Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,270
Matukio Katika Picha...
Makamu wa rais Dr. Ali Mohamed Shein akikata riboni kama alama ya kuzindua rasmi mfuko wa uadilifu, uwajibikaji na uwazi katika bustani ya Mnazi Mmoja. (29 September 2007). Picha, hisani ya: issamichuzi.blogspot.com
Makamu wa Rais, Dr Mohamed Shein akiangalia nyama katika moja ya mabucha jijini baada ya kushtukia watu wanapandisha bei kiholela katika mida ya sikukuu ya Idd.(11 October 2007). Picha, hisani ya: mpoki.blogspot.com
Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein akizindua awamu ya pili ya programu ya
kupambana na rushwa nchini kwenye sherehe ya siku ya maadili ya kitaifa. (10 December 2006). Picha, hisani ya: issamichuzi.blogspot.com
MAKAMU wa Rais, Dk. Ali Mohamed Sheni akikagua mabaki ya hoteli ya Sea Cliff, Dar es Salaam, ambayo iliteketezwa na moto. Kushoto ni Meneja Mkuu wa hoteli hiyo. Keven Stander. (24 September 2007). Picha, hisani ya: haki-hakingowi.blogspot.com
SteveD.

Makamu wa rais Dr. Ali Mohamed Shein akikata riboni kama alama ya kuzindua rasmi mfuko wa uadilifu, uwajibikaji na uwazi katika bustani ya Mnazi Mmoja. (29 September 2007). Picha, hisani ya: issamichuzi.blogspot.com

Makamu wa Rais, Dr Mohamed Shein akiangalia nyama katika moja ya mabucha jijini baada ya kushtukia watu wanapandisha bei kiholela katika mida ya sikukuu ya Idd.(11 October 2007). Picha, hisani ya: mpoki.blogspot.com

Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein akizindua awamu ya pili ya programu ya
kupambana na rushwa nchini kwenye sherehe ya siku ya maadili ya kitaifa. (10 December 2006). Picha, hisani ya: issamichuzi.blogspot.com

MAKAMU wa Rais, Dk. Ali Mohamed Sheni akikagua mabaki ya hoteli ya Sea Cliff, Dar es Salaam, ambayo iliteketezwa na moto. Kushoto ni Meneja Mkuu wa hoteli hiyo. Keven Stander. (24 September 2007). Picha, hisani ya: haki-hakingowi.blogspot.com
SteveD.
Last edited by a moderator: