Tetesi: Siri ya Zanzibar ni nzito hakuna awezaye kuisema wewe ni nani?

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,219
Unajuwa duniani hakuna kiongozi asiependa kupata suluisho la kudumu na lenye kuleta amani kwa wana nchi wote.
Tukirudi kwenye swala ka Znz kwakweli tukubaliane sote swala la Zenj ni swala zito lililo na siri ambayo hakuna hata mtu mmoja aliekwisha kuapa kwa katiba anaweza kulizungumza.
Kwanini hawalazungumzi na kwa nini wote wakigika ikulu wanasimamia katiba na muungano.
Kwangu mimi huu ndio ukweli...

Taifa hili la Tanzania lina siri nzito ambazo hakuna mtu au mwanadam anazijuwa isipokuwa amefika pale magogoni.

m
Muungano wetu ni zaidi ya maneno ya wanasiasa wetu na waganga njaa kiukweli ukiujuwa Muungano huu kamwe huwezi ongelea kuuvunja maana ukiweza kuuvunja Muungano ni sawa na wewe umeweza kuitoa roho yako mwenyewe kwa mkono.
Zanzibar nje ya Muungano haipo salama hizi sio propaganda za viongozi wa juu wa kitaifa ila niukweli mchungu ambao kama kungekuwa na nafasi tukafanyia experment japo kwa mwezi mmoja. Tungeshuhudia ukweli.
Historia ya taifa letu imebeba mambo mazito kuhusu zanzibar kuziba masikio nakuwapotosha wananchi juu ya taifa linaitwa Tanganyika na taifa linaitwa Zanzibar nikujifanya hatujuwi hawa wote ni taifa moja tangu Mungu kuumba ulimwengu. Sisi ni taifa moja either tunataka au hatutaki na kusema ukweli hatuwezi tenda dhambi ya ubaguzi tukawa salama.
Upo ukweli makosa yalitokea ktk utawala ila marekebisho yakifanyika tutakuwa sawa.

Upo ujinga unafanywa na viongozi kuwabaguwa wa Tz. Kwa mfano wazanzibari wakienda bara wanamiliki ardhi kwa asilimia mia ila kwao wanawabaguwa wabara wakisahau bara hawabaguliwi.
Wametenga visiwa na baharieti yao. Mbona bara wanavuna madini na mbao na hakuna anaye wauliza.
Mimi nadhani waambiwe ukweli na huo ndio mwisho wa fitina
 
Siri imefichwa ikulu siyo,so Zanzibar ni nchi ya mkulu na si wazanzibar siyo? Ccm imeviruga vichwa vyenu ndugu zangu,Mungu atusaudie ccm ife ili watanzania mpone
Unajuwa duniani hakuna kiongozi asiependa kupata suluisho la kudumu na lenye kuleta amani kwa wana nchi wote.
Tukirudi kwenye swala ka Znz kwakweli tukubaliane sote swala la Zenj ni swala zito lililo na siri ambayo hakuna hata mtu mmoja aliekwisha kuapa kwa katiba anaweza kulizungumza.
Kwanini hawalazungumzi na kwa nini wote wakigika ikulu wanasimamia katiba na muungano.
Kwangu mimi huu ndio ukweli...

Taifa hili la Tanzania lina siri nzito ambazo hakuna mtu au mwanadam anazijuwa isipokuwa amefika pale magogoni.

m
Muungano wetu ni zaidi ya maneno ya wanasiasa wetu na waganga njaa kiukweli ukiujuwa Muungano huu kamwe huwezi ongelea kuuvunja maana ukiweza kuuvunja Muungano ni sawa na wewe umeweza kuitoa roho yako mwenyewe kwa mkono.
Zanzibar nje ya Muungano haipo salama hizi sio propaganda za viongozi wa juu wa kitaifa ila niukweli mchungu ambao kama kungekuwa na nafasi tukafanyia experment japo kwa mwezi mmoja. Tungeshuhudia ukweli.
Historia ya taifa letu imebeba mambo mazito kuhusu zanzibar kuziba masikio nakuwapotosha wananchi juu ya taifa linaitwa Tanganyika na taifa linaitwa Zanzibar nikujifanya hatujuwi hawa wote ni taifa moja tangu Mungu kuumba ulimwengu. Sisi ni taifa moja either tunataka au hatutaki na kusema ukweli hatuwezi tenda dhambi ya ubaguzi tukawa salama.
Upo ukweli makosa yalitokea ktk utawala ila marekebisho yakifanyika tutakuwa sawa.

Upo ujinga unafanywa na viongozi kuwabaguwa wa Tz. Kwa mfano wazanzibari wakienda bara wanamiliki ardhi kwa asilimia mia ila kwao wanawabaguwa wabara wakisahau bara hawabaguliwi.
Wametenga visiwa na baharieti yao. Mbona bara wanavuna madini na mbao na hakuna anaye wauliza.
Mimi nadhani waambiwe ukweli na huo ndio mwisho wa fitina
 
muungano huu hamna muafrica yeyote aliyehusika ila lilikua takwa la mabwana wakubwa we shouldn't brag on! CIA ndio alikua architect na alifanikisha for his own then gain, na ilikua crash program ndio maana haujakaa vizuri mpaka Leo.

Inabidi kama taifa sasa lenye watu wanaojitambua, tukae na kuutathmini muungano, muundo na Ku provide gap ya win win kati ya pande zote mbili
.
 
Muungano haujashikiliwa na Nyerere, karume, magufuli au hata shein.
Muungano haujashikiliwa na ccm au serikali ya tz.

Walioshikilia muungano wamekaa na kutuliaa.

Huko anakoenda Seif kila siku kuishitaki Tz ndio wameushikilia muungano.

Kiufupi ni kwamba leo akiongea malkia kuwa zanzibar iachwe ijitawale au hata ccm iwe mwisho kutawala basi yote yatakuwa.

Mbaya wetu ni Muingereza. Hawa sisiem wamewekwa km walinzi tu.
 
Muungano haujashikiliwa na Nyerere, karume, magufuli au hata shein.
Muungano haujashikiliwa na ccm au serikali ya tz.

Walioshikilia muungano wamekaa na kutuliaa.

Huko anakoenda Seif kila siku kuishitaki Tz ndio wameushikilia muungano.

Kiufupi ni kwamba leo akiongea malkia kuwa zanzibar iachwe ijitawale au hata ccm iwe mwisho kutawala basi yote yatakuwa.

Mbaya wetu ni Muingereza. Hawa sisiem wamewekwa km walinzi tu.
Kuna kaukweri hivi! Sasa wananchi tumewachoka ccm tunataka akili zingine zituongozo
 
Kuna siri gani mkuu?

Mbna sheli sheli ni kadogo zaidi ya zanzibar ila aman imetawala


Hayo mapungufu ya kubaguana kwa dini na kabila ni ujinga wetu binadamu tu
Shelisheli hawajawa na fikra au tafakari za kukumbatia siasa koko za mashariki ya kati.....tunaowazungumzia, tayari washafanya kosa hilo...
 
Unajuwa duniani hakuna kiongozi asiependa kupata suluisho la kudumu na lenye kuleta amani kwa wana nchi wote.
Tukirudi kwenye swala ka Znz kwakweli tukubaliane sote swala la Zenj ni swala zito lililo na siri ambayo hakuna hata mtu mmoja aliekwisha kuapa kwa katiba anaweza kulizungumza.
Kwanini hawalazungumzi na kwa nini wote wakigika ikulu wanasimamia katiba na muungano.
Kwangu mimi huu ndio ukweli...

Taifa hili la Tanzania lina siri nzito ambazo hakuna mtu au mwanadam anazijuwa isipokuwa amefika pale magogoni.

m
Muungano wetu ni zaidi ya maneno ya wanasiasa wetu na waganga njaa kiukweli ukiujuwa Muungano huu kamwe huwezi ongelea kuuvunja maana ukiweza kuuvunja Muungano ni sawa na wewe umeweza kuitoa roho yako mwenyewe kwa mkono.
Zanzibar nje ya Muungano haipo salama hizi sio propaganda za viongozi wa juu wa kitaifa ila niukweli mchungu ambao kama kungekuwa na nafasi tukafanyia experment japo kwa mwezi mmoja. Tungeshuhudia ukweli.
Historia ya taifa letu imebeba mambo mazito kuhusu zanzibar kuziba masikio nakuwapotosha wananchi juu ya taifa linaitwa Tanganyika na taifa linaitwa Zanzibar nikujifanya hatujuwi hawa wote ni taifa moja tangu Mungu kuumba ulimwengu. Sisi ni taifa moja either tunataka au hatutaki na kusema ukweli hatuwezi tenda dhambi ya ubaguzi tukawa salama.
Upo ukweli makosa yalitokea ktk utawala ila marekebisho yakifanyika tutakuwa sawa.

Upo ujinga unafanywa na viongozi kuwabaguwa wa Tz. Kwa mfano wazanzibari wakienda bara wanamiliki ardhi kwa asilimia mia ila kwao wanawabaguwa wabara wakisahau bara hawabaguliwi.
Wametenga visiwa na baharieti yao. Mbona bara wanavuna madini na mbao na hakuna anaye wauliza.
Mimi nadhani waambiwe ukweli na huo ndio mwisho wa fitina
falsafa za kimapokeo za kizamani, hats ulaya na America zamani mwanamke hakuruhusiwa kuwa mtawala, America MTU mweusi ilikuwa mwiko kuulikaribia gate LA ikulu, dunia ya Leo kuna waziri mweusi Italy, na timu ya taifa ya Mpira wa miguu INA MTU mweusi, hayo ya zanz, ni uhafidhina uliopitwa na wakati wenye lengo LA kulinda hodhi ya madaraka ya kikundi kidogo cha wavivu (mamwinyi)
 
Wazanzibari WOTE walio ma asili ya kiafrika (weusi wa ngozi) ni watu wa bara.
Mtafute yeyote mzanzibari ambae sio halfcast wa kiarabu ama kizungu muulize baba yake na mama yake, babu yake au babu zake ni kabila gani... Utasikia "walikua watu wa Tabora/Lindi/Mtwara/Dar/Moro n.k ILA MIMI MZANZIBARI"

Hapo ndio utagundua what happened.

Then baada ya hapo fuatilia historia ya kabla ya mapinduzi ya Zanzibar, wakati wa mapinduzi ya Zanzibar na baada ya mapinduzi ya Zanzibar..... Utajifunza kwanini Pemba na Unguja zina mfarakano......

Baada ya hapo fuatilia tabia za watu waliowafanya Zanzibar koloni lao..... Hapo utagundua kwanini ugomvi wa Pemba na Unguja hautokuja kuisha.

Ukimaliza hapo, njoo kwenye hii thread uirudie tena.
 
Back
Top Bottom