Siri za kifo cha Kamanda Barlow zavuja, kamanda wa Polisi Muna atajwa! Taarifa zamfikia Pinda

...........Sasa tuone ni hatua gani zitachululiwa na Nchimbi... pamoja na matamko rasmi ya serikali.....
 
There are currently 4176 users browsing this thread. (140 members and 4036 guests)

Guys.............watchout!!:heh:
 
hata mie machale yamenicheza.THE GUY COULD BE A PLANT..Inawezekana ako na agenda.katika zama hizi za siasa chafu lolote laweza kutokea.coicedence ni kuwa jana tu sugu anaongea bungeni kuwa serikali inaua watu,kesho yake mtu aje bungeni kuleta hizo issue.inaonekana kama iko stage managed.

Kama ni kweli kuna huyo mtu achunguzwe sana.pengine anatumika anaweza akaambia.
''kula hili deal mtu wangu,wewe nenda pale bungeni useme haya maneno baada ya sugu kutoa hotuba bungeni,kwakua wewe jambazi mzoefu wataamini tu ,sie tutakupa milioni 50..usiwe na hofu wakikufunga,2015 nikiwa rais NITAKUTOA NAKUKUPA UDC.
Lazima uwe na akili ya maiti kutetea polisi wanaofanya biashara ya bangi.
 
kombe mbona mpaka alijitambulisha mkuu, ila tunahitaji watueleze na huyu niaje na tutaenda mbali zaidi kujua muna anatumiwa na nani!?me nahisi kinena anahusika au chemba
haya nchimbi, kombe mlimfananisha na jambazi, huyu naye alifananishwa na nani? Au na kibaka? Maana ndo zenu na akina lukosi, genius brain, utaifakwanza, nape nnauye, mwigulu nchemba na wengine kusifia polisi....
 

Si sahihi kuishutumu CCM kwa kila kitu tena bila ushahidi mkuu. Hapo juu taarifa yako imesema kuwa ni genge ndani ya polisi Mwanza ndio ilihusika (hakuna popote CCM inakua linked) kisha unaandika kwamba Mh. Pinda n Waziri Nchimbi (viongozi wa serikali ya CCM) wamempa huyo kijana ulinzi. Je hauoni contradiction hapo na kudai CCM ina husika. Pia hutoa hata ushahidi wa kimazingira wa CCM kuhusika kwenye mauaji ya RPC (ambae huteuliwa na raisi na anaweza hamishwa muda wowote na raisi).

Tuwe waangalifu kwenye kutupa tupa lawama. tusipende kuonekana wajuaji wa kila kitu. Kuna vitu vingine hata kama unahisi kama huna ushahidi unakaa kimya na unajizuia kutamka kwenye public domain.

---------------------------------------------------
Kwani jeshi linakutumikia wewe au serikali dhalimu ya ccm? Kwani unadhani wanaolea uovu na wanaoweza kuutokomeza ndani ya polisi si ndio haohao ccm? au unaona just there tu... afterall hao pinda na Nchimbi hujui walimpa hifadhi kwa sababu zipi na kwa nini...maana at that point huyo mtu alishapita kwingi na taarifa zimeshavuja tayari...au unadhani wao hawajui dhana ya usalama wa taifa? Lwako
 
kama kuna ukweli kwenye hili basi serikali hii ya Ccm nikikundi cha ugaindi kipo hapo si kwa masilahi ya watanzania
 
---------------------------------------------------
Kwani jeshi linakutumikia wewe au serikali dhalimu ya ccm? Kwani unadhani wanaolea uovu na wanaoweza kuutokomeza ndani ya polisi si ndio haohao ccm? au unaona just there tu... afterall hao pinda na Nchimbi hujui walimpa hifadhi kwa sababu zipi na kwa nini...maana at that point huyo mtu alishapita kwingi na taarifa zimeshavuja tayari...au unadhani wao hawajui dhana ya usalama wa taifa? Lwako

kama hili ni kweli basi serikali na ccm ni wahusika wa kuu kwani majeshi yote yako chini yao wao ndo wenye uwezo wakuwalinda wanaichi wao.
 
Naona mtandao wa gazeti la jamhuri haupatikani. Sina hakika kama uko bize kwa watu kuu-browse sana
au ndo wajanja wameshaufnyia fitna kama wanavyonunua kopi za gazeti husika ili tusisome hizo habari.
"Mbio za sakafuni huishia ukingoni and time will tell"
 
quote_icon.png
By MwanaFalsafa1

Si sahihi kuishutumu CCM kwa kila kitu tena bila ushahidi mkuu. Hapo juu taarifa yako imesema kuwa ni genge ndani ya polisi Mwanza ndio ilihusika (hakuna popote CCM inakua linked) kisha unaandika kwamba Mh. Pinda n Waziri Nchimbi (viongozi wa serikali ya CCM) wamempa huyo kijana ulinzi. Je hauoni contradiction hapo na kudai CCM ina husika. Pia hutoa hata ushahidi wa kimazingira wa CCM kuhusika kwenye mauaji ya RPC (ambae huteuliwa na raisi na anaweza hamishwa muda wowote na raisi).

Tuwe waangalifu kwenye kutupa tupa lawama. tusipende kuonekana wajuaji wa kila kitu. Kuna vitu vingine hata kama unahisi kama huna ushahidi unakaa kimya na unajizuia kutamka kwenye public domain.
Kwa Tanzania yetu inavyoendeshwa huwezi kutenganisha polisi na CCM there is no clear line between police and the ruling party CCM..
 
mtandao wa mauaji upo na ndo unafanya kazi mpaka sasa..ndo hawahawa wanaowasingizia wengine misalaba yao...Yote yatawekwa wazi tu.Ee MUNGU SIMAMA UPANDE WA WAJA WAKO.
 
kama habari hii ni ya kweli basi wanaofanya siasa chafu inabidi wajiangalie mara mbili mbili maana hata JW haiwaamini tena!
Ina maana sasa hao waliokamatwa (Fumo Felician na wenzake) ni geresha na ndio wanatolewa kafara kama Lwakatale!?

Mkuu unamaanisha yule mchezaji wa zamani wa Pamba?
 
Kweli hii habari imebamba. 5334 Users following the thread at per.
Kitendo cha kuzinunua copy ili zisifikie wasomaji na kutopatikana kwa site ya gazeti kwa
net ni ushaidi tosha hii habari ni ya kweli la sivyo watuhumiwa wasingetumia nguvu zote hizi
kama ingekuwa ni ya kutunga.

There are currently 5334 users browsing this thread. (148 members and 5186 guests)


 
Huko JWTZ Alijieleza vya kutosha na wanajeshi walimwonea huruma wakampa Tsh 10,000/=

Mmmmh!! 10,000/= aende bungeni???? Kutoka Mwanza???[/QUOTE]
..umesahau kumalizia "ya kula njiani" labda nauli alikuwa nayo...
 
Taarifa imekaa kisiasa zaidi kuliko kisheria. Nasikitika kwa CHADEMA kujaribu kila kukicha kuwachanganya watanzania.

Haiingii akilini hata kidogo kwa mtu mwenye taarifa nyeti akajisalimisha kwa chombo makini kama JWTZ eti kupewa Namba za simu za wabunga C CHA UPINZANI. Hebu jiulize maswali machache, hivi huyu msamalia mwema hakuweza mwenyewe kuwapigia hao wabunge wa upinzani. Pili nauli na 10 000 T sh, pesa ya kulala huko aendako. Na kwanini asipokelewe na hao aliowafuata.

Ndugu zangu sababu za Gazet kuandika habari hizo ni nukuu hii
"Kwa mapana zaidi soma gazeti la Jamhuri KAMA zinanunuliwa kwa kasi na watu wasiofahamika"

[MENTION][/QUOTE]hata 2000/- unaweza kutoka mwanza hadi dodoma depending which type of transport umetumia ukipanda lori la vitunguu hufiki tuu??[/QUOTE][/MENTION]


Pamoja na kwamba hoja yako haieleweki au hueleweki unachokisimamia nashangaa kuona CHADEMA inatajwa kwenye post yako hii ilihali kwenye taarifa husika haikutajwa au unamaanisha chama cha upinzani = CHADEMA?
 
Back
Top Bottom