cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,728
- 73,354
Naona hpo una post huku unatafuna koroshow
Hivi na Nyie wenye jinsi a ya ke inawaongezeeni mambo fulani
Ova
Wewe inakuwaje unajisagau hivi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona hpo una post huku unatafuna koroshow
Hivi na Nyie wenye jinsi a ya ke inawaongezeeni mambo fulani
Ova
Duh kwa hiyo unataka kutuambia Mo hawajamuhoji hadi leo?Habari nzuri
Rudi nyumbani kumenoga tu na dereva wake nae arudi.
Si wana kuhojiwa au hawataki tena waliompiga risasi wapatikane?
Amesemei kurejea kwake kutakasaidia kukamilisha upelelezi na kufahahamu waliohusika na shambuli lake.
Sirro amhakikishia Tundu Lissu ulinzi
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, amemhakikishia Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, usalama wa kutosha atakaporejea nchini akitokea kwenye matibabu nchini ubelgiji.www.ippmedia.com
ungekuwa na mamlaka yapi kwa mfano?Ningekuwa na mamlaka, ningelivunja kabisa hili Jeshi au kubadili uongozi wote wa juu wa Jeshi hili.
Hutakuwa na mamlaka hayo mpaka uingie kaburi. Hata nyumbani kwako huna mamlaka bado unaishi kwa dada yako!Ningekuwa na mamlaka, ningelivunja kabisa hili Jeshi au kubadili uongozi wote wa juu wa Jeshi hili.
Kwani jalada situmeambiwa lishafungwa ?Amesemei kurejea kwake kutakasaidia kukamilisha upelelezi na kufahahamu waliohusika na shambuli lake.
Sirro amhakikishia Tundu Lissu ulinzi
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, amemhakikishia Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, usalama wa kutosha atakaporejea nchini akitokea kwenye matibabu nchini ubelgiji.www.ippmedia.com
Tunasubiri zile "SIKU TATU" ziishe ili kesho yake tupate waliomteka MO
Kwa lugha nyepesi yatamkuta ya DUDU BAYA....atawekwa "ndani" kwa usalama wake ...
Nasikia hayupo....alishatangulizwa
Kwani hazijaisha mkuu?
Habari nzuri
Rudi nyumbani kumenoga tu na dereva wake nae arudi.
Si wana kuhojiwa au hawataki tena waliompiga risasi wapatikane?
Kiboksi mbona yupo tena kuna uzi wake humu uko hewani.
Hii ni baada ya USA kutoa angalizo lisilopimika , Mungu wabariki Wazungu
hivi kumbe bado siku hazijaisha hahahaTunasubiri zile "SIKU TATU" ziishe ili kesho yake tupate waliomteka MO
angalizo gani?Hii ni baada ya USA kutoa angalizo lisilopimika , Mungu wabariki Wazungu
Ningekuwa na mamlaka, ningelivunja kabisa hili Jeshi au kubadili uongozi wote wa juu wa Jeshi hili.
Nishtue pm huo Uzi walao hasira zangu nizimalizie humo!Kiboksi mbona yupo tena kuna uzi wake humu uko hewani.
Wale was MO wanasubiri Sikh Simba ikiingia nusu fainali ligi ya mabingwa ndio atawatajaKama kutokuwepo Lissu ndio kumesababisha iwe vigumu kuwapata waliomshambulia, mbona Mo yupo na waliomteka hawajapatikana mpaka sasa?
Nasikia hayupo....alishatangulizwa
Huna lolote wewe zuzu