fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,025
Matatizo makubwa kabisa ambayo nchi hii inayo, wala si ufisadi, umaskini, na hata madawa ya kulevya, bali ni ukosefu wa viongozi wa kiroho wenye kujisimamia wenyewe, kusimamia familia zao, kulisimamia kanisa na taifa. Kuwa na aina hii ya viongozi wa kiroho katika taifa ni majanga!
huyo jamaa ni kwel atakuwa anahusika, nachelea kumuita askofu, maana hana sifa yakuwa asikofu....
Hivi haiwezekani kung'atuka kwenye nafasi ya uongozi wa kiroho?!
Malasusa mbona unatia aibu hivi??!!
Kama kweli Malasusa ndo kaongea haya basi kanisa liko hatarini maana hakuna haja mtumishi wa Mungu kujibizana na watu huku ukisingizia wanasiasa
Why people are judging without any prove? Naona lengo la mleta habari limefanikiwa, huyu ni miongoni mwa mwa waandishi wanatumika.Huyo nilikua namheshimu sana kama askofu lakini kwa maelezo haya sipindishi maneno ni lazima katenda ila serikali inamlinda, akipelekwa mahakamani kesi wala haitachukua wiki