Anatawala akili za vijana wa lumumbaDah! Mgumu kuelewa? Kwani kwa sasa anatawala nn?
Hivi hii taarifa ndiyo imekumbushiwa kwenye gazeti la leo la Tanzanite One? Ndiyo yenyewe?Taarifa za ' Kiudukuzi ' kabisa na ambazo hadi kupelekea Mwandishi wa huu ' uzi ' kuzipata ilibidi afanye ' Kazi ' ya ' ziada ' na ambayo bila ya ' ulinzi ' na ' kudra ' zake Mwenyezi Mungu hivi sasa yangekuwa mengine ni kwamba aliyekuwa ' Mtia nia ' mmoja ndani ya Chama Tawala cha CCM na ambaye hata katika 10 ' bora ' kisha katika ' 7 ' bora alikuwepo amepanga ' mkakati ' mkali sana wa kujiunga rasmi na Upinzani ili kuweza ' kugombea ' Urais kwa kushindana na Rais wa sasa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli mwaka 2020.
Habari za ' udukuzi ' na zilizotukuka kabisa zinazidi kusema kuwa ' Kada ' huyo wa CCM ambaye kwa sasa hafichi tena ' unafiki ' wake ndani ya Chama Tawala cha CCM anafanya mazungumzo ya ' Siri ' kabisa na Viongozi wa Vyama viwili ambacho kimoja kimeshajizolea ' umaarufu ' japo hadi sasa kimeshia tu kuja na ' matamko ' ya hapa na pale na yasiyotekelezeka huku Chama kingine kikiwa ni kidogo lakini ambacho kiliweza ' kuwashtua ' Watanzania mwaka jana 2015 kutokana na ' Sera ' zake zenye ' maono ' hasa ukizingatia kuwa kina ' zawadi ' ya kuwa na Mwanasiasa ' Kijana ' ili aweze kujiunga navyo na aweze kupambana na Rais Dkt Magufuli mwaka 2020 kwani anasema kuwa ana uhakika wa ' kushinda ' kwa jinsi alivyojipanga.
Taarifa zaidi za ' Kidukuzi ' zimeenda mbele na kusema kuwa ' mkakati ' wake wa kwanza ni mwaka 2018 kujiunga ' rasmi ' na moja ya hivyo Vyama ' tajwa ' kimafumbo hapo juu ili aanze kutambulishwa, kukijua hicho Chama vizuri kisha aanze kuzungushwa nchi nzima katika moja ya ' Kampeni ' ya Chama kimoja ambayo wanapanga kuifanya mwaka huo wa 2018 ili kujijenga na kujipanga kwa ' ushindani ' katika ' Uchaguzi ' Mkuu mwaka 2020 huku akiwa na ' jeuri ' ya kuungwa mkono na nchi kubwa tatu duniani za Ujerumani, Canada na Uingereza.
CCM najua fika kuwa leo mnaanza ' Vikao ' vyenu vidogo chini ya Mwenyekiti wenu wa ' Taifa ' hivyo jitahidini na hili mliangalie kwa umakini wenu mkubwa kwani huyo ' Nyoka ' mwenye ' Sumu ' kali bado mpo nae humo humo na sasa amekaa ' kimya ' tu lakini akikusanya ' Sumu ' ambayo kama hamtaiwahi kuimaliza mapema kutokana na ' uzoefu ' wake mkubwa na kukijua Chama vilivyo huku akiwa na 'mbinu ' zote za ' Kidiplomasia ', ' Propaganda ' na hadi za ' Usalama ' mwaka 2020 mnaweza kupata wakati ' mgumu ' pengine hata kuliko wa mwaka jana ( 2015 ) kwani katika hivyo Vyama viwili ambavyo anajipanga kujiunga na kimoja wapo kuna Watu wawili ambao wana ' ushawishi ' mkubwa sana katika ' Jamii ' yetu na ambao pia wanajua kupanga ' mikakati ' vizuri mno kitu amacho kinaweza kumrahisishia huyu ' Kada Mnafiki ' wa CCM kuweza ' kuchafua ' kabisa hali ya hewa.
Baada ya ' Kazi ' ngumu ya ' Kudukua ' naomba niishie hapa tafadhali na nisali huku nikimshukuru Mwenyezi Mungu kwani naamini bila kunipa ' ujasiri ' na kuniongoza kwa ' nguvu ' zake nisingeweza kutokana na ' unyeti ' wake.
Kila la kheri.
Hivi hii taarifa ndiyo imekumbushiwa kwenye gazeti la leo la Tanzanite One? Ndiyo yenyewe?
Taarifa za ' Kiudukuzi ' kabisa na ambazo hadi kupelekea Mwandishi wa huu ' uzi ' kuzipata ilibidi afanye ' Kazi ' ya ' ziada ' na ambayo bila ya ' ulinzi ' na ' kudra ' zake Mwenyezi Mungu hivi sasa yangekuwa mengine ni kwamba aliyekuwa ' Mtia nia ' mmoja ndani ya Chama Tawala cha CCM na ambaye hata katika 10 ' bora ' kisha katika ' 7 ' bora alikuwepo amepanga ' mkakati ' mkali sana wa kujiunga rasmi na Upinzani ili kuweza ' kugombea ' Urais kwa kushindana na Rais wa sasa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli mwaka 2020.
Habari za ' udukuzi ' na zilizotukuka kabisa zinazidi kusema kuwa ' Kada ' huyo wa CCM ambaye kwa sasa hafichi tena ' unafiki ' wake ndani ya Chama Tawala cha CCM anafanya mazungumzo ya ' Siri ' kabisa na Viongozi wa Vyama viwili ambacho kimoja kimeshajizolea ' umaarufu ' japo hadi sasa kimeshia tu kuja na ' matamko ' ya hapa na pale na yasiyotekelezeka huku Chama kingine kikiwa ni kidogo lakini ambacho kiliweza ' kuwashtua ' Watanzania mwaka jana 2015 kutokana na ' Sera ' zake zenye ' maono ' hasa ukizingatia kuwa kina ' zawadi ' ya kuwa na Mwanasiasa ' Kijana ' ili aweze kujiunga navyo na aweze kupambana na Rais Dkt Magufuli mwaka 2020 kwani anasema kuwa ana uhakika wa ' kushinda ' kwa jinsi alivyojipanga.
Taarifa zaidi za ' Kidukuzi ' zimeenda mbele na kusema kuwa ' mkakati ' wake wa kwanza ni mwaka 2018 kujiunga ' rasmi ' na moja ya hivyo Vyama ' tajwa ' kimafumbo hapo juu ili aanze kutambulishwa, kukijua hicho Chama vizuri kisha aanze kuzungushwa nchi nzima katika moja ya ' Kampeni ' ya Chama kimoja ambayo wanapanga kuifanya mwaka huo wa 2018 ili kujijenga na kujipanga kwa ' ushindani ' katika ' Uchaguzi ' Mkuu mwaka 2020 huku akiwa na ' jeuri ' ya kuungwa mkono na nchi kubwa tatu duniani za Ujerumani, Canada na Uingereza.
CCM najua fika kuwa leo mnaanza ' Vikao ' vyenu vidogo chini ya Mwenyekiti wenu wa ' Taifa ' hivyo jitahidini na hili mliangalie kwa umakini wenu mkubwa kwani huyo ' Nyoka ' mwenye ' Sumu ' kali bado mpo nae humo humo na sasa amekaa ' kimya ' tu lakini akikusanya ' Sumu ' ambayo kama hamtaiwahi kuimaliza mapema kutokana na ' uzoefu ' wake mkubwa na kukijua Chama vilivyo huku akiwa na 'mbinu ' zote za ' Kidiplomasia ', ' Propaganda ' na hadi za ' Usalama ' mwaka 2020 mnaweza kupata wakati ' mgumu ' pengine hata kuliko wa mwaka jana ( 2015 ) kwani katika hivyo Vyama viwili ambavyo anajipanga kujiunga na kimoja wapo kuna Watu wawili ambao wana ' ushawishi ' mkubwa sana katika ' Jamii ' yetu na ambao pia wanajua kupanga ' mikakati ' vizuri mno kitu amacho kinaweza kumrahisishia huyu ' Kada Mnafiki ' wa CCM kuweza ' kuchafua ' kabisa hali ya hewa.
Baada ya ' Kazi ' ngumu ya ' Kudukua ' naomba niishie hapa tafadhali na nisali huku nikimshukuru Mwenyezi Mungu kwani naamini bila kunipa ' ujasiri ' na kuniongoza kwa ' nguvu ' zake nisingeweza kutokana na ' unyeti ' wake.
Kila la kheri.[/QUOTE
Si unajua tena Mkuu GENTAMYCINE huwa anaanzisha na wengine wanafuata?
JPM anachukua 99.99% na ni KURA ZA KUJIPIGIA MWENYEWE.Atakuwa yule wa Mtama nini..!! Lakini 2020 ki ukweli asijisumbue tu JPM anazichukua zaidi ya 95%.
Safi sana mkuu, tukutane 2020! tutapeana matokeo hapa kulalake! Unafikiri kila mtu zwazwa haoni kitu kinachofanyika eeehJPM anachukua 99.99% na ni KURA ZA KUJIPIGIA MWENYEWE.
Mzee acha fujo. Usije ukasababisha watu wakawajia juu wakiwatuhumu kuiba taarifa. Ni kweli hawaja-quote source ya taarifa yao na hiyo ukiwabana vizuri unaweza ukawaweka katika hali ngumu sana mimi naamini!
Asa ndo umeandika niniTaarifa za ' Kiudukuzi ' kabisa na ambazo hadi kupelekea Mwandishi wa huu ' uzi ' kuzipata ilibidi afanye ' Kazi ' ya ' ziada ' na ambayo bila ya ' ulinzi ' na ' kudra ' zake Mwenyezi Mungu hivi sasa yangekuwa mengine ni kwamba aliyekuwa ' Mtia nia ' mmoja ndani ya Chama Tawala cha CCM na ambaye hata katika 10 ' bora ' kisha katika ' 7 ' bora alikuwepo amepanga ' mkakati ' mkali sana wa kujiunga rasmi na Upinzani ili kuweza ' kugombea ' Urais kwa kushindana na Rais wa sasa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli mwaka 2020.
Habari za ' udukuzi ' na zilizotukuka kabisa zinazidi kusema kuwa ' Kada ' huyo wa CCM ambaye kwa sasa hafichi tena ' unafiki ' wake ndani ya Chama Tawala cha CCM anafanya mazungumzo ya ' Siri ' kabisa na Viongozi wa Vyama viwili ambacho kimoja kimeshajizolea ' umaarufu ' japo hadi sasa kimeshia tu kuja na ' matamko ' ya hapa na pale na yasiyotekelezeka huku Chama kingine kikiwa ni kidogo lakini ambacho kiliweza ' kuwashtua ' Watanzania mwaka jana 2015 kutokana na ' Sera ' zake zenye ' maono ' hasa ukizingatia kuwa kina ' zawadi ' ya kuwa na Mwanasiasa ' Kijana ' ili aweze kujiunga navyo na aweze kupambana na Rais Dkt Magufuli mwaka 2020 kwani anasema kuwa ana uhakika wa ' kushinda ' kwa jinsi alivyojipanga.
Taarifa zaidi za ' Kidukuzi ' zimeenda mbele na kusema kuwa ' mkakati ' wake wa kwanza ni mwaka 2018 kujiunga ' rasmi ' na moja ya hivyo Vyama ' tajwa ' kimafumbo hapo juu ili aanze kutambulishwa, kukijua hicho Chama vizuri kisha aanze kuzungushwa nchi nzima katika moja ya ' Kampeni ' ya Chama kimoja ambayo wanapanga kuifanya mwaka huo wa 2018 ili kujijenga na kujipanga kwa ' ushindani ' katika ' Uchaguzi ' Mkuu mwaka 2020 huku akiwa na ' jeuri ' ya kuungwa mkono na nchi kubwa tatu duniani za Ujerumani, Canada na Uingereza.
CCM najua fika kuwa leo mnaanza ' Vikao ' vyenu vidogo chini ya Mwenyekiti wenu wa ' Taifa ' hivyo jitahidini na hili mliangalie kwa umakini wenu mkubwa kwani huyo ' Nyoka ' mwenye ' Sumu ' kali bado mpo nae humo humo na sasa amekaa ' kimya ' tu lakini akikusanya ' Sumu ' ambayo kama hamtaiwahi kuimaliza mapema kutokana na ' uzoefu ' wake mkubwa na kukijua Chama vilivyo huku akiwa na 'mbinu ' zote za ' Kidiplomasia ', ' Propaganda ' na hadi za ' Usalama ' mwaka 2020 mnaweza kupata wakati ' mgumu ' pengine hata kuliko wa mwaka jana ( 2015 ) kwani katika hivyo Vyama viwili ambavyo anajipanga kujiunga na kimoja wapo kuna Watu wawili ambao wana ' ushawishi ' mkubwa sana katika ' Jamii ' yetu na ambao pia wanajua kupanga ' mikakati ' vizuri mno kitu amacho kinaweza kumrahisishia huyu ' Kada Mnafiki ' wa CCM kuweza ' kuchafua ' kabisa hali ya hewa.
Baada ya ' Kazi ' ngumu ya ' Kudukua ' naomba niishie hapa tafadhali na nisali huku nikimshukuru Mwenyezi Mungu kwani naamini bila kunipa ' ujasiri ' na kuniongoza kwa ' nguvu ' zake nisingeweza kutokana na ' unyeti ' wake.
Kila la kheri.
Asa ndo umeandika nini
Nimeyaelezea Matako / Makalio yako yanavyotoa Mavi / Kinyesi mfululizo baada ya kutokea ' hitilafu ' kubwa katika njia yako ya Haja Kubwa.
Nasikia ndiyo sababu ya kumhoji tajiri kijana kwa siku 9 ccm wakihofia kama pesa zinapitia kwake za kampeni.Pia ndiyo sababu ya kufanya mabadiliko wizara ya mambo ya ulaya kwa kushindwa kumdhibiti mla maembeTaarifa za ' Kiudukuzi ' kabisa na ambazo hadi kupelekea Mwandishi wa huu ' uzi ' kuzipata ilibidi afanye ' Kazi ' ya ' ziada ' na ambayo bila ya ' ulinzi ' na ' kudra ' zake Mwenyezi Mungu hivi sasa yangekuwa mengine ni kwamba aliyekuwa ' Mtia nia ' mmoja ndani ya Chama Tawala cha CCM na ambaye hata katika 10 ' bora ' kisha katika ' 7 ' bora alikuwepo amepanga ' mkakati ' mkali sana wa kujiunga rasmi na Upinzani ili kuweza ' kugombea ' Urais kwa kushindana na Rais wa sasa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli mwaka 2020.
Habari za ' udukuzi ' na zilizotukuka kabisa zinazidi kusema kuwa ' Kada ' huyo wa CCM ambaye kwa sasa hafichi tena ' unafiki ' wake ndani ya Chama Tawala cha CCM anafanya mazungumzo ya ' Siri ' kabisa na Viongozi wa Vyama viwili ambacho kimoja kimeshajizolea ' umaarufu ' japo hadi sasa kimeshia tu kuja na ' matamko ' ya hapa na pale na yasiyotekelezeka huku Chama kingine kikiwa ni kidogo lakini ambacho kiliweza ' kuwashtua ' Watanzania mwaka jana 2015 kutokana na ' Sera ' zake zenye ' maono ' hasa ukizingatia kuwa kina ' zawadi ' ya kuwa na Mwanasiasa ' Kijana ' ili aweze kujiunga navyo na aweze kupambana na Rais Dkt Magufuli mwaka 2020 kwani anasema kuwa ana uhakika wa ' kushinda ' kwa jinsi alivyojipanga.
Taarifa zaidi za ' Kidukuzi ' zimeenda mbele na kusema kuwa ' mkakati ' wake wa kwanza ni mwaka 2018 kujiunga ' rasmi ' na moja ya hivyo Vyama ' tajwa ' kimafumbo hapo juu ili aanze kutambulishwa, kukijua hicho Chama vizuri kisha aanze kuzungushwa nchi nzima katika moja ya ' Kampeni ' ya Chama kimoja ambayo wanapanga kuifanya mwaka huo wa 2018 ili kujijenga na kujipanga kwa ' ushindani ' katika ' Uchaguzi ' Mkuu mwaka 2020 huku akiwa na ' jeuri ' ya kuungwa mkono na nchi kubwa tatu duniani za Ujerumani, Canada na Uingereza.
CCM najua fika kuwa leo mnaanza ' Vikao ' vyenu vidogo chini ya Mwenyekiti wenu wa ' Taifa ' hivyo jitahidini na hili mliangalie kwa umakini wenu mkubwa kwani huyo ' Nyoka ' mwenye ' Sumu ' kali bado mpo nae humo humo na sasa amekaa ' kimya ' tu lakini akikusanya ' Sumu ' ambayo kama hamtaiwahi kuimaliza mapema kutokana na ' uzoefu ' wake mkubwa na kukijua Chama vilivyo huku akiwa na 'mbinu ' zote za ' Kidiplomasia ', ' Propaganda ' na hadi za ' Usalama ' mwaka 2020 mnaweza kupata wakati ' mgumu ' pengine hata kuliko wa mwaka jana ( 2015 ) kwani katika hivyo Vyama viwili ambavyo anajipanga kujiunga na kimoja wapo kuna Watu wawili ambao wana ' ushawishi ' mkubwa sana katika ' Jamii ' yetu na ambao pia wanajua kupanga ' mikakati ' vizuri mno kitu amacho kinaweza kumrahisishia huyu ' Kada Mnafiki ' wa CCM kuweza ' kuchafua ' kabisa hali ya hewa.
Baada ya ' Kazi ' ngumu ya ' Kudukua ' naomba niishie hapa tafadhali na nisali huku nikimshukuru Mwenyezi Mungu kwani naamini bila kunipa ' ujasiri ' na kuniongoza kwa ' nguvu ' zake nisingeweza kutokana na ' unyeti ' wake.
Kila la kheri.
Alifika saba bora...
Ni Mama au Baba..
Uzoefu diplomasia..
Germany,Uk,France.
Wafikirie hawa:Asha Rose..Amina...Membe..January.
Nimesema tu...lakini muhimu ni Amani na Upendo na kumuomba Mwenyezimungu wa kweli atuongoze na siyo Mungu mtu