Limbukeni
Senior Member
- Feb 27, 2009
- 117
- 1
Mapenzi ni kujitoa muhanga sio vinginevyo. Kujitoa muhanga ni kuwa tayari kwa lolote, yani hata shida ya aina gani iwatokee wapenzi penzi halivunjiki ndio kwanza linaimarika. Pasipo kujitoa muhanga hakuna mapenzi bali kupotezeana muda wakati mwingine hata maisha. Kagua upendo wako au ndoa yako uone kama ina kiwango hicho.