Siri ya Gwajima kupendwa zaidi na watu tofauti na viongozi wengine wa kidini

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Sijui ni kalama, sijui ni nature, sijui ni mapenzi ya Mungu!

Mchungaji Gwajima akiwa anaongea utapenda umsikilize,hata kama uko opposite nae. Na akiwa anaongea maneno yake huwa matamu sana, anajua kupanga na kupangua, tena haraka haraka! Hamung'unyi maneno.

Gwajima akianza kuongea unapata hamu ya kumsikiliza. Huwa yupo straight sana. Hata kama hutaki utamwelewa tu. Sijui ni kisimati.

Ukilinganisha Gwajima na viongozi wengine wa kiroho, unaona tofauti kubwa sana. Wengi hawana mvuto mbele za watu, hawajichanganyi, hawatemi cheche na hawaonekani mtaani kabisa. Madhehebu makubwa lakini hawajulikani.
 
Sijui ni kalama, sijui ni nature, sijui ni mapenzi ya Mungu!

Mchungaji Gwajima akiwa anaongea utapenda umsikilize,hata kama uko opposite nae. Na akiwa anaongea maneno yake huwa matamu sana, anajua kupanga na kupangua, tena haraka haraka! Hamung'unyi maneno.

Gwajima akianza kuongea unapata hamu ya kumsikiliza. Huwa yupo straight sana. Hata kama hutaki utamwelewa tu. Sijui ni kisimati.

Ukilinganisha Gwajima na viongozi wengine wa kiroho, unaona tofauti kubwa sana. Wengi hawana mvuto mbele za watu, hawajichanganyi, hawatemi cheche na hawaonekani mtaani kabisa. Madhehebu makubwa lakini hawajulikani.
Hata wewe unajua KUPANGILIA maneno....

Hujatambua tu KIPAJI chako.
 
Huyo anayejiita mchungaji watu wanaigiza kumpenda (wana mpaka mafuta kwa mgongo Wa chupa).

Ila kiukweli kwa mtu ambaye ana uhitaji Wa msaada Wa kiroho hawezi kumuweka kundini huyo bwanabl Gwaji.

Wewe mtu ana simama madhabahuni kumwaga ubuyu Wa shilawdu mwanzo
mwisho afu anajiita mchungani, siptai Picha na kina pengo ,malasusa, Shekh zubery wangekuwa wanafanya ka huyo mchungaji kanjanja hali ingekuwaje.
 
tehe tehe tehe mi nampenda kwenye swala zima la kuamsha dude, yani asichokozwe kabisa huyu mzee, akili zake kama za mchwa ILA upande wa kiimani simuamini hata kidogo
 
Gwajima bana eti yeye si kiongoz wa kidin Bali Kiroho.
Anahubiri tetesi msiban na kuzitengeneza katika ukweli na watu wanalipuka kwa shangwe.
Gambo aongoze taratibu za mkoa wa Moshi?


Ikiwa ni yeye Gambo
Ikiwa ni yeye Gambo

Ikiwa ni yeye Gambo


KWELI ANAPENDWA .
 
Back
Top Bottom