Napenda kujua kitendo cha wafanyakazi hasa wa serikarini kutoa siri au baadhi ya nyaraka muhimu za siri hii inaashiria nini hasa?
1.Huwa wanapata pesa nzuri wakitoa hizo siri.?
2.Wanapenda zitoke nje ili ukweli ujulikane kwa kuwa na wao wamechoshwa na uzembe.?
3.Au kuharibiana kwa sababu yeye labda ni mlango wa kulia?
Nawakilisha mwenye majibu tafadhari.
1.Huwa wanapata pesa nzuri wakitoa hizo siri.?
2.Wanapenda zitoke nje ili ukweli ujulikane kwa kuwa na wao wamechoshwa na uzembe.?
3.Au kuharibiana kwa sababu yeye labda ni mlango wa kulia?
Nawakilisha mwenye majibu tafadhari.