Siri ya Gwajima kupendwa zaidi na watu tofauti na viongozi wengine wa kidini

Huyo anayejiita mchungaji watu wanaigiza kumpenda (wana mpaka mafua kwa mgongo Wa chupa).

Ila kiukweli kwa mtu ambayo ana uhitaji Wa msaada Wa kiroho hawezi kumuweka kundini huyo bwana,.

Wewe mtu ana simama madhabahuni kumwaga ubuyu Wa shilawdu mwanao mwisho afu anajiita mchungani, siptai Picha na kina pengo ,malasusa, Shekh zubery wangekuwa wanafanya ka huyo mchungaji kanjanja hali ingekuwaje.
eti anamwaga ubuyu mwanzo mwisho" hujui unqchoongea askofu Gwajima anahubir mpka masaa manne mfululizo akishusha neno la ufufuo na uzima we kwa umbea wako unaskiliza kipande cha dk20 tu na ndio unajiaminisha ibada nzima amehubiri ubuyu tu...
Fuatilia mahubiri yake in full kwny channel yake YouTube utaelewa anachomaanisha mleta waya
 
Gwajima bana eti yeye si kiongoz wa kidin Bali Kiroho.


Anahubiri tetesi msiban na kuzitengeneza katika ukweli na watu wanalipuka kwa shangwe.




Gambo aongoze taratibu za mkoa wa Moshi?





Ikiwa ni yeye Gambo
Ikiwa ni yeye Gambo

Ikiwa ni yeye Gambo


KWELI ANAPENDWA .
Gambo ndiye aliekaimishwa ukuu wa mkoa KLM kabla ya yule mama kuapishwa ndio maana akapata hayo mamlaka ya kufanya aliyofanya
 
Huyo anayejiita mchungaji watu wanaigiza kumpenda (wana mpaka mafua kwa mgongo Wa chupa).

Ila kiukweli kwa mtu ambayo ana uhitaji Wa msaada Wa kiroho hawezi kumuweka kundini huyo bwana,.

Wewe mtu ana simama madhabahuni kumwaga ubuyu Wa shilawdu mwanao mwisho afu anajiita mchungani, siptai Picha na kina pengo ,malasusa, Shekh zubery wangekuwa wanafanya ka huyo mchungaji kanjanja hali ingekuwaje.

Ata Pengo na yeye hauwezi kumuweka kundini,moja kati ya mtu mnafiki hapa Tanzania.
 
Mkuu kwa kuandika haya nitakayoandika sina nia ya kukufanya usimpende Gwajima.Na wala kwa kuandika haya sina maana kwamba viongozi wengine wa dini au madhehebu ni watumishi wa kweli wa Mungu,lahasha.Ila nisemalo kuhusu Gwajima ni hili,sio mtumishi wa Mungu.Anayofanya na kusema yako kinyume na neno la Mungu kabisa.Watu wanampenda kwa kuwa anayofanya na kusema yanaendena na matendo na tabia za kimwili za watu.
 
Wagalatia wanafki sana, angekuwa sheikh angeitwa mchochezi, na risasi za bega angekuwa kashatunguliwa
bado hajafikia kiwango cha kuchochea.. we subiri aguse sehem fulani ndo utajua kama ni mchochezi au mahubiri
 
Sijui ni kalama, sijui ni nature, sijui ni mapenzi ya Mungu!

Mchungaji Gwajima akiwa anaongea utapenda umsikilize,hata kama uko opposite nae. Na akiwa anaongea maneno yake huwa matamu sana, anajua kupanga na kupangua, tena haraka haraka! Hamung'unyi maneno.

Gwajima akianza kuongea unapata hamu ya kumsikiliza. Huwa yupo straight sana. Hata kama hutaki utamwelewa tu. Sijui ni kisimati.

Ukilinganisha Gwajima na viongozi wengine wa kiroho, unaona tofauti kubwa sana. Wengi hawana mvuto mbele za watu, hawajichanganyi, hawatemi cheche na hawaonekani mtaani kabisa. Madhehebu makubwa lakini hawajulikani.
Mimi ni Mkatoliki lakini kwa ukweli GWAJIMA ni zaidi ya PENGO , Mungu ambariki sana swahiba wangu Mchungaji na msema ukweli GWAJIMA.
 
Aliyesema Gwajima ni mchungaji/Askofu ni nani ? Mbona huyu ni mganga wa kienyeji tu
 
Kama wewe ni mtu wa udaku utampenda tu! Mimi nilimtete mara moja tu, alivyo mzimisha Bushiri! Maana lazima mtu atetee MAMA TANZANIA
 
Sijui ni kalama, sijui ni nature, sijui ni mapenzi ya Mungu!

Mchungaji Gwajima akiwa anaongea utapenda umsikilize,hata kama uko opposite nae. Na akiwa anaongea maneno yake huwa matamu sana, anajua kupanga na kupangua, tena haraka haraka! Hamung'unyi maneno.

Gwajima akianza kuongea unapata hamu ya kumsikiliza. Huwa yupo straight sana. Hata kama hutaki utamwelewa tu. Sijui ni kisimati.

Ukilinganisha Gwajima na viongozi wengine wa kiroho, unaona tofauti kubwa sana. Wengi hawana mvuto mbele za watu, hawajichanganyi, hawatemi cheche na hawaonekani mtaani kabisa. Madhehebu makubwa lakini hawajulikani.
Gwajima kwani ni mtumishi wa MUNGU
 
Wagalatia wanafki sana, angekuwa sheikh angeitwa mchochezi, na risasi za bega angekuwa kashatunguliwa
Risasi za Bega? Kumbe ni nafuu, huko Saudia Arabia wanakata Kichwa kabisa mbele ya Kadamnasi.
 
Ukilinganisha Gwajima na viongozi wengine wa kiroho, unaona tofauti kubwa sana. Wengi hawana mvuto mbele za watu, hawajichanganyi, hawatemi cheche na hawaonekani mtaani kabisa. Madhehebu makubwa lakini hawajulikani.
Na bishop Zachary Kakobe, yeye hujamsikia akiongea,tena hoja zake Ni zenye nguvu.
 
Ngoja ninukuu baadhi ya maneno yake yanaykuvutia:

1: Natema Cheche.
2: Naliamsha Dude.
3: Nitageuza Almasi kuwa Maji.
4: Bwana yuke sijui kavimbiwa na Maharage.
Endelea.........
1.Zero asubuhi....Zero mchana....Zero jioni....Zero Usiku.....
2.Namvua Taulo....
 
Mimi ni Mkatoliki lakini kwa ukweli GWAJIMA ni zaidi ya PENGO , Mungu ambariki sana swahiba wangu Mchungaji na msema ukweli GWAJIMA.
Kwa busara au kwa maneno? I mean, unawalinganisha kwa criteria zipi? Maana ni madhehebu mawili tofauti. Roman Catholic wanaendesha misa na ibada kwa utaratibu mmoja ulimwenguni kote, hata wakati wa mahubiri unajulikana, na huwa yanatolewa kulingana na somo la siku hiyo na mara chache huwa sambamba na matukio muhimu yanayoizunguka jamii. Makanisa ya 'kiroho' au 'kilokole' huwa hayana utaratibu maalum, huwezi kujua siku hiyo muda gani utatumik katika misa au ibada ya siku hiyo kwani kila kanisa lina mchungaji kiongozi wake, atahubiri alichopanga yeye siku hiyo, atatumia muda anaotaka siku hiyo, ataingiza ratiba nyingine siku hiyo, so kwa ufupi ibada za kilokole hazitabiriki.

Ukiangalia tofauti hizo, utaona kwamba Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo hana fursa kubwa ya kujihubiria chochote tu kinachomjia kichwani kwani si kanisa lake, bali ni kanisa la Mungu lililopo ulimwenguni kote (ndio maana ya neno Catholic) na wala misa ya saa moja na nusu hawezi kujiamulia iwe ya masaa matatu ili aongee sana, wakati Gwajima hilo si kanisa linaloendeshwa kwa misingi ya uwepo ulimwenguni kote, bali ni la kwake, ratiba ya ibada anaamua mwenyewe, mambo ya kuongea anaamua mwenyewe, fedha anakusanya na kuzipanga mwenyewe, nk. Kwa hiyo mazingira ya uendeshwaji ya makanisa waliyomo Pengo na Gwajima ni tofauti kabisa na hayapaswi kulinganishwa, Pengo anaongozwa zaidi na utaratibu wakati Gwajima anaagalia 'dude' la wiki husika ni lipi. Ni uamuzi wa mtu mmoja mmoja kupenda utaratibu au madude
 
Back
Top Bottom