Siri nzito ya Seif, Shein hadharani. Aandika barua kumtambua Dk Shein kiana.

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,531
12744529_1040716182659506_880052766476120018_n.jpg

12733392_1040743559323435_2467822537532847331_n.jpg
 




Waambie wamiliki wa kipeperushi hiki kiitwacho"RAIA Tanzania"wamechelewa,kama walitaka Magufuli autambue uwepo wao walipaswa wafuate nyenendo za Jamhuri,lakini uandishi huu wa staili ya Uhuru,Mzalendo,JamboLeo na HabariLeo,hawana jipya zaidi ya uchumia tumbo unaotokana na kunyimwa fursa za kupiga hela pale Lumumba.

Waandishi wa habari wa magazeti jamii ya Raia Tanzania ni janga kwa Taifa.Hatuwezi kuendelea kama Taifa kwa kuwa na waandishi wa aina hii wanaoishia kujibanza Mwenye"kwapa za mabwana zao waliowatuma"ili waambulie 'harufu ya uturi' kutoka kwao.

Badala ya kuwa wakweli kwa Taifa lao,wameamua kuwa wanafiki kwa kutumia kalamu zao kuwapamba waharifu wa kidemokrasia.Wameamua kuimba nyimbo zinazowapendeza watawala badala ya kuusema Ukweli ambao ndiyo ungekijenga kipeperushi chao katika jamii ya wapendahaki.Wasishangae kukuta kijarida chao kinaishia kusomwa kwenye ofisi za viwavijeshi tu tena kwa kupokezana kijarida kimoja,maana wanaoshinda kwenye majengo hayo sikuhizi wamepigika vibaya kiasi cha kukosa hata hela ya kununulia kikombe cha Kahawa.
 
Staili hii iloshapitwa na wakati, staili ya propaganda za kuaminisha jamii 5 kabla haijawa 5 ilikuwa 7,, staili ya kuuwana, kufiisiana kwa sababu ya siasa staili ya matusi,, naona gazeti hili bado masalia ya baba lizy, j. Makamba, nape nnauye bado zipo
 
Waambie wamiliki wa kipeperushi hiki kiitwacho"RAIA Tanzania"wamechelewa,kama walitaka Magufuli autambue uwepo wao walipaswa wafuate nyenendo za Jamhuri,lakini uandishi huu wa staili ya Uhuru,Mzalendo,JamboLeo na HabariLeo,hawana jipya zaidi ya uchumia tumbo unaotokana na kunyimwa fursa za kupiga hela pale Lumumba.

Waandishi wa habari wa magazeti jamii ya Raia Tanzania ni janga kwa Taifa.Hatuwezi kuendelea kama Taifa kwa kuwa na waandishi wa aina hii wanaoishia kujibanza Mwenye"kwapa za mabwana zao waliowatuma"ili waambulie 'harufu ya uturi' kutoka kwao.

Badala ya kuwa wakweli kwa Taifa lao,wameamua kuwa wanafiki kwa kutumia kalamu zao kuwapamba waharifu wa kidemokrasia.Wameamua kuimba nyimbo zinazowapendeza watawala badala ya kuusema Ukweli ambao ndiyo ungekijenga kipeperushi chao katika jamii ya wapendahaki.Wasishangae kukuta kijarida chao kinaishia kusomwa kwenye ofisi za viwavijeshi tu tena kwa kupokezana kijarida kimoja,maana wanaoshinda kwenye majengo hayo sikuhizi wamepigika vibaya kiasi cha kukosa hata hela ya kununulia kikombe cha Kahawa.
kama Mbowe, Mnyika, Lema,Msingwa na Lissu wanalivyompamba lowassa na kusafisha kwa dodoki kwa ufisadi wake
 
kama Mbowe, Mnyika, Lema,Msingwa na Lissu wanalivyompamba lowassa na kusafisha kwa dodoki kwa ufisadi wake



Tumechoshwa na ngonjera zenu juu ya Mh.Lowasa.Mna jeshi,polisi Tiss,mahakama na matakataka yote huko serikalini,sasa kama Lowassa ni fisadi si mumkamate mumnyonge? Kila siku mnaimba ufisadi wake hatua hachukuliwi,Mbowe,Lissu na Mnyika hawamiliki jeshi,wangelikuwa na jeshi huyo fisadi mnayemtaja kila siku sasa hivi angekuwa anaitwa "hayati".
 
Back
Top Bottom