Sishauri Forker 50 na Forker 28 ziwe 'Branded' kama Ndege za Kibiashara za ATCL

Mkuu wewe ni mdogo sana ktk nchi hii na akili yako ni ndogo sana kama punje ya mchanga ukilinganisha na akili JPM endapo kama tungeweza kuwalinganisha. Kwahiyo, kusikitika kwako haina madhara yoyote kwetu, kwa taifa na kwa muhusika JPM.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukimaliza utaniambia ' Fungulu Ngenge ' Wewe.
 
Inasikitisha sana...

Vitu vya serikali na viheshimiwe jamani... hizo ndege zilikuwepo kwa ajili ya waliyopita na zinatakiwa ziendelee kuwepo kwa ajili ya atakayokuja...

Tusipoangalia tutaanza kupangisha mpaka jumba jeupe...


Cc: mahondaw
Vitu havitumiki na havizalishi..... Vibaki vya nini??
Huyo anaekuja akija anunue fresh Aeroplane sio vindege vyenye laana ya milele.
Heko JPM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na Mheshimiwa Raisi kwa asilimia kubwa, serikali ina ndege tatu za raisi, yeye katoa ndege mbili zitumike commercially badala ya kupaki tu bila kufanya kazi. Lakini pia, hata zikiwa branded 'ATCL' bado viongozi wa serikali wanaweza kuzitumia kwa safari zao.

Mleta mada hujaweka hasara za kiuchumi ambazo serikali itapata zaidi ya kuweka "social prestige" kwa taifa. Hatuangalii fahari kuwa raisi anatembea na ndege yake, tunapigana kutoka kiuchumi.
 
Uhai wa ndege ni kuwa hewani ikiwa imepaki inakufa mapema ni sawa na gari, ukiipaki mwaka 1 hadi 2 inapata dents na kisha inakatika na kuwa screper. Raisi yuko sahihi 100%.

Sent using Jamii Forums mobile app

Rais yuko sahihi kuzibadili Ndege za Rais kuwa za Biashara au? Sijakuelewa hapa naomba uitetee Hoja yako tafadhali.
 
Nakubaliana na Mheshimiwa Raisi kwa asilimia kubwa, serikali ina ndege tatu za raisi, yeye katoa ndege mbili zitumike commercially badala ya kupaki tu bila kufanya kazi. Lakini pia, hata zikiwa branded 'ATCL' bado viongozi wa serikali wanaweza kuzitumia kwa safari zao.

Mleta mada hujaweka hasara za kiuchumi ambazo serikali itapata zaidi ya kuweka "social prestige" kwa taifa. Hatuangalii fahari kuwa raisi anatembea na ndege yake, tunapigana kutoka kiuchumi.

Acha Kudanganya na rudi tena ukamsikilize alichokisema tafadhali. Hakusema kuwa Ndege moja itabaki na zile mbili ndiyo zibebe Abiria bali alisema ni Ndege zote. Siku zingine kama huna uhakika na Kitu au labda hujasikia vizuri Mtu kasema nini jiridhishe Kwanza kuliko kuwahi kuja ' Kupopomika ' hapa Jamvini sawa?
 
Acha Kudanganya na rudi tena ukamsikilize alichokisema tafadhali. Hakusema kuwa Ndege moja itabaki na zile mbili ndiyo zibebe Abiria bali alisema ni Ndege zote. Siku zingine kama huna uhakika na Kitu au labda hujasikia vizuri Mtu kasema nini jiridhishe Kwanza kuliko kuwahi kuja ' Kupopomika ' hapa Jamvini sawa?
Nimesikia akisema Fokker-28 na Fokker-50 zipakwe rangi za ATCL zianze kubeba abiria, wewe ulisikia vipi mkuu?
 
Leo umeandika upumbavu wa hali ya juu.
Bila shaka siku mwenge ukipigwa ban mtakuja kulialia hapa japo mnapiga kelele kwamba hauna umuhimu.
Narudia tena umeandika UPUMBAVU MKUBWA.

Wenzako tumerithishwa Akili nyingi Wewe umerithishwa Utahaira uliotukuka. Pole sana!
 
Ni bwege sana huyu Genta, nilidhani ana hoja kubwa na mbadala kumbe eti moja iuzwe. Hopeless kabisa!

Sikumbuki ni lini umewahi Kuandika au Kuchangia ' something constructive ' hapa Jamvini sana sana mara nyingi huwa unatudhihirishia tu ulivyo ' Fungulu Ngenge ' wa Kutukuka kabisa.
 
Huyo mtanzania atayepanda hzo Fokker ni bwege wa mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ukikata ticket unaona na aina ya ndege utakayo panda. Halafu hiyo fokker inatatizo gani mbona maraisi na matajiri wengi wanazimiliki na kuzitumia nakumbaka ata bombadier zilitoka kauli kama hizi. Raisi wetu anaweza kuwa na mapungufu ila siyo kila atalolifanya tuliseme vibaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesikia akisema Fokker-28 na Fokker-50 zipakwe rangi za ATCL zianze kubeba abiria, wewe ulisikia vipi mkuu?

Labda nikuulize Kwanza unavyojua Wewe Ndege za Rais nchini zipo ngapi? Na unadhani alipokuwa anatetea Hoja yake kwa kusema kuwa Kwanza Yeye hasafiri mara kwa mara hivyo zote zipakwe tu rangi kama hizo zingine alikuwa anamaanisha nini? Kuna Watu ni ' Mafulu Ngenge ' chini ya Mbingu hii hadi mnaboa!
 
Hii ni ' dharau ' kubwa kwa Marais waliopita kuanzia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete kwa Mtu mmoja leo kuamua kwa ' Kukurupuka ' tu kuwa Ndege za Rais Forker 50 na Forker 28 ziwe ' Branded ' kama ' Commercial Planes ' za ATCL.

Hili halipo na halijawahi kutokea nchi yoyote ile duniani na naamini hata tungekuwa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu hata Yeye pia asingefanya hiki ' Kituko ' ambacho GENTAMYCINE nakiita ni cha Kufungulia mwaka huu ambao bado ni mbichi kabisa wa 2019.

Hoja kwamba zipakwe rangi kisha zichuke Abiria kwakuwa huwa zinakuwa ' grounded ' tu na kwamba hata mwenye Kuhusika nazo huwa hazitumii kwakuwa hasafiri mara kwa mara kutolewa na ' PhD Holder ' kidogo ni kutaka Kuwadhalilisha ' Intellectuals ' wote nchini Tanzania.

Wasaidizi wa Rais hebu fanyeni Kazi zenu vyema Kwake kwa Kumshauri mnaogopa nini? Hivi Sekta ya Anga ya leo au ATCL ya leo inahitaji kweli hadi hata Ndege za Marais nazo ziwe ' branded ' na zijumuishwe kama Ndege za Biashara na Kubeba Abiria? Je kuna hilo hitaji kweli?

Ningeambiwa au ningesikia Hoja kwamba labda Ndege hizo ziuzwe na ibaki moja kisha hizo Hela zitumike Kuimarisha Sekta ya Kilimo ambayo inahitaji msaada na ungalizi mkubwa ningemwelewa Mheshimiwa Rais na ningekubaliana nae kwa 100% ila kwa hii Hoja yake ya leo nampinga na naona ni kama vile ' Tusi ' kwa Watangulizi wake.

Wengine tumeumbwa kuwa wakweli na wawazi hivi hivyo mtusamehe tu na tuvumiliane. Tuache Kukurupuka na kuwa na ' Mihemko ' isiyo na Tija wala Mantiki. Halafu akina Donald Trump ' wakitutukana ' Waafrika huwa tunalalamika na kuona labda anatuonea wakati kumbe huwa yuko sahihi tena kwa 100% zote kutokana na ' Madhaifu ' yetu ya asili.

Nimesikitika!

Nawasilisha.
Nilikuwa nakuona Kama mtu ambae unafanya research kabla ya kuongea lakini Leo umenisikitisha Sana,unajua raisi wa China na viongozi wa juu wanatumia ndege gani?jibu ni kuwa raisi and Co wanatumia Air China ni ndege mbili zimeteuliwa kutoka air china,raisi wa china anapotaka kusafiri ndege anaitumia Kama hasafiri basi ndege zinabeba abiria,ni BOEING 747,sasa wewe Fokker tu hizi unapiga mayowe du? Mimi kwa maamuzi haya Nampa magufuli heko 100% na ikiwezekana zote tatu za raisi ziwe za biashara,siku wakiwa na safari yy na makamu wake basi wazitumie na Kama hawasafiri basi biashara as usual,amenikosha Sana Leo mh raisi japo ni mpinzani wa ccm na watu wake,viva Mr.prezdaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimsingi mheahimiwa rais kakosea Sana kutoa hiyo kauli. Kwa mfano makamu wake rais je atasafiria Nini?
Kesho akiachia madaraka hizo ndege zinarudi Tena kwa rais Kama second hand?

Sababu ya yeye kutokutumia ndge isimfanye akaonekana Kama joka la mdimu. Ndimu halili na hata mwenzie naye asikule.

Halafu nafikir mheshimiwa Ben MKapa aliposema rais aache kauli za kusema "Mimi, Mimi au serikali yangu, serikal yangu" bado hakumuelewesha vzr mheshimiwa rais.

Kama serikal ninya CCM Basi lazima serikal hii ijue Mali za rais siyo Mali za mtu bali ni za taifa. Any change of use lazima ifwate process na siyo kauli tuu ya mtu mmoja
Uingereza, wote wanasafiri na british airways, na ni developed nation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angegawa viwanja vya mpira vinavyomilikuliwa na ccm virudi serekalini ningemuunga mkono!
Au jamaa anataka kutawala maisha yake yote kiasi anawaza labda mpaka ifike 2035 zitakua hazifai tena kwa matumizi!
All in all zile ni mali za serekali na zenunuliwa kwa matumizi maalumu so ziheshimiwe!
 
Nimesikia akisema Fokker-28 na Fokker-50 zipakwe rangi za ATCL zianze kubeba abiria, wewe ulisikia vipi mkuu?
Nimemaliza kumsikiliza vizuri tena, amesema ndege 2 ndiyo ameishatoa maelekezo zipakwe rangi na zitumike kubeba abiria endapo kutakuwa na upungufu....nadhani ninemuelewa vizuri. Ki ufupi, ndege moja itabaki kwa matumizi ya raisi na serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
54 Reactions
Reply
Back
Top Bottom