Kitabuflix
Member
- Sep 26, 2020
- 11
- 5
Salute Bosses!!!
Habari mkuu , Leo nipo kwenye moody kabisa wa kukuletea uzi ambao hujawahi kufundishwa shule, chuo ama nyumbani!!!
Yaani nataka TUJIFUNZE madini muhimu sana ambayo ni kama hazina itayokufaa kwenye maisha mwako.
Hivi ushawahi kujiuliza kwanini maCeo ama Matajiri ama watu waliofanikiwa hupenda sana husoma vitabu?? 🤔
Ushawahi kumsikia mtu anasema watanzania wengi hawapendi kujifunza..
..
ujuwe kamanisha nini?
..
Kamaanisha VITABU!! Mmmh
Vitabu tena...
Yess Vitabu
Twende taratibu...
Wengi mabillionaire kama vile Bill Gates, Mark Zuckerberg, Elon Musk, Mo Dewji, Warren Buffet na wengine wengi wanatabia ya kusoma vitabu.
Je vitabu hufanya wafanikiwe??
= Bill Gates amesema "Kila kitabu kinanifundisha jambo jipya na kunisaidia kuona vitu kwa utofauti".
= Elon Musk amejifunza mwenyewe kutengeneza rocket kwa kusoma vitabu. Heh bac wabongo watanibishia.. 😄
= Warren Buffet husoma pages zaidi ya 500 kwa siku.
= Mark Cuban Husoma maasa 3 kwa siku na vitabu 50 kwa mwaka.
Vitabu vina faida nyingi lukuki.. Kama vile
- Kuongeza uwezo wa ubongo : Kwamba kama kazi ama mazoezi huongeza uwezo wa misuli, basi ndivyo hivyo kitabu huongeza uwezo wa ubongo katika kufanya kazi.
- Kuongeza Maarifa : Kila jambo unalolisoma hukupa taarifa mpya. Huwezi fahamu ni wakati gani maarifa yatakusaidia katika kutatua changamoto katika maisha yako. Kua na utajiri wa maarifa ni nyenzo muhimu sana katika kakabiliana na changamoto pindi zinapojitokeza maishani mwako, kumbuka kwamba katika maisha, unaweza kupoteza vitu vingi, kazi, cheo, pesa, marafiki hata afya lakini huwezi kupoteza Maarifa.
- Kupunguza msongo wa mawazo: Haijalishi unapitia magumu kiasi gani katika maisha yako, hayo yote hupungua kadri unavyozama katika kusoma simulizi kandanda zinazosisimua hasa riwaya iliyoandikwa kiustadi, huweza kukusafirisha Katika ulimwengu mwengine na kukuondoa katika hali ya sasa uliyonayo hivyo hukupa nafasi ya kuburudika kiakili.
- Huleta Burudani: pia vitabu ni burudani bwana, kusoma kitabu huleta raha, unaposoma kitabu kizuri huleta hisia za amani na utulivu moyoni mwako.
Watu wengi wanatamani sana kupata muda wa kusoma kitabu walau kimoja kwa siku ila tatizo muda, mudaa bosi mudaaaa watu hukosa, hivyo wazungu wakaja na solutions ya ebook au (Electronic book).,
Ebook ni mfumo wa kitabu ambao unaweza kusoma kwa kutumia kifaa cha kielektroniki, kama vile Simu, Tablet ama compyuta.
Mpaka apo Tumeelewana!!!
but ebook ni gharama sana ukinunua kwenye Amazon Kindle ni ghali sana ( kitabu kimoja (ebook) kwenye Amazon.com start at
$8 na kuendelea) duh!! hivyo kwa gharama ni ghali sana hasa kwa sisi wenye kipato kidogo! Changamoto hii nikaja na wazo la
Kitabuflix 🎉
Kitabuflix ni huduma ambayo mimi kama mtanzania mzalendo nakuletea vitabu (ebook) vitabu 5 unavyopenda kuvisoma for just Tsh 10,000 yaani Kitabuflix inakupa wewe rafiki yangu vitabu(Ebook) vi 5 vyoyote vile uvitakavyo KUJIFUNZA kwa elfu 10 tu . I do this 4 just watanzania TUJIFUNZE.
Amazon Kindle min price ya kitabu kimoja ni Tsh 21,000 × 5 = Tsh 105,000
Kitabuflix; ebook 5 JUST kwa elfu 10 tu!!
What's an Offer!.
I AM BLESSED to BLESSED YOU.
Jinsi ya Kupata ebook yako kupitia WhatsApp.
- Ingia kwenye WhatsApp
- Nitumie title ya kitabu unachotaka kukisoma KWENDA
Namba +255678200315
"mfano. Nitumie kitabu cha I CAN, I MUST, I WILL."
Lipia kupitia Tigo Pesa KWENDA namba 0678200315
(Kiasi efu 10 tu)
JINA: SALUM SALUM
- Then rudi kwenye WhatsApp nitumie screenshot au ujumbe ili kuhakikisha kama wewe umelipia.
Baada ya hapo,,,
Mimi Nitakutumia Vitabu unavyopenda kwa mfumo wa pdf within 5 minutes baada ya kuiyona msg yako.
Link ya WhatsApp yangu moja kwa moja
Bonyeza 👇👇
WhatsApp Me
KARIBU SANA
Tunavitabu vingi mnooooo baadhi ya samples nitazipost kupitia uzi huu.
Asante.
Habari mkuu , Leo nipo kwenye moody kabisa wa kukuletea uzi ambao hujawahi kufundishwa shule, chuo ama nyumbani!!!
Yaani nataka TUJIFUNZE madini muhimu sana ambayo ni kama hazina itayokufaa kwenye maisha mwako.
Hivi ushawahi kujiuliza kwanini maCeo ama Matajiri ama watu waliofanikiwa hupenda sana husoma vitabu?? 🤔
Ushawahi kumsikia mtu anasema watanzania wengi hawapendi kujifunza..
..
ujuwe kamanisha nini?
..
Kamaanisha VITABU!! Mmmh
Vitabu tena...
Yess Vitabu
Twende taratibu...
Wengi mabillionaire kama vile Bill Gates, Mark Zuckerberg, Elon Musk, Mo Dewji, Warren Buffet na wengine wengi wanatabia ya kusoma vitabu.
Je vitabu hufanya wafanikiwe??
= Bill Gates amesema "Kila kitabu kinanifundisha jambo jipya na kunisaidia kuona vitu kwa utofauti".
= Elon Musk amejifunza mwenyewe kutengeneza rocket kwa kusoma vitabu. Heh bac wabongo watanibishia.. 😄
= Warren Buffet husoma pages zaidi ya 500 kwa siku.
= Mark Cuban Husoma maasa 3 kwa siku na vitabu 50 kwa mwaka.
Vitabu vina faida nyingi lukuki.. Kama vile
- Kuongeza uwezo wa ubongo : Kwamba kama kazi ama mazoezi huongeza uwezo wa misuli, basi ndivyo hivyo kitabu huongeza uwezo wa ubongo katika kufanya kazi.
- Kuongeza Maarifa : Kila jambo unalolisoma hukupa taarifa mpya. Huwezi fahamu ni wakati gani maarifa yatakusaidia katika kutatua changamoto katika maisha yako. Kua na utajiri wa maarifa ni nyenzo muhimu sana katika kakabiliana na changamoto pindi zinapojitokeza maishani mwako, kumbuka kwamba katika maisha, unaweza kupoteza vitu vingi, kazi, cheo, pesa, marafiki hata afya lakini huwezi kupoteza Maarifa.
- Kupunguza msongo wa mawazo: Haijalishi unapitia magumu kiasi gani katika maisha yako, hayo yote hupungua kadri unavyozama katika kusoma simulizi kandanda zinazosisimua hasa riwaya iliyoandikwa kiustadi, huweza kukusafirisha Katika ulimwengu mwengine na kukuondoa katika hali ya sasa uliyonayo hivyo hukupa nafasi ya kuburudika kiakili.
- Huleta Burudani: pia vitabu ni burudani bwana, kusoma kitabu huleta raha, unaposoma kitabu kizuri huleta hisia za amani na utulivu moyoni mwako.
Watu wengi wanatamani sana kupata muda wa kusoma kitabu walau kimoja kwa siku ila tatizo muda, mudaa bosi mudaaaa watu hukosa, hivyo wazungu wakaja na solutions ya ebook au (Electronic book).,
Ebook ni mfumo wa kitabu ambao unaweza kusoma kwa kutumia kifaa cha kielektroniki, kama vile Simu, Tablet ama compyuta.
Mpaka apo Tumeelewana!!!
but ebook ni gharama sana ukinunua kwenye Amazon Kindle ni ghali sana ( kitabu kimoja (ebook) kwenye Amazon.com start at
$8 na kuendelea) duh!! hivyo kwa gharama ni ghali sana hasa kwa sisi wenye kipato kidogo! Changamoto hii nikaja na wazo la
Kitabuflix 🎉
Kitabuflix ni huduma ambayo mimi kama mtanzania mzalendo nakuletea vitabu (ebook) vitabu 5 unavyopenda kuvisoma for just Tsh 10,000 yaani Kitabuflix inakupa wewe rafiki yangu vitabu(Ebook) vi 5 vyoyote vile uvitakavyo KUJIFUNZA kwa elfu 10 tu . I do this 4 just watanzania TUJIFUNZE.
Amazon Kindle min price ya kitabu kimoja ni Tsh 21,000 × 5 = Tsh 105,000
Kitabuflix; ebook 5 JUST kwa elfu 10 tu!!
What's an Offer!.
I AM BLESSED to BLESSED YOU.
Jinsi ya Kupata ebook yako kupitia WhatsApp.
- Ingia kwenye WhatsApp
- Nitumie title ya kitabu unachotaka kukisoma KWENDA
Namba +255678200315
"mfano. Nitumie kitabu cha I CAN, I MUST, I WILL."
Lipia kupitia Tigo Pesa KWENDA namba 0678200315
(Kiasi efu 10 tu)
JINA: SALUM SALUM
- Then rudi kwenye WhatsApp nitumie screenshot au ujumbe ili kuhakikisha kama wewe umelipia.
Baada ya hapo,,,
Mimi Nitakutumia Vitabu unavyopenda kwa mfumo wa pdf within 5 minutes baada ya kuiyona msg yako.
Link ya WhatsApp yangu moja kwa moja
Bonyeza 👇👇
WhatsApp Me
KARIBU SANA
Tunavitabu vingi mnooooo baadhi ya samples nitazipost kupitia uzi huu.
Asante.
Attachments
-
20200927_154324.jpg58.4 KB · Views: 14
-
20200927_154312.jpg47.4 KB · Views: 11
-
20200927_154218.jpg56.2 KB · Views: 13
-
20200927_154237.jpg67.8 KB · Views: 10
-
Screenshot_20200927-153141_Adobe%20Acrobat.jpg32.9 KB · Views: 8
-
Screenshot_20200927-153141_Adobe%20Acrobat.jpg32.9 KB · Views: 9
-
Screenshot_20200927-153127_Adobe%20Acrobat.jpg16.9 KB · Views: 8
-
Screenshot_20200927-153101_Adobe%20Acrobat.jpg16.1 KB · Views: 7
-
Screenshot_20200926-184808_Instagram.jpg24.2 KB · Views: 8
-
Screenshot_20200926-184801_Instagram.jpg24.2 KB · Views: 9
-
Screenshot_20200926-184751_Instagram.jpg32.4 KB · Views: 6
-
Screenshot_20200926-184745_Instagram.jpg24.9 KB · Views: 8
-
Screenshot_20200926-184723_Instagram.jpg25 KB · Views: 7
-
Screenshot_20200926-184740_Instagram.jpg18.4 KB · Views: 5
-
Screenshot_20200926-184714_Instagram.jpg24.8 KB · Views: 5
-
Screenshot_20200926-184659_Instagram.jpg20.9 KB · Views: 5
-
Screenshot_20200926-184702_Instagram.jpg36.2 KB · Views: 7
-
Screenshot_20200926-184646_Instagram.jpg19.4 KB · Views: 6
-
Screenshot_20200926-184642_Instagram.jpg22.3 KB · Views: 7
-
Screenshot_20200926-184639_Instagram.jpg21.1 KB · Views: 5
-
Screenshot_20200926-184551_Instagram.jpg22.6 KB · Views: 4
-
Screenshot_20200926-184613_Instagram.jpg20.9 KB · Views: 4
-
Screenshot_20200926-184609_Instagram.jpg17.9 KB · Views: 5
-
Screenshot_20200926-184623_Instagram.jpg28 KB · Views: 5
-
Screenshot_20200926-184628_Instagram.jpg25.3 KB · Views: 5
-
Screenshot_20200926-184541_Instagram.jpg14.4 KB · Views: 4
-
Screenshot_20200926-184534_Instagram.jpg22 KB · Views: 5
-
penguinukbooks-___CFPj4Wdnyqu___-.jpg60.9 KB · Views: 6
-
applebooks_5-___CFiKscxpgpN___-.jpg45.1 KB · Views: 7
-
applebooks_2-___CFiKscxpgpN___-.jpg52.3 KB · Views: 8