Siri ya ufaulu ya baadhi ya shule za sekondari hii hapa

Shule nyingi za private, zinavujisha mitihani OVER

Wakati nipo form five nilikuwa nawasikia form six kipindi cha NECTA wanafurahi pepa wamesolve na imekuja mulemule

Ilivyokuja zamu yangu, (NECTA) nilibahatika kupata paper ya somo moja, tena 1 na 2

Haya mapepa yalitoka kwa washkaji wa private

Sasa kama tulipata paper na kusolve masaa 24 kabla na tupo government school,, je private?

Haiwezekani wanafunzi darasa zima wapate div za 7,

Ukitaka kuprove, Advance huwa wanazingua hàtar pamoja na kutoka one O level

Pamoja na hayo, wapo serious kwenye mikakati ilo halipingiki
 
Umesahau bahasha za kaki kwa wasimamiz
Yooote haya yanahitaji pesa kweli kweli, ukisikia uwekezaji kwenye elimu ndio mambo kama hayo, main goal ni kufaulu, at all costs.., maarifa utajua mwenyewe, ufaulu tu ndio unaangaliwa
 
Shule nyingi za private, zinavujisha mitihani OVER

Wakati nipo form five nilikuwa nawasikia form six kipindi cha NECTA wanafurahi pepa wamesolve na imekuja mulemule

Ilivyokuja zamu yangu, (NECTA) nilibahatika kupata paper ya somo moja, tena 1 na 2

Haya mapepa yalitoka kwa washkaji wa private

Sasa kama tulipata paper na kusolve masaa 24 kabla na tupo government school,, je private?

Haiwezekani wanafunzi darasa zima wapate div za 7,

Ukitaka kuprove, Advance huwa wanazingua hàtar pamoja na kutoka one O level

Pamoja na hayo, wapo serious kwenye mikakati ilo halipingiki
Sisi kuna paper za practical ya chemistry tulifundishwa leo, halafu wiki 1 baadae kwenye NECTA ikaja vile vile, ila walibadilisha namba chache sana, yaani walitwist kidogo tu, watu tulipasua vibaya mno, ila ilikuwa hatuambiwi kama hii ndio NECTA tunawafundisha ili msije mkaenda kutanganaza, nyie mnashtukia tu paper mliyofundishwa imekuja ile ile!!
 
Haiwezekani wanafunzi wote kupata one za single digit, mbona special school matokeo yana tofautiana, 1,2,3 na hata 4 na 0
Uchunguzi wa kina ufanyike, na watagundua ninachosema, hasa hilo la kuwafanyisha mitihani wanafunzi dhaifu kwenye ‘private exam centres’ , yaani unafanya mtihani chini ya mwamvuli wa kituo , sio shule.
 
Nakumbuka shule ya kata niliyosoma mwalimu wa civics alikuwa anakuja kipindi ambacho Mitihani ya kufungia shule imekaribia yaani siku zote hamumuoni ila mtihani ukikaribia huyu hapa.
Shule za Serikali hawatoi maarifa ila wanakaririsha.
 
Shida wa TZ ni kutaka tu kuamuliana maisha.

Jamani tulikubaliana kila mmoja ashinde mechi zake.
 
MBINU NYINGINE.

KARIBU SHULE ZOTE ZA GOVERNMENT NA PRIVATE

HUONGEZEA WANAFUNZI ALAMA ZA CONTINUOUS ASSESSMENT (CA) ambayo huongeza asilimia 15 ya alama za Somo NECTA.
IPO HIVI mtihan wa mwisho mwanafunzi hutafta alama 75.

Alama 10 hutokana na mtihan wa Taifa form II.

Alama 15 hutokana na alama za mitihan ya form 3 na 4 yote.

Sasa uhuni hufanyika kwa mwanafunzi kuongezewa alama mitihan ya ndan Terminal na Annual, hata kama alikuw anapata alam 10, walimu humuwekea alama 98-100.

(Kuna ukokotoaji wa kitaaluma hufanywa na necta kwa hizo alama hadi kuleta alama 15 baadae)
Mbinu hii imesaidia kupunguza zero nyingi, na hizo division four mnazozion nyingi ni zero bila hii MBINU.

Walimu hasa wakuu wa shule hufurahishwa sana na huu mchezo unaowasaidia kufuta madudu.
 
MBINU NYINGINE.

KARIBU SHULE ZOTE ZA GOVERNMENT NA PRIVATE

HUONGEZEA WANAFUNZI ALAMA ZA CONTINUOUS ASSESSMENT (CA) ambayo huongeza asilimia 15 ya alama za Somo NECTA.
IPO HIVI mtihan wa mwisho mwanafunzi hutafta alama 75.

Alama 10 hutokana na mtihan wa Taifa form II.

Alama 15 hutokana na alama za mitihan ya form 3 na 4 yote.

Sasa uhuni hufanyika kwa mwanafunzi kuongezewa alama mitihan ya ndan Terminal na Annual, hata kama alikuw anapata alam 10, walimu humuwekea alama 98-100.

(Kuna ukokotoaji wa kitaaluma hufanywa na necta kwa hizo alama hadi kuleta alama 15 baadae)
Mbinu hii imesaidia kupunguza zero nyingi, na hizo division four mnazozion nyingi ni zero bila hii MBINU.

Walimu hasa wakuu wa shule hufurahishwa sana na huu mchezo unaowasaidia kufuta madudu.
Aiseee, kwahiyo hapo kila shule inaweka alama juu zaidi ya alizopata, kwakuwa cha msingi ni ufaulu, potelea mbali...
 
Naombeni msaada kuna jambo najiuliza sina majibu, content ilikuja humu Jf siku chache sana ndip matokeo ya necta yakatoka, ilikuwa ikitaja shule kumi za gharama nchini, ziltajwa ada zake ni makumi mamilion na mitaala yake, swali, mbona necta imetangaza shule kumi bora zenyew hata moja sijaiona? Au zenyew mitihan yake inatungwa na kusahihishwa huko dunian ambako sisi dunia ya tatu hayatuhusu?

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Naombeni msaada kuna jambo najiuliza sina majibu, content ilikuja humu Jf siku chache sana ndip matokeo ya necta yakatoka, ilikuwa ikitaja shule kumi za gharama nchini, ziltajwa ada zake ni makumi mamilion na mitaala yake, swali, mbona necta imetangaza shule kumi bora zenyew hata moja sijaiona? Au zenyew mitihan yake inatungwa na kusahihishwa huko dunian ambako sisi dunia ya tatu hayatuhusu?

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
Zile ni mitaala ya huko huko...
 
Tukiacha anayosema mtoa mada still huwezi kulinganisha hizi shule na shule za gvt. Hao wanafunzi wanafanya mitihani mara kwa mara isitoshe wanakuwaga na wastani wa shule ambao lazima mwanafunzi afikishe mwisho wa mwaka (mitihani ya ndani ya shule) ukiwa chini ya huo wastani unaambiwa ukatafute shule nyingine hii inamfanya mwanafunzi awe makini maana anajua akidrop wastani shule hana.

Hata kama mtu akiiba mtihani akampa mtu ambae hasomi vizuri na mara kwa mara still huyo mtu atafeli. Walimu wao wanafundisha kama wajibu sio kama shule zetu za gvt mtu anafundisha kama anajitolea. All in all hongereni sana St. Francis na shule nyingine keep it up!
 
Shule binafsi nyingi zipo kimaslahi, ila sio zote na pia ukizitoa shule za seminari zilw shule huwa zinafaulisha bila janja janja, ni miongo mwa shuke watoto wanasoma kweli maana nimeshawahi soma moja wapi nimeona kitu kikubwa ni discipline na ratiba za kusali, kusoma, usafi na michezo wapo vizuri
 
Kuna shule moja ipo Bukoba yenyewe ni kuanzia primary ni private basi watoto wanateleza tu mpaka form four unakuta wote wana one wawili au watatu ndio wana two! Wakitoka pale kwenda A level tofaut na pale wanatengeneza zero za kutosha ktk mitihani yao ya mwisho(form six) last week nimeenda kule mkuu wa shule ananambia ameamua aweke na A level palepale nafikiri mmeelewa kwanini! Najiuliza sijui atafungua na chuo kikuu kabisa
 
Kuna shule moja ipo Bukoba yenyewe ni kuanzia primary ni private basi watoto wanateleza tu mpaka form four unakuta wote wana one wawili au watatu ndio wana two! Wakitoka pale kwenda A level tofaut na pale wanatengeneza zero za kutosha ktk mitihani yao ya mwisho(form six) last week nimeenda kule mkuu wa shule ananambia ameamua aweke na A level palepale nafikiri mmeelewa kwanini! Najiuliza sijui atafungua na chuo kikuu kabisa
Acha uongo

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Waliotoka kwenye hizo shule ndio wamesoma


Hawa wengine wamemaliza tu shule

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mnaopinga wengi form 4 au std 7 failures ila tuliopitia hizo system hatuez kumpuinga huyo jamaa
Mnaopinga wengi form 4 au std 7 failures ila tuliopitia hizo system hatuez kumpuinga huyo jamaa

MBINU NYINGINE.
KARIBU SHULE ZOTE ZA GOVERNMENT NA PRIVATE
HUONGEZEA WANAFUNZI ALAMA ZA CONTINUOUS ASSESSMENT (CA) ambayo huongeza asilimia 15 ya alama za Somo NECTA.
IPO HIVI mtihan wa mwisho mwanafunzi hutafta alama 75.
Alama 10 hutokana na mtihan wa Taifa form II.
Alama 15 hutokana na alama za mitihan ya form 3 na 4 yote.
Sasa uhuni hufanyika kwa mwanafunzi kuongezewa alama mitihan ya ndan Terminal na Annual,
Hata kama alikuw anapata alam 10, walimu humuwekea alama 98-100.
(Kuna ukokotoaji wa kitaaluma hufanywa na necta kwa hizo alama hadi kuleta alama 15 baadae)
Mbinu hii imesaidia kupunguza zero nyingi,
Na hizo division four mnazozion nyingi ni zero bila hii MBINU.
Walimu hasa wakuu wa shule hufurahishwa sana na huu mchezo unaowasaidia kufuta madudu.
NECTA hawana utaratibu huu, wa CA
 
Back
Top Bottom