Siri nzito iliyofichika kwa Prof. Assad (CAG aliyepita)

Acha upumbavu.. kafunge ofisi kabla chadema hawajaja kurudisha form.
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
 
Kuna haja ya kutoa adhabu kali (ban lefu) kwa wote wanaoleta humu thread zilizojaa uongo bila evidence yoyote. Kuna haja ya kuwa na kamati ya "Haki, nidhamu, mamlaka na madaraka ya JF" ili watu aina hii waonjeshwe joto la jiwe
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
Msomi nguli barani Afrika, anaeleza ukweli ulivyo, I hope itakusaidia
FB_IMG_1573055646683.jpeg
 
Kuna haja ya kutoa adhabu kali (ban lefu) kwa wote wanaoleta humu thread zilizojaa uongo bila evidence yoyote. Kuna haja ya kuwa na kamati ya "Haki, nidhamu, mamlaka na madaraka ya JF" ili watu aina hii waonjeshwe joto la jiwe

It will never happen, kwenye uongozi huu na sheria za mitandaoni. Europe huwezi kuandika kwenye magazeti comments bila kuwa na identified e-mail na jina kamili, then wanafuatilia. Tanzania bado sana shughuli hiyo.
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
Huna lolote ! mnafiki mkubwa wee !
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
Hovyooooo!!!
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
LETE USHAHIDI vinginevyo huu ni uharo kama uharo mwingine wa misukule ya Lumumba.
 
Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
Eti tunamngoja.. wewe nani mpaka umngojee... tukiwaita msiojulikana mnalialia shwain nyie
hii ndo kazi kubwa mliojaza vichwani mwenu kuteka kutesa wananchi ila kuendesha nchi mmefeli
 
View attachment 1254412
Prof Assad alitumika kimkakati kuidhoofisha serikali ya Rais Magufuli hakuwa mzalendo kama ambavyo wengi waliaminishwa. Juma Assad (Personal) aliamua kukitumia kitu chake cha kuwa CAG Katika kutekeleza mipango mikakati ya wanasiasa na ndiye mtu pekee aliyebakia kama target muhimu ya kuibua mijadala iliyobeba chini, unafiki na uzandiki dhidi ya Rais Magufuli, nyuma yake watendaji wote waliokuwa Katika Ofisi ya CAG hawamuungi mkono na 90% ya wafanyakazi Katika Ofisi ya CAG walisusia pia kumpa ushirikiano wa kiutendaji kwa sababu alikuwa habebi maazimio ya Ofisi ya CAG bali alikuwa anabena maazimio ya Prof Juma Assad na genge la boss wake aliyemteua.

Nani asiyefaham kuwa Zitto Kabwe ndie aliyempelekea ile hoja (ya kipumbavu) juu ya 1.5T? Nani asiye fahamu kuwa wakati Bunge wameingia kwenye mgogoro na Prof Assad yeye pia alikuwa na genge lake likiingozwa na Maalim Seif, Zitto Kabwe, Jusa wakitaka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna pesa zimeibiwa? Nani asiyefahamu kuwa wakati wa mgogoro ule ambao spika Ndugai alisema wazi hatoshirikiana na Prof Assad ila atashirikiana na Ofisi ya CAG, Ofisi ya CAG nilitoa ushirikiano 100% kwa bunge hadi kupelekea Prof Assad kuitisha kikao cha siri akoshusha shutuma dhidi ya watendaji walioko chini yake Katika Ofisi ya CAG??

Anasema yupo nje kikazi? Hayupo nje kikazi baada ya hii taarifa ya Leo ambayo #Kigogo hakuipata imepelekea kutoka tension na wapo Katika kikao Kizito hapa hapa Dar es salaam Kabla ya kuelekea Pemba/Mombasa ambapo huko Zitto Kabwe, Fatuma Karume, Jusa na magenge yao wanamuandalia hoja za kisiasa kuja kijitetea Katika hili tunamngoja aje hamtoamini atailaani siku aliyozaliwa na mwanamke its matter of time!
Ukisikia Tanzania Ina wapumbavu wengi basi wewe Papaa Muu ndiye mmoja wanaotuponza
 
Back
Top Bottom