Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,037
- 22,728
Yawezekana Nape alisoma alama za nyakati, ushindi wa kishindo wa mahasimu wake kwenye uchaguzi ni fundisho na onyo tosha kwa huyu vuvuzela. Sasa inabidi aache kupayuka, awaangukie na kuwaomba msamaha wale wote aliowachafua kwa kudai ni magamba na kuahidi CCM ingewavua ndani ya siku 90 kuanzia mwaka jana.
Bila hivyo kuna wasi wasi kuwa hata huruma ya mkazi wa Ikulu haitaweza kumhakikishia usalama wake ndani ya CCM...tetesi ndizo hizo!
Bila hivyo kuna wasi wasi kuwa hata huruma ya mkazi wa Ikulu haitaweza kumhakikishia usalama wake ndani ya CCM...tetesi ndizo hizo!