Nilikua namkubali alikiba kuwa hapelekeshwi na kelele za mashabiki wakimtaka atoe nyimbo kila saaa,nikaamini ni msanii alie na misimamona malengo yake binafsi.
kumbe nyuma ya pazia hali ni tofauti,mwenzangu anatamani kweli kuachia nyimbo kama aslay bandika bandua shida ni pesa tu inasumbua,jamani u star huuuuuuuuuu ptuuuu.
sasa si afungue studio yake awe anajitengenezea nyimbo mwenyewe aziachie kwa fujo kama wenzie,ukimya wakati haufanyi kazi kwa bidii huu ni uchokoraaaa
Sema angemlipa manwalter nimesikiliza interview zote nne yani ile aliyoifanya manwalter Azam tv ilikuwa ya kwanza, halfu ikaja ya clouds ambapo alikiba akajibu ikaja hii ya wasafi.
Nime conclude alikiba hana shukurani na ana majivuno,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.