kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,662
Aslaam aleikhum wana jamvi.Inaweza icwe dawa lakini kama umeinywa inaweza kukupa ahueni.Ile kasumba ya kuyaweka mambo yako ya faraga kijiweni kwa washikaji,saloon kwa mashosti, inakua na mantiki gani?kwani umuanike mwenzi wako kwa washkaji/mashoti?kama ana kasoro hizo ni kurekebishana huko c kumuanika hadharani.ndo maana mnaenda faragha ili kuyaficha hayo makosa yenu.kama hajui majamboz.kikwapa,mdomo wengne vikojoleo vinanuka isiwe 7bu ya kumtangaza mwenzi wako.
NB:SITOKULAUMU KWA KUNIANIKA HADHARANI,NTAMLAUMU KUNGWI KWA KUTOKUKUFUNDA VIZURI.SIRI YAKO HUNA BUDI KUFA NAYO.
NB:SITOKULAUMU KWA KUNIANIKA HADHARANI,NTAMLAUMU KUNGWI KWA KUTOKUKUFUNDA VIZURI.SIRI YAKO HUNA BUDI KUFA NAYO.