digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,894
- 14,353
Mkuu Mimi nakupinga ,swala la ndoto Ni Pana Sana,hivyo ndoto haziwezi kuwa na constants,eti ikiwa hivi basi itakuwa vile no ,nakupinga,mfano Mimi nikiota nakula ubwabwa na maharage basi hapa nijiandae kupata pesa mungu,
Kuota uko juuu unapaa hamuwezi kuwa na maana moja,lazima uangalie kwanini unapaa,na uko mazingira gani,hivyo kwa dhana hii utapata maana tofauti za ndoto ya kupata.
Mfano mtu anaota anapaa lakini chini yake anamuona mtu aliyekufa dhaman,ndoto hii inamaana Pana na haiwezi kuwa na constants Kama ulizozitaja.
Kuota uko juuu unapaa hamuwezi kuwa na maana moja,lazima uangalie kwanini unapaa,na uko mazingira gani,hivyo kwa dhana hii utapata maana tofauti za ndoto ya kupata.
Mfano mtu anaota anapaa lakini chini yake anamuona mtu aliyekufa dhaman,ndoto hii inamaana Pana na haiwezi kuwa na constants Kama ulizozitaja.