Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
Naombeni munipe siri za misukule inayotolewa na bishop Gwajina je Misukule inakuwa na tabia gani na Muonekano gani pia je kuna Mtu humu amewai kushuhudi au kuuona Msukule
Ukijibu swali hili nitakuonyesha msukule ulivyo, unajua roho ya mtu na mwili wa mtu nibidhaa kabisaa kama sabauni ilivyo dukani na unaweza kuuzwa sokoni na watu wananunua na kutumia kama unavyotumia sabuni baada ya kununua?Naombeni munipe siri za misukule inayotolewa na bishop Gwajina je Misukule inakuwa na tabia gani na Muonekano gani pia je kuna Mtu humu amewai kushuhudi au kuuona Msukule
hapana wewe umenunua wapi roho yakoUkijibu swali hili nitakuonyesha msukule ulivyo, unajua roho ya mtu na mwili wa mtu nibidhaa kabisaa kama sabauni ilivyo dukani na unaweza kuuzwa sokoni na watu wananunua na kutumia kama unavyotumia sabuni baada ya kununua?
HahahahaWengi tu walidanganywa kuwa anawaletea 'musa' wakazungusha mikono.
Kama unania ya kujifunza na huna nia mbaya kwanini unaniuliza nilinunua wapi roho yangu?, hapana ilitosha tu ilinikufundishe na kama unania ya kujifunza upate kitu cha kukusaidia.hapana wewe umenunua wapi roho yako
ha ha haMkuu, ngoja nikugeuze msukule kwa mda wa wiki moja urudi na majibu ya kuwahadithia wenzako...
badara yake tumepata wagonjwa wa vichwa, wametamalakiWengi tu walidanganywa kuwa anawaletea 'musa' wakazungusha mikono.
Mkuu mimi ID yako ndo nimeipenda utakua ni mpenzi wa ule mchezo, ila mbele ya wade weka curyElimu,elimu,elimu...
HahahahahahahahahahanahahajaMkuu, ngoja nikugeuze msukule kwa mda wa wiki moja urudi na majibu ya kuwahadithia wenzako...