenu vyema Kwake kwa Kumshauri mnaogopa nini? Hivi Sekta ya Anga ya leo au ATCL ya leo inahitaji kweli hadi hata Ndege za Marais nazo ziwe ' branded ' na zijumuishwe kama Ndege za Biashara na Kubeba Abiria? Je kuna hilo hitaji kweli?

Ningeambiwa au ningesikia Hoja kwamba labda Ndege hizo ziuzwe na ibaki moja kisha hizo Hela zitumike Kuimarisha Sekta ya Kilimo ambayo inahitaji msaada na ungalizi mkubwa ningemwelewa Mheshimiwa Rais na ningekubaliana nae kwa 100% ila kwa hii Hoja yake ya leo nampinga na naona ni kama vile ' Tusi ' kwa Watangulizi wake.

Wengine tumeumbwa kuwa wakweli na wawazi hivi hivyo mtusamehe tu na tuvumiliane. Tuache Kukurupuka na kuwa na ' Mihemko ' isiyo na Tija wala Mantiki. Halafu akina Donald Trump ' wakitutukana ' Waafrika huwa tunalalamika na kuona labda anatuonea wakati kumbe huwa yuko sahihi tena kwa 100% zote kutokana na ' Madhaifu ' yetu ya asili.

Nimesikitika!

Nawasilisha.

KINACHOANDIKWA HAPA NI UPUUZI TU KWA SABABU HUJAELEZA MADHARA NA HASARA YA KUTUMIA HIZO NDEGE.
BINAADAM AMEUMBWA KWA ASILI KUWA NI MLALAMISHI NA ASIYERIDHIKA.
 
54 Reactions
Reply
Back
Top Bottom