mtarimbo
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,529
- 3,919
- Thread starter
- #41
Hii code zake nimejaribu kuziunga zinagoma ,ngoja ntapitia desa moja then ntakupasha see u next week mkuuMi kuna ndoto niliota mara ya kwanza nikaidharau nikaota tena ikanistua kidogo maana ilikuwa kama serious.
Niliota nimepanda chombo baharini sasa wakati nikiwa njiani nilkutana na dhoruba alafu nilivyofika mwishoni nikakuta mifupa ya wanadamu imetapakaa.