Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
isee pale kigamboni kununua kiwanja ni sawa na kujenga kwenye hifadhi ya barabara!yaani unakuwa na mashaka muda wote.
Mabwepande kunatisha Ma-Daktari wanatolewa meno kwa koleo sipawezi bora nitafute kwengine labda nihamie kibaha unasemaje?Umeshapata kiwanja mabwepande???
zipo sehemu nyingi zimepimwa mkuu na ziko sawa huko....
Usihame Leo mmetwtewa na kambi ya upinzani
Tumetetwa na Ukawa bungeni? Lakini kwenye kura ya maoni Wabunge Wa SISISI Eeeeemu ndio wanaoshinda kwenye kura sasa itakuwaje? bora nihame kabisa kuliko kufukuzwa kama kule Gongola Mboto na Mbagala kuliko lipuka Mabomu.................................Au hujaangalia binge Leo?
Kigamboni sioni kama itafanikiwa..nguvu yote tutahamishia Bagamoyo new City..kuendeleza kigamboni garama yake ni sawa na kujenga Bagamoyo City nne..
NinangojeaKWA HIYO MziziMkavu UTAENDA WAPI??? AU ZANZIBAR
Kisiwa cha maraha hicho wa Unguja wamekisahau hakuan huko mambo ya vyama vyingi wala upinzani Raha tupu huko unakula raha zako na upepo wa baharini karibu sana nitakupa Usheha wewe inshallah...............Kumbe chumbe pazuri namna hii.... mkuu MziziMkavu tutahamia wote yakhee mi ntaambulia hata u-sheha!!
ninangojea
hizo serikali 3 wanazozitaka hao akina ukawa nitajuwa niende wapi? Unguja au kisiwa cha
chumbe aliposema marehemu rais wa serikali ya zanzibar marehemu mzee karume kuhusu
azimio la arusha mwisho wake ni kisiwa cha chumbe. Kukiwa na sirikali 3 nchini tanzania bora
nikahamie kisiwa cha chumbe niunde na mimi sirikali yangu hapo unasemaje?
Au hujaangalia binge Leo?