kalagha bao ulitakaje sasa?unadhani watu jamii hatujuani?identity yangu humu ni gold ila sikupenda kujulikana na ukweli ndio huo we angalia lini nimejoin na sio ujumbe ila ukweli ntauweka wazi nakamilisha tu leo watamwamishia wapi niwajuze kwa majina ya wote wana mtandao wa uamsho huku wakijafanya sio
uamsho wnyenyewe wana hila niaje!huyo ndugu yako kwa hakika kama sio ccm mhafidhina ni chadema!!! Taarifa hizo ni za kichochezi! Lengo kuu ni kutaka kuwagonganisha viongozi wa uamsho na wafuasi wao!!! Siasa za divide and rule!!! Siasa za maji taka!!!!
Acha kuchanganya mambo wewe, hicho ni kiarabu huna hiyari ya spelling kama ulivyoonyesha. Unataka kusema weak na week ni sawa? Halafu madrassa maana yake ni shule! Uko kwenye siku zako nini? Pole!
Kwa taarifa za uhakika nilizozipata kutoka kwa ndugu yangu wa karibu anayeishi zanzibar ni kwamba tukio la kutoonekana kwa kiongozi huyo wanayedai katekwa ni kwamba ni mpango maalum wa viongozi wa kikundi hicho kuwa wamfiche ili wapate kisingizio cha kufanya uharibifu zanzibar..na kikao hicho kilifanyika huku kiongozi mmmoja aliyesimamishwa kazi na rais shein akiwemo.hivyo wana uamsho wa ndani zaidi wanajua kuhusu tukio hili na kiongozi wao yupo anaangalia yanayojili huko.sasa wana uamsho wanatumia nafasi hii ili waweze kufanya uvunjifu wa amani eti kudai muungano uvunjike...pia kuna mtu anaitwa anajulikana kwa majina kifupi h.g huyu mwanazuoni elimu haijamsaidia ni hatari habari zaidi ntawajuza ndio wanasaidia fedha kutoka kwa wafadhili ili zitumike kufanya uhaini zanziabar...ntawarudia baadae..nyumba aliyokuwa amewekwa pia kaamishwa baada ya kuisi watashtukiwa.nawasirisha
Kwenye urais tumelamba garasha!Mkuu wa nchi hataki responsibilities.Yeye anajuwa kuwa hata vurugu zikitokea akuwa salama tu na atakuwa akiendelea kuzitumbua za kifisadi na mikataba anayoingia.Ni kwamba wakoloni weusi tunao hivi sasa.Kaazi kweli kweli.Agreed. Na nimesoma eti vurugu za juzi za kuchoma baa na maduka vijana walikuwa wanakimbia na makreti ya bia !! That tells you a lot, yaani wanakimbia nazo kwenda kuzichimbia shimo au kuzimwaga matumboni mwao... !!! Serikali dhaifu ingetumia nguvu za vyombo vyake kama polisccm kama wanavyofanya against chadema, hawa wangeshapotezewa siku mingi sana...!! Sasa wanaula wa Chuya na kudhiirisha wazi duniani kuwa inji haina uongozi, mwenyewe yupo Oman kuuza madini na wanyama zaidi, na kuchukua advances zake !! Viongozi wengine kwa hali hii ya nchi ungesikia wamekatiza ziara za utalii na kurudi nyumbani haraka !!!!!!!
Kwa taarifa za uhakika nilizozipata kutoka kwa ndugu yangu wa karibu anayeishi zanzibar ni kwamba tukio la kutoonekana kwa kiongozi huyo wanayedai katekwa ni kwamba ni mpango maalum wa viongozi wa kikundi hicho kuwa wamfiche ili wapate kisingizio cha kufanya uharibifu zanzibar..na kikao hicho kilifanyika huku kiongozi mmmoja aliyesimamishwa kazi na rais shein akiwemo.hivyo wana uamsho wa ndani zaidi wanajua kuhusu tukio hili na kiongozi wao yupo anaangalia yanayojili huko.sasa wana uamsho wanatumia nafasi hii ili waweze kufanya uvunjifu wa amani eti kudai muungano uvunjike...pia kuna mtu anaitwa anajulikana kwa majina kifupi h.g huyu mwanazuoni elimu haijamsaidia ni hatari habari zaidi ntawajuza ndio wanasaidia fedha kutoka kwa wafadhili ili zitumike kufanya uhaini zanziabar...ntawarudia baadae..nyumba aliyokuwa amewekwa pia kaamishwa baada ya kuisi watashtukiwa.nawasirisha
Huyo ndugu yako kwa hakika kama sio CCM mhafidhina ni Chadema!!! taarifa hizo ni za kichochezi! lengo kuu ni kutaka kuwagonganisha viongozi wa Uamsho na wafuasi wao!!! siasa za divide and rule!!! siasa za maji taka!!!!
Cuf ni chama cha haki sawa kwa wote!!! sio chama cha kufitinisha watu!!!! hata kama Uamsho wote ni mashabiki wa CUF kuna ubaya gani? ni kinyume cha katiba? mbona wagalatia wote mlihimizwa Makanisani kuipigia kura Chadema uchaguzi wa 2010?
Kauli zako mbona za utata na wewe ni mmoja wao?Cuf ni chama cha haki sawa kwa wote!!! sio chama cha kufitinisha watu!!!! hata kama Uamsho wote ni mashabiki wa CUF kuna ubaya gani? ni kinyume cha katiba? mbona wagalatia wote mlihimizwa Makanisani kuipigia kura Chadema uchaguzi wa 2010?
Kwa taarifa za uhakika nilizozipata kutoka kwa ndugu yangu wa karibu anayeishi zanzibar ni kwamba tukio la kutoonekana kwa kiongozi huyo wanayedai katekwa ni kwamba ni mpango maalum wa viongozi wa kikundi hicho kuwa wamfiche ili wapate kisingizio cha kufanya uharibifu zanzibar..na kikao hicho kilifanyika huku kiongozi mmmoja aliyesimamishwa kazi na rais shein akiwemo.hivyo wana uamsho wa ndani zaidi wanajua kuhusu tukio hili na kiongozi wao yupo anaangalia yanayojili huko.sasa wana uamsho wanatumia nafasi hii ili waweze kufanya uvunjifu wa amani eti kudai muungano uvunjike...pia kuna mtu anaitwa anajulikana kwa majina kifupi h.g huyu mwanazuoni elimu haijamsaidia ni hatari habari zaidi ntawajuza ndio wanasaidia fedha kutoka kwa wafadhili ili zitumike kufanya uhaini zanziabar...ntawarudia baadae..nyumba aliyokuwa amewekwa pia kaamishwa baada ya kuisi watashtukiwa.nawasirisha
Ukweli utatuweka huru, mimi ni mkristo na naipenda sana dini yangu, na hata muda huu nakwenda kusali, nataka niulize ni wapi ilitamkwa wakristo wamchague mkristo mwenzao? Kipindi chote cha uchaguzi ule mimi nilikuwa nahudhuria ibada sikuwahi kumsikia mchungaji, askofu au kiöngozi yeyote wa dini yetu akihimiza watu kumnyima kura kikwete eti kwa kuwa ni muislam! Mnataka kusema wakristo waliasi dini zao mpaka kikwete akashinda? Au mna mnamaana alichaguliwa na waislamu peke yake? Hivi nyinyi watu mbona mna tabia za kibaguzi namna hiyo?