Siri ya kuvunja baraza la mawaziri yafichuka kumbe JK ndo alikuwa ang'olewe

Kuisoma ni jambo moja kuichambua je ; anaweza? Angalijua kuichambua angeilifanyia mizengwe, tushukuru uelewa wake kuwa mdogo, kwani mambo mangapi kayafanyia mizengwe aliyokuwa na uelewa nayo? Hata kura anazifanyia mizengwe. Kumbuka CAG wakati anamkabidhi taarifa hii alimwambia ni nzuri mabaya yamepungua kuliko mwaka uliopita. Akauliza swali kuwa ina maana pesa zisizoonekana zimeibiwa? CAG akamjibu wakati mwingine ni kutoweka vizuri viambatanisho vya malipo baada ya ukaguzi hua watendaji wanavipata tena viambatanisho na kutuonyesha. JK alikuwa na hakika ya kuwa taarifa ya CAG inamfagilia. Uchambuzi wa wabunge makini wa CCM na CDM kwa pamoja ndio ulioibua yaliyojili. Usimsifie bure JK kama mtu mwenye mapenzi pofu anayemwita mwenye chongo kuwa kengeza
 
Hivi unawajua viongozi madikteta wewe au unaropoka tu kwa sababu umepata nafasi ya kuandika JF..ebu tufahamishe udikteta wa Kikwete ni upi?

binafsi sijauona udikteta, maana ukipitia FASCISM NA NAZISM huwez kusema kuwa j.k ni dikteta hata chembe,uhuru wa hbr upo sana tu.ISHU YA J.K TYT HAPO KWENYE KUSHINDWA KUFATILIA UTENDAJ WA WASAIDIZ WAKE,NALO HILO NI SUALA LA KIHISTORIA
 
Source Nipashe

Upepo wa kisiasa ulikuwa mbaya sio kwa Pinda bali kwa Kj kumbe wabunge wa CCM walikuwa na lengo la kumng'oa rais Kikwete na wala sio waziri mkuu Pinda.

Hii inatokana na Jk kuwakumbatia mawaziri wake wabovu na kinasababisha chama kufa.
Na hoja hiyo kuwasilishwa na Zitto ndo ikawana mashiko zaidi.

Kikubwa kauli kuwa upepo unapita uliwachukiza wabunge kupiga kura kutokuwa na imani na pinda ikuwa ni gia ya kuweka mazingira ya kumwajibisha jk na kimbunga hicho kingehamia kwake kwa kukosa sifa ya kuwa rais

My take
Ndo maana kwenye sherehe Za muungano alikuwa mwenye mawazo kweli coz alijua anaangushwa asipo vunja baraza

we ***** rudi kitandani ukalale!
 
Kikwete SI dikteta hata kidogo!
Tatizo la Kikwete ni indecision; he is undecisive.
na managemet ya watu ni decision-making,
acurate, timely, decision-making.
Unapewa sources of intelligence kukuwezesha kuamua
at the snap of a finger.

He is undecisive. Why?
na hili ndilo limeharibu sifa yake.
na nina hakika ataingia katika historia ya Tanzania
vibaya kwa sababu hii tu!

management = acureate, timely, decision making
bad(inaccurate, late) decision making = bad management

Futa kabisa neno dictatorship. Ungesema he is too soft, labda hapo...

Boss ni kweli uliyoyasema. Lakini uwe unafanya references kidogo kwenye dictionary. Naaibika kuona makosa uliyonayo Highlander!
 
utumbo mtupu....walotoa hoja ya kumwajibisha rais ni chademaa kwani ccm walkua 3 ? 4? ndio walio saini ule waraka...kama hujui siasa basi ccm wameteka hoja yenu sasa JK atasafisha baraza lake na cc ayke wame ridhia na sifa ni yake..
kwani JK alipokea ripoti ya CAG na kuamuru ifanyiwe kazi , na pia alitataka wabunge waijadili...sasa maneno mengiii kama debe bovu...pia JK alitamka ripoti hii isipelekwe kwake tu bali kwa Manumba Pia ili hatua zichukuliwe kwa wabadhirifu..
ripoti ilitolewa march mwishoni na april ilisomwa bungeni..leo unasema JK anakumbatia wabadhirifu..tuwe wakweli..JK ni mwazi kweli kweli kwani haya yasingeweza kutokea wakati wa Mkapa kwani watu walitishwa na kutishika...yalipita mengi zaid kwa mkapa , wakwepaji kodi wauza samaki...madini kutolewa kiholela na mrahaba wa 4%...mashirika kubinafsishwa kifisadi...ununuzi wa rada ya kitapeli...ununuzi ndege na maneno kama tutanunua hata kama tutakula majani...NBC kugaiwa kama bure kwa makaburu......migodi ya kiwira mkapa kujichukulia mwenyewe....EPA ilikua mwishoni wa urais wa mkapa...
lakini hakuna aliweza kuhoji kwani mkapa alikua anatisha...kuna siku mwandishi mmoja alimuliza mkapa kwamba anatuhumiwa kuchukua rushwa mkapa akangaka kama simba yule mwandishi alijiharia nadhani..na mpaka leo sijamuona tena,,sijui yupo wapi..na ukweli tangu siku hio mkapa hakuongea tena waandishi wa habari wa kibongo..

sasa Tumpe sifa JK..ameweza kunyamaza mafisadi wanapo fichuliwa wala hajawahi kuwa tetea ...bunge limekua huru zaid kuliko wakati wote wa nchii
magazeti na vyoboa vya habari vimekuwa huru zaid mpaka vinamtukana wao wakidhani ni udhaifu lakini ni sifa ya uongozi wa kuwa na subra,,,
hivyo hakuna ccm ambaye atakubali lumwangusha rais wake kwani kufanya hivyo rais atavunja bunge , na uchaguzi utaitwa na bila ya shaka upinzani utakuwa mbele ya turufu na ccm wanaweza kupigwa chale ..hivyo hawawezi kuchimba kaburi lao
 
Source Nipashe

Upepo wa kisiasa ulikuwa mbaya sio kwa Pinda bali kwa Kj kumbe wabunge wa CCM walikuwa na lengo la kumng'oa rais Kikwete na wala sio waziri mkuu Pinda.

Hii inatokana na Jk kuwakumbatia mawaziri wake wabovu na kinasababisha chama kufa.
Na hoja hiyo kuwasilishwa na Zitto ndo ikawana mashiko zaidi.

Kikubwa kauli kuwa upepo unapita uliwachukiza wabunge kupiga kura kutokuwa na imani na pinda ikuwa ni gia ya kuweka mazingira ya kumwajibisha jk na kimbunga hicho kingehamia kwake kwa kukosa sifa ya kuwa rais

My take
Ndo maana kwenye sherehe Za muungano alikuwa mwenye mawazo kweli coz alijua anaangushwa asipo vunja baraza

Baraza livunjwe lisivunjwe mambo ni yale yale 7bu tatizo kubwa lipo kwa jk na si vinginevyo
 
Source Nipashe

Upepo wa kisiasa ulikuwa mbaya sio kwa Pinda bali kwa Kj kumbe wabunge wa CCM walikuwa na lengo la kumng'oa rais Kikwete na wala sio waziri mkuu Pinda.

Hii inatokana na Jk kuwakumbatia mawaziri wake wabovu na kinasababisha chama kufa.
Na hoja hiyo kuwasilishwa na Zitto ndo ikawana mashiko zaidi.

Kikubwa kauli kuwa upepo unapita uliwachukiza wabunge kupiga kura kutokuwa na imani na pinda ikuwa ni gia ya kuweka mazingira ya kumwajibisha jk na kimbunga hicho kingehamia kwake kwa kukosa sifa ya kuwa rais

My take
Ndo maana kwenye sherehe Za muungano alikuwa mwenye mawazo kweli coz alijua anaangushwa asipo vunja baraza

Source please
 
Nawashangaa wanaoshindwa mpaka sasa kuelewa kuwa hizo ripoti zote zilizotumika ni mazao na ubunifu wa Kikwete. Kabla ya Kikwete hatujaona ripoti za CAG zikijadiliwa bungeni, isitoshe, ripoti za CAG zilikuwa zinaletwa miaka mitano baadae. Jitihada binafsi za Kikwete ndio leo hii tunaona ripoti zinaletwa baada ya mwaka tu na pia tunaona zinaweza kujadiliwa bungeni na kuzaa haya matunda ya kufichuwa madudu.

Leo huyo huyo aliyeleta yoote hayo kuna wachache wanaweza kunyanyua midomo wakamshutumu?. Hivi alipoamua kuyafanya hayo alikuwa hajui kuwa kuna watendaji wabovu? alikuwa anajuwa sana lakini Kikwete si mtu wa papara ni mtu anaefata sheria na haki na huwacha sheria ifate mkondo kwa ubunifu mdogo tu.

Kikwete anastahili kila sifa kwa hili, labda ni mapunguani wachache wasiokuwa na fikra ndio leo hii wamesahau kuwa Kikwete ndiye aliyeyaleta haya mabadiliko na sheria mpya ya CAG mwaka 2008.

Sasa kazi ni kwenu, kila mwenye macho haambiwi tazama, ni wakati muafaka sasa, polisi akamate mwizi, mwanasheria mkuu afunguwe kesi akishindwa awajibike na vyama vya upinzani wakishindwa kufunguwa kesi basi na wao wawajibike, vyama vya upinzani vina kila nyenzo za kufunguwa kesi mahakamani za kuanzia wizi mpaka ubadhirifu kwa wahusika na CAG anabaki kuwa shahidi mkuu.

Kama hamjui namna ya kufunguwa kesi muulizeni Mtikila.

Wacheni kelele, Kikwete kawaonesha njia, sasa ni wajibu wenu kuifata na si kukaa kumlaumu aliyewaletea yote hayo. Ukisikia shukurani ya punda ndio hii.
 
Source Nipashe

Upepo wa kisiasa ulikuwa mbaya sio kwa Pinda bali kwa Kj kumbe wabunge wa CCM walikuwa na lengo la kumng'oa rais Kikwete na wala sio waziri mkuu Pinda.

Hii inatokana na Jk kuwakumbatia mawaziri wake wabovu na kinasababisha chama kufa.
Na hoja hiyo kuwasilishwa na Zitto ndo ikawana mashiko zaidi.

Kikubwa kauli kuwa upepo unapita uliwachukiza wabunge kupiga kura kutokuwa na imani na pinda ikuwa ni gia ya kuweka mazingira ya kumwajibisha jk na kimbunga hicho kingehamia kwake kwa kukosa sifa ya kuwa rais

My take
Ndo maana kwenye sherehe Za muungano alikuwa mwenye mawazo kweli coz alijua anaangushwa asipo vunja baraza

kwenye umbea unalipwa posho?
 
Nawashangaa wanaoshindwa mpaka sasa kuelewa kuwa hizo ripoti zote zilizotumika ni mazao na ubunifu wa Kikwete. Kabla ya Kikwete hatujaona ripoti za CAG zikijadiliwa bungeni, isitoshe, ripoti za CAG zilikuwa zinaletwa miaka mitano baadae. Jitihada binafsi za Kikwete ndio leo hii tunaona ripoti zinaletwa baada ya mwaka tu na pia tunaona zinaweza kujadiliwa bungeni na kuzaa haya matunda ya kufichuwa madudu.

Leo huyo huyo aliyeleta yoote hayo kuna wachache wanaweza kunyanyua midomo wakamshutumu?. Hivi alipoamua kuyafanya hayo alikuwa hajui kuwa kuna watendaji wabovu? alikuwa anajuwa sana lakini Kikwete si mtu wa papara ni mtu anaefata sheria na haki na huwacha sheria ifate mkondo kwa ubunifu mdogo tu.

Kikwete anastahili kila sifa kwa hili, labda ni mapunguani wachache wasiokuwa na fikra ndio leo hii wamesahau kuwa Kikwete ndiye aliyeyaleta haya mabadiliko na sheria mpya ya CAG mwaka 2008.

Sasa kazi ni kwenu, kila mwenye macho haambiwi tazama, ni wakati muafaka sasa, polisi akamate mwizi, mwanasheria mkuu afunguwe kesi akishindwa awajibike na vyama vya upinzani wakishindwa kufunguwa kesi basi na wao wawajibike, vyama vya upinzani vina kila nyenzo za kufunguwa kesi mahakamani za kuanzia wizi mpaka ubadhirifu kwa wahusika na CAG anabaki kuwa shahidi mkuu.

Kama hamjui namna ya kufunguwa kesi muulizeni Mtikila.

Wacheni kelele, Kikwete kawaonesha njia, sasa ni wajibu wenu kuifata na si kukaa kumlaumu aliyewaletea yote hayo. Ukisikia shukurani ya punda ndio hii.

Faiza Foxy on duty
 
Waliokuwepo kwenye vikao/mkutano na Raisi ndio wanaojua ukweli wa agenda,sisi wengine tumeambiwa kupitia vyombo vya habari, vikimnukuu Nape.Hakuna shaka mambo ni magumu kwaserikali ya JK na chama chake CCM.Haukuwa mkutano wa kupongezana.
 
Mie mbona naenda kwenye thread zote tu wewe nitafute utanipata au takuwa naku-tag
Sijaona koments zako kwenye kila thread za JK Mchina.. najua unakipenda chama (GAMBA) lakini soon as Mungu atakipenda zaidi..Na ukiona gharama za matibabu zinaongezeka ujue ni dalili tosha Mungu anataka kuonyesha upendo wake...
 
Wanaomtetea JK kweli ni wavivu wa kufikiri. JK anakumbatia waovu na hilo halipingiki! Sema yote ukweli unabaki palepale!
 
Hivi unawajua viongozi madikteta wewe au unaropoka tu kwa sababu umepata nafasi ya kuandika JF..ebu tufahamishe udikteta wa Kikwete ni upi?
Inamaana hujui kama baba yako ni Dicteta, embu mwulize mama atakwambia vizuri tu
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom