Siri ya ukimya wa mfalme(KING) Alikiba kutoa nyimbo ya bumburuka, Man walter kamwaga mchelee kweupe

Mahojiano nilioyaweka interview imefanywa na wasafi media

Mahojiano hayo mengine interview imefanywa na Clouds media

Hivi huyu jamaa si anatafuta mabalaaa,media mbili kubwa zote man walter katema moto
 
Nilikua namkubali alikiba kuwa hapelekeshwi na kelele za mashabiki wakimtaka atoe nyimbo kila saaa,nikaamini ni msanii alie na misimamona malengo yake binafsi.

kumbe nyuma ya pazia hali ni tofauti,mwenzangu anatamani kweli kuachia nyimbo kama aslay bandika bandua shida ni pesa tu inasumbua,jamani u star huuuuuuuuuu ptuuuu.

sasa si afungue studio yake awe anajitengenezea nyimbo mwenyewe aziachie kwa fujo kama wenzie,ukimya wakati haufanyi kazi kwa bidii huu ni uchokoraaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom