chelsea fc
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 864
- 211
yaaani wamefikria njia zoote wameamua kuja na hii,duuh tat^zo mfumo wa majeshi upo hovyo wanaajiri form 4 failure ndio maana m2 anashindwa hata kudanganya,ishu nyingine ni walivyopanga kumteka hawakupanga mpango wa matokeo ya utekaji ule so walipanga nusu ss wanaumbuka,nimeamini jeshin wanatakiwa waajiriwe wasomi!duuuuh