Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 64
ORODHA ya majina ya wateule wanaosubiri kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalumu kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambayo uteuzi wake ulikwama katika njia ya demokrasia za ndani ya chama hicho, imevuja ndani ya chama hicho.
Majina 105 ya wateule hao waliopatikana kwa njia ya ushauri wa mtaalamu kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam baada ya njia ya kura kushindikana, yamo ya wake, watoto na ndugu wa vigogo na viongozi wa chama hicho.
Njia ya kura ilishindikana kutokana na kuibuka kwa makundi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe, wakati wa uchaguzi wa wabunge hao kupitia wajumbe wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha).
Katika uchaguzi huo, ilibainika kuwa baadhi ya wajumbe wa Baraza hilo walikuwa mamluki na baadhi ya wagombea kutoa kauli za kuulaumu uongozi kwa kutaka kuwapa ulaji wagombea wa viti maalumu wanaowataka.
Lawama hizo zimejidhihirisha kwani katika orodha hiyo, mbali na watoto na ndugu wa vigogo wa chama hicho, pia wabunge wote wa viti maalumu wa Chadema waliomaliza muda wao, wakiwamo wanaogombea katika majimbo ya uchaguzi, wamerudishwa katika orodha hiyo na kupewa nafasi za juu.
Wabunge waliomaliza muda wao walioko katika orodha hiyo ni Lucy Owenya ambaye ni mtoto wa mgombea ubunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo; na ni wa kwanza, jambo linalomhakikishia ubunge ikiwa uteuzi utafanyika kwa kufuata wa kwanza mpaka wa mwisho.
Wengine ni Mhonga Ruhwanya (namba 3), Halima Mdee (5), Grace Kiwelu (9) ambaye ni mkwewe Ndesamburo, Anna Komu (13) na Susan Lyimo (10).
Pia yumo Rose Kamil Sukum (19) ambaye ni mke wa mgombea urais wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa. Aidha, kwa mfumo huo wa Chadema, wagombea ubunge ambao wamo miongoni mwa majina hayo, watajihakikishia ulaji bungeni endapo watashindwa katika majimbo hayo.
Wagombea hao wa majimbo walioko katika orodha hiyo ni Mdee wa Kawe, Leticia Nyerere (16), Kwimba; Regia Mtema (11), Kilombero na Sukum, Hanang. Wengine ni Christina Lissu Mughiwa (20) na Paulina Slaa Narcis (84).
Orodha hiyo pia imewataja Easther Matiko(2), Anna Mallac (4), Paulina Gekul (6), Conjesta Rwamlaza (7), Susan Kiwanga (8), Christowaja Mtinda (12), Mwanamrisho Abama (14), Joyce Mukya (15), Naomi Kaihula (17), Chiku Abwao (18), Raya Hamisi (21), Philipa Mturano (22) na Mariam Msabaha (23).
Wengine ni Rachel Mashishanga (24), Sabrina Sungura (25), Rebecca Mngodo (26), Cecilia Pareso (27), Subira Waziri (28), Leticia Musore (29), Helen Kayanza (30), Rosana Chapita (31), Mona Bitakwate (32), Evarim Mpangama (33), Asha Kayumba (34), Hija Wazee (35), Mary Martin (36), Sophia Mwakagenda (37), Bupe Kyambika (38), Magreth Mangowi (39), Esther Daffi (40), Jane Pesha (41), Aikande Kwayu (42) na Helga Mchomvu (43).
Pia orodha hiyo iliwataja walioteuliwa kuwa ni Rebecca Magwisha (44), Neema Msuya (45), Anastazia Manyanda (46), Selina Nguma (47), Bertha Matanwa (48), Christina Ngola (49), Lydia Mwaipaja (50), Zaituni Lubinza (51), Adelastela Kilindi (52), Hawa Mwaifunga (53), Loyce Iboma (54) na Rita Kanoro (55).
Aidha wamo Monica Saile (56), Saida Othman (57), Edith Malale (58), Zainab Bakari (59), Rehema Makoba (60), Hadija Lyellu (61), Mary Komba (62), Rosale Lyimo (63), Omega Makundi (64), Marieth Chenyege (65), Veronica Ngale (66), Monica Mutasigwa (67), Judith Elyawoni (68), Rose Makara (69), Cecilian Ndossi (70) na Catherine Sakaya (71).
Wengine ni Ruth Bujiku (72), Deshmaki Mnenei (73), Juliet Lushuli (74), Ulycess Muro (75), Matilda Kokutoma (76), Tibandelage Kalinga (77), Mtende Hassan (78), Anna Turuka (79), Gibe Masanja (80), Victoria Kihumbi (81), Sabaha Mohamed (82), Pendo Ngonyani (83), Theresia Sanga (85), Somoye Namachachi (86), Mariam Mtamike (87) na Selina Nyambalya (88).
Wengine waliotajwa ni Zabib Vuma (89), Rose Moshi (90), Stella Masanja (91), Julie Mutashaga (92), Upendo Peneza (93), Rebecca Njiku (94), Asha Kasoni (95), Asha Akida (96), Anna Linjewile (97), Magdalena Utouh (98), Rehema Makupa (99), Mary Nyakabona (100), Happy Mgoko (101), Halima Katundu (102), Tatu Mselem(103), Salima Salum (104) na Time Suleiman (105).
Kwa mujibu wa chanzo chetu ndani ya chama hicho, orodha hiyo iliwasilishwa Septemba 30 katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Kaimu Katibu Mkuu, John Mnyika.
COMMENT:
Iwapo ndani ya Chadema hali ni hiyo, Mhe Slaa akitinga ikulu si watatoana ngeu katika kupanga safu ya cabinet, nk? Kutakuwa na serikali kweli hapo?
Fursa zinagawanywa kwa kuzingatia undugu, ukabila, urafiki etc - What a shame?
Zaidi ya 75% ya wateule wanatoka Kilimanjaro na Arusha - hii ndiyo falsafa ya Mwalimu Nyerere anayoihubiri Dr Slaa?
Mnachosema ni kingine na mnachotenda ni kingine.
Ukabila na undugu utaimaliza Chadema ... na ni aibu kwa Tz.
Kwa hili, inaonekana Chadema baado saaana, hakijakomaa kisiasa, na HAWANA UWEZO wa kukamata dola.
Mungu iepushe Tz kuongozwa na chama cha aina hii
Majina 105 ya wateule hao waliopatikana kwa njia ya ushauri wa mtaalamu kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam baada ya njia ya kura kushindikana, yamo ya wake, watoto na ndugu wa vigogo na viongozi wa chama hicho.
Njia ya kura ilishindikana kutokana na kuibuka kwa makundi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe, wakati wa uchaguzi wa wabunge hao kupitia wajumbe wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha).
Katika uchaguzi huo, ilibainika kuwa baadhi ya wajumbe wa Baraza hilo walikuwa mamluki na baadhi ya wagombea kutoa kauli za kuulaumu uongozi kwa kutaka kuwapa ulaji wagombea wa viti maalumu wanaowataka.
Lawama hizo zimejidhihirisha kwani katika orodha hiyo, mbali na watoto na ndugu wa vigogo wa chama hicho, pia wabunge wote wa viti maalumu wa Chadema waliomaliza muda wao, wakiwamo wanaogombea katika majimbo ya uchaguzi, wamerudishwa katika orodha hiyo na kupewa nafasi za juu.
Wabunge waliomaliza muda wao walioko katika orodha hiyo ni Lucy Owenya ambaye ni mtoto wa mgombea ubunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo; na ni wa kwanza, jambo linalomhakikishia ubunge ikiwa uteuzi utafanyika kwa kufuata wa kwanza mpaka wa mwisho.
Wengine ni Mhonga Ruhwanya (namba 3), Halima Mdee (5), Grace Kiwelu (9) ambaye ni mkwewe Ndesamburo, Anna Komu (13) na Susan Lyimo (10).
Pia yumo Rose Kamil Sukum (19) ambaye ni mke wa mgombea urais wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa. Aidha, kwa mfumo huo wa Chadema, wagombea ubunge ambao wamo miongoni mwa majina hayo, watajihakikishia ulaji bungeni endapo watashindwa katika majimbo hayo.
Wagombea hao wa majimbo walioko katika orodha hiyo ni Mdee wa Kawe, Leticia Nyerere (16), Kwimba; Regia Mtema (11), Kilombero na Sukum, Hanang. Wengine ni Christina Lissu Mughiwa (20) na Paulina Slaa Narcis (84).
Orodha hiyo pia imewataja Easther Matiko(2), Anna Mallac (4), Paulina Gekul (6), Conjesta Rwamlaza (7), Susan Kiwanga (8), Christowaja Mtinda (12), Mwanamrisho Abama (14), Joyce Mukya (15), Naomi Kaihula (17), Chiku Abwao (18), Raya Hamisi (21), Philipa Mturano (22) na Mariam Msabaha (23).
Wengine ni Rachel Mashishanga (24), Sabrina Sungura (25), Rebecca Mngodo (26), Cecilia Pareso (27), Subira Waziri (28), Leticia Musore (29), Helen Kayanza (30), Rosana Chapita (31), Mona Bitakwate (32), Evarim Mpangama (33), Asha Kayumba (34), Hija Wazee (35), Mary Martin (36), Sophia Mwakagenda (37), Bupe Kyambika (38), Magreth Mangowi (39), Esther Daffi (40), Jane Pesha (41), Aikande Kwayu (42) na Helga Mchomvu (43).
Pia orodha hiyo iliwataja walioteuliwa kuwa ni Rebecca Magwisha (44), Neema Msuya (45), Anastazia Manyanda (46), Selina Nguma (47), Bertha Matanwa (48), Christina Ngola (49), Lydia Mwaipaja (50), Zaituni Lubinza (51), Adelastela Kilindi (52), Hawa Mwaifunga (53), Loyce Iboma (54) na Rita Kanoro (55).
Aidha wamo Monica Saile (56), Saida Othman (57), Edith Malale (58), Zainab Bakari (59), Rehema Makoba (60), Hadija Lyellu (61), Mary Komba (62), Rosale Lyimo (63), Omega Makundi (64), Marieth Chenyege (65), Veronica Ngale (66), Monica Mutasigwa (67), Judith Elyawoni (68), Rose Makara (69), Cecilian Ndossi (70) na Catherine Sakaya (71).
Wengine ni Ruth Bujiku (72), Deshmaki Mnenei (73), Juliet Lushuli (74), Ulycess Muro (75), Matilda Kokutoma (76), Tibandelage Kalinga (77), Mtende Hassan (78), Anna Turuka (79), Gibe Masanja (80), Victoria Kihumbi (81), Sabaha Mohamed (82), Pendo Ngonyani (83), Theresia Sanga (85), Somoye Namachachi (86), Mariam Mtamike (87) na Selina Nyambalya (88).
Wengine waliotajwa ni Zabib Vuma (89), Rose Moshi (90), Stella Masanja (91), Julie Mutashaga (92), Upendo Peneza (93), Rebecca Njiku (94), Asha Kasoni (95), Asha Akida (96), Anna Linjewile (97), Magdalena Utouh (98), Rehema Makupa (99), Mary Nyakabona (100), Happy Mgoko (101), Halima Katundu (102), Tatu Mselem(103), Salima Salum (104) na Time Suleiman (105).
Kwa mujibu wa chanzo chetu ndani ya chama hicho, orodha hiyo iliwasilishwa Septemba 30 katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Kaimu Katibu Mkuu, John Mnyika.
COMMENT:
Iwapo ndani ya Chadema hali ni hiyo, Mhe Slaa akitinga ikulu si watatoana ngeu katika kupanga safu ya cabinet, nk? Kutakuwa na serikali kweli hapo?
Fursa zinagawanywa kwa kuzingatia undugu, ukabila, urafiki etc - What a shame?
Zaidi ya 75% ya wateule wanatoka Kilimanjaro na Arusha - hii ndiyo falsafa ya Mwalimu Nyerere anayoihubiri Dr Slaa?
Mnachosema ni kingine na mnachotenda ni kingine.
Ukabila na undugu utaimaliza Chadema ... na ni aibu kwa Tz.
Kwa hili, inaonekana Chadema baado saaana, hakijakomaa kisiasa, na HAWANA UWEZO wa kukamata dola.
Mungu iepushe Tz kuongozwa na chama cha aina hii