mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 15,862
- 35,190
Kuna kitu kinanichanganya, wahalifu wakienda kuvamia sehemu uficha sehemu na kubakisha macho wakidhani hawatatambuliwa kwa kuonwa macho magazeti yakitoa picha yakitaka mtu asitambuliwe huficha macho
Sasa swali je macho yanaweza kumfanya mtu asitambulike au atambulike? wapi wako sahihi, wahalifu au magazeti?
Sasa swali je macho yanaweza kumfanya mtu asitambulike au atambulike? wapi wako sahihi, wahalifu au magazeti?